Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,517
- 9,762
Haya wewe unayejua endelea kujua kijana tusitishane kujiona unajua zaidi kuwa mpole Kuna mambo huyajui subiri uelimishweDo you know anything about bio-indicator species mkuu? Au ume-comment ili na wewe uonekane unajua?
Leo umetoa mwongozo sahihi kabisa...nemc wawajibike sio kukusana pesa za EIA tu.Kwenye mambo kama haya, NEMC ndiyo inatakiwa kuonesha makucha yake... na siyo kwenda kufungia biashara za watu kisa choo hakijasafishwa...
Mboga nzuri sana na ugali
Tume ya polisi walio ua huko Mtwara na Tanga vipeeee!! Nauliza tuuWataishia kupigwa faini ya milioni 5 maisha yaende
BARRICK NORTH MARA YAFUNGULIA MAJI YA SUMU Ya Cyanide inayotumika kwenye uchenjuaji wa dhahabuTuweke mzigo mezani
Ndugu zangu kuna hii taarifa, yupo yeyote ambaye anajua ukweli wake, maana mtu ambaye yupo ndani mgodini amenitumia ujumbe huu ambao nimeambatanisha na picha alizotuma:
BARRICK NORTH MARA YAFUNGULIA MAJI YA SUMU NA KUTEKETEZA SAMAKI MTO MARA
Jitihada zimefanyika ili kujua ukweli wa hii habari. Ametafutwa mmoja wa ‘supervisor’ katika Mgodi wa Barrick North Mara, Elly Shimbi na kuulizwa kuhusu ukweli wa taarifa hiyo alisema:
“Mimi siwezi kulizungumzia hilo suala, mtafute msimamizi mkuu wa mradi ndiye atakwambia, kama una taarifa hizo mimi siwezi kukwambia chochote.”
Elly Shimbi hakutoa ushirikiano wa mawasiliano ya mkuu wake wa kazi ambaye alitaka atafutwe yeye kuhusu suala hilo.
Licha ya kutotoa ushirikiano huo, Ofisi ya Barrick iliyopo Dar es Salaam ilithibitisha kuwa Shimbi ni mmoja wa ‘supervisor’ ambaye bado yupo kwenye majukumu yake Barrick North Mara.
Tayari bosi ambaye ndiye msimamizi wa mgodi huo ametumiwa taarifa hii kwa njia ya e-mail baada ya namba yake kutopatikana lakini haijajibiwa.
======
Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Dkt. Eng. Samuel Gwamaka Mafwenga, ameiambia JamiiForums leo tarehe 10/03/2022 kwamba, kutokana na taharuki iliyotokea baada ya Picha za Samaki waliokufa kusambaa Mitandaoni wanaodaiwa ni kwenye Mto Mara, tayari timu ya Dharura imeundwa kuchunguza swala hilo.
Mafwenga amesema timu hiyo inahusisha Watu kutoka NEMC, Bonde la maji la Ziwa Victoria, Mkemia Mkuu wa Serikali na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Mara.
"Hivi sasa tunapozungumza, tayari Kamati ipo Sehemu ya tukio Wakichunguza ili tujue chanzo ni nini na kimetoka wapi. Sisi tunaangalia afya na Uhai wa Binadamu na Wanyama." amesema Mafwenga.
Pia soma > Madai ya sumu Mto Mara kutoka migodini, wananchi wazuiwa kutumia maji, kula samaki, uvuvi, Serikali yatoa tamko
View attachment 2145795
View attachment 2145796
View attachment 2145797
View attachment 2145812
View attachment 2145816
Kweli mkuu, kwa sasa hawawezi kusema wanajua wakisema watampa kiki japo hayupo.Watanzania huwa hatutaki serikali inayosimia sheria, itabidi tuendelee na maisha tiliyo nayo. Angewapo yule jamaa, ni wazi kuwa Sinclair angepanda ndege binasfi kwenda Dodoma kuomba "Mea Culpa, mea Culpa, mea Maxima Culpa". Barrick wangetoa pesa za kusafisha sumu hiyo.
Tuweke mzigo mezani
Ndugu zangu kuna hii taarifa, yupo yeyote ambaye anajua ukweli wake, maana mtu ambaye yupo ndani mgodini amenitumia ujumbe huu ambao nimeambatanisha na picha alizotuma:
BARRICK NORTH MARA YAFUNGULIA MAJI YA SUMU NA KUTEKETEZA SAMAKI MTO MARA
Jitihada zimefanyika ili kujua ukweli wa hii habari. Ametafutwa mmoja wa ‘supervisor’ katika Mgodi wa Barrick North Mara, Elly Shimbi na kuulizwa kuhusu ukweli wa taarifa hiyo alisema:
“Mimi siwezi kulizungumzia hilo suala, mtafute msimamizi mkuu wa mradi ndiye atakwambia, kama una taarifa hizo mimi siwezi kukwambia chochote.”
Elly Shimbi hakutoa ushirikiano wa mawasiliano ya mkuu wake wa kazi ambaye alitaka atafutwe yeye kuhusu suala hilo.
Licha ya kutotoa ushirikiano huo, Ofisi ya Barrick iliyopo Dar es Salaam ilithibitisha kuwa Shimbi ni mmoja wa ‘supervisor’ ambaye bado yupo kwenye majukumu yake Barrick North Mara.
Tayari bosi ambaye ndiye msimamizi wa mgodi huo ametumiwa taarifa hii kwa njia ya e-mail baada ya namba yake kutopatikana lakini haijajibiwa.
======
Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Dkt. Eng. Samuel Gwamaka Mafwenga, ameiambia JamiiForums leo tarehe 10/03/2022 kwamba, kutokana na taharuki iliyotokea baada ya Picha za Samaki waliokufa kusambaa Mitandaoni wanaodaiwa ni kwenye Mto Mara, tayari timu ya Dharura imeundwa kuchunguza swala hilo.
Mafwenga amesema timu hiyo inahusisha Watu kutoka NEMC, Bonde la maji la Ziwa Victoria, Mkemia Mkuu wa Serikali na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Mara.
"Hivi sasa tunapozungumza, tayari Kamati ipo Sehemu ya tukio Wakichunguza ili tujue chanzo ni nini na kimetoka wapi. Sisi tunaangalia afya na Uhai wa Binadamu na Wanyama." amesema Mafwenga.
Pia soma > Madai ya sumu Mto Mara kutoka migodini, wananchi wazuiwa kutumia maji, kula samaki, uvuvi, Serikali yatoa tamko
View attachment 2145795
View attachment 2145796
View attachment 2145797
View attachment 2145812
View attachment 2145816
Hiyo ndiyo imetokaTume ya polisi walio ua huko Mtwara na Tanga vipeeee!! Nauliza tuu
Visa vya saratani vitaongezekaHii ni mbaya sana, uchunguzi wa kina ufanyike. Recovery period sijui itakuwa muda gani mpaka shughuli za kawaida ziendelee kwenye huo mto.
Huu mgodi si wamejenga water treatment plant ya drainage za mgodini sio muda mrefu. How can this happen, baada ya project kubwa kama ile.
Ngoja tusubiri report za uchunguzi zinasemaje.
Mkuu mrangi , kiukweli kuandika IJ kama hii sio tuu inahitaji some specialized knowledge, pia ni fursa!. Hii mimi nitaifuatilia, ila nikiisha ikamilisha, na kuiandika, naituma kwanza mahali, ili kuepuka kuwachafua wawekezaji muhimu kama hawa, ambao serikali yetu, ina hisa asilimia 16%, na sisi na Barrick, tunagawa faida, 50/50!. Nikiisha ipeleka hiyo finding yangu hapo nitakapoipeleka, ikitokea, mkaona haijawa published popote, nakuomba usiniulize kwanini haikutoka!.Ahh naona wako bize na habari za umbea, ukuda
Labda paskali aende huko vp lkn kna maslahi kwake
Pascal Mayalla
Ova
Mercury inatumika sana migodi ya dhahabu,Huu ni uongo ukijumuisha na figisu figisu……..,
Mleta uzi ebu tuambie ni aina gani ya sumu walio ifungulia hao ‘mabeberu’ ???