Wingawinga
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 623
- 1,531
- Thread starter
- #581
Huwa najiuliza hawa dingi wetu walio jua vitu vizuri na kupenda vitu vizuri , wali miliki viu vizuri na kutupa vitu vizuri ina weekana walikuwa mabishoo huko mashuleni waliko kuwa , maana naona mabisho wetu ni wazazi kwa sasa so ninajienga picture ina wezekanana wazazi wetu nao walikua ma bishoo ila hatukuwstukia tuu.
Juzi juzi niemstuka I swear mom ni bishoo tena anapend ku show nime mgundua juzi juzi , baada ya kuona na uzee huu bado anapenda kuvaa na party sizizo isha ,mimi siku zote naona she was just my mom ila kuna vitu nimegundua kumbe ni sister doo wa zamani , mimi na ndugu ngu tuna kasirishwa na tabua hiyo , kwa sas kibano kimegeuka sisi tumekua wanoko yeye ndio amekuwa sister do ,. Je wewe mzazi wako huja mstukia kitu ?
Juzi juzi niemstuka I swear mom ni bishoo tena anapend ku show nime mgundua juzi juzi , baada ya kuona na uzee huu bado anapenda kuvaa na party sizizo isha ,mimi siku zote naona she was just my mom ila kuna vitu nimegundua kumbe ni sister doo wa zamani , mimi na ndugu ngu tuna kasirishwa na tabua hiyo , kwa sas kibano kimegeuka sisi tumekua wanoko yeye ndio amekuwa sister do ,. Je wewe mzazi wako huja mstukia kitu ?