Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
-
- #2,341
TTCL? Basi bandika bandua Inabaki yenyewe.Ha ha ha 77 leo naona wametoa nimeitafuta mpk nikachina. [emoji16]
Tigo saiz yako mie wakinipa GB 1 basi wanazigawa mb 400 facebook mb 400 whatsapp unabakiwa na kama 300 hv internet. Unaweza shangaa ukiangalia salio una mb 600 ila hazitembei.
Ukiangalia salio kwa tigopesa app ndio unagundua uhuni. Sijui wenzangu huko
Soon najiunga huko TTCLShukrani sana, nitajiunga hiki kikiisha then nitaleta mrejesho hapa. Kwasasa niko na Iine mbili, halotel kwaajili ya Royal na TTCL
Unaweza kununua Vocha bila TTCL pesa, kupitia Tigo pesa ama Mpesa, Tena ukiwa na App huna Hata ulazima wa kukariri namba ya Kampuni.Soon najiunga huko TTCL
Tukishabanana spidi itakuwa konokono
Unatumia vocha au "TTCL Pesa"
Sawa ChiefUnaweza kununua Vocha bila TTCL pesa, kupitia Tigo pesa ama Mpesa, Tena ukiwa na App huna Hata ulazima wa kukariri namba ya Kampuni.
Kuna Tigo 3G ama 4G?Sawa Chief
Vipi maeneo kama ya Tukuyu itaweza kuhimili intaneti spidi ?
Natumia Halotel ChiefKuna Tigo 3G ama 4G?
Stika ya kodi hiyo......Nimetumia vocha tu, ila vocha zao za 5000 ni kubwa kama noti ya 1000 [emoji23]
Wameweka cha 88 spesho, muda wa vifurushi vyote hivyo ni ndani ya siku 8Ha ha ha 77 leo naona wametoa nimeitafuta mpk nikachina. [emoji16]
Tigo saiz yako mie wakinipa GB 1 basi wanazigawa mb 400 facebook mb 400 whatsapp unabakiwa na kama 300 hv internet. Unaweza shangaa ukiangalia salio una mb 600 ila hazitembei.
Ukiangalia salio kwa tigopesa app ndio unagundua uhuni. Sijui wenzangu huko
Ulizia Kama Tigo wanayo 3G ama 4G yenye kasi, Kama wanayo TTCL wanatumia network hio hio.Natumia Halotel Chief
Chief ufanyie updates uzi wako maana vifurushi vingi vimeshapunguzwaUlizia Kama Tigo wanayo 3G ama 4G yenye kasi, Kama wanayo TTCL wanatumia network hio hio.
Nimekuelewa ChiefUlizia Kama Tigo wanayo 3G ama 4G yenye kasi, Kama wanayo TTCL wanatumia network hio hio.
kwangu siipati mkuu, napata tu 800mb kwa sh 1000
habari njema hii, wanaroam TTCL ama ya kwao wenyewe?Naona Airtel kama wako kwenye TEST hivi ya 4G naona minara pia inakamata 4G
View attachment 1169283
Hapo Bado sjajua njema pia sijaona Roaming kile ki ® juu hapo naamini itakuwa ni yao pia nimewasha tu nimekuta imekamata before ilikuwa uki switch to 4G inakata mnara.habari njema hii, wanaroam TTCL ama ya kwao wenyewe?
habari njema hii, wanaroam TTCL ama ya kwao wenyewe?
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]TTCL karudi na ofa ya 88. Tsh 1000, mb 888 wiki.
Hapa ukiunga kwa tsh 5000. Unapata 4.4GB wiki
Kwa hii Bora bandika bandua,TTCL karudi na ofa ya 88. Tsh 1000, mb 888 wiki.
Hapa ukiunga kwa tsh 5000. Unapata 4.4GB wiki
Sahihi japo yabidi usubirie hadi saa 2 usiku maana mchana wanakupimia kiduchuKwa hii Bora bandika bandua,
Cha 5000 mchana kina GB 3, hivyo hakina tofauti Sana na hizo 4.4 then usiku ndio 5GB.Sahihi japo yabidi usubirie hadi saa 2 usiku maana mchana wanakupimia kiduchu