Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Ha ha ha 77 leo naona wametoa nimeitafuta mpk nikachina. [emoji16]

Tigo saiz yako mie wakinipa GB 1 basi wanazigawa mb 400 facebook mb 400 whatsapp unabakiwa na kama 300 hv internet. Unaweza shangaa ukiangalia salio una mb 600 ila hazitembei.

Ukiangalia salio kwa tigopesa app ndio unagundua uhuni. Sijui wenzangu huko
TTCL? Basi bandika bandua Inabaki yenyewe.

Hio saizi yako haieleweki ipo kibiashara zaidi kuliko kukusaidia mteja.
 
Shukrani sana, nitajiunga hiki kikiisha then nitaleta mrejesho hapa. Kwasasa niko na Iine mbili, halotel kwaajili ya Royal na TTCL
Soon najiunga huko TTCL
Tukishabanana spidi itakuwa konokono

Unatumia vocha au "TTCL Pesa"
 
Soon najiunga huko TTCL
Tukishabanana spidi itakuwa konokono

Unatumia vocha au "TTCL Pesa"
Unaweza kununua Vocha bila TTCL pesa, kupitia Tigo pesa ama Mpesa, Tena ukiwa na App huna Hata ulazima wa kukariri namba ya Kampuni.
 
Unaweza kununua Vocha bila TTCL pesa, kupitia Tigo pesa ama Mpesa, Tena ukiwa na App huna Hata ulazima wa kukariri namba ya Kampuni.
Sawa Chief
Vipi maeneo kama ya Tukuyu itaweza kuhimili intaneti spidi ?
 
Ha ha ha 77 leo naona wametoa nimeitafuta mpk nikachina. [emoji16]

Tigo saiz yako mie wakinipa GB 1 basi wanazigawa mb 400 facebook mb 400 whatsapp unabakiwa na kama 300 hv internet. Unaweza shangaa ukiangalia salio una mb 600 ila hazitembei.

Ukiangalia salio kwa tigopesa app ndio unagundua uhuni. Sijui wenzangu huko
Wameweka cha 88 spesho, muda wa vifurushi vyote hivyo ni ndani ya siku 8
Screenshot_20190801-071326.jpg
 
habari njema hii, wanaroam TTCL ama ya kwao wenyewe?
Hapo Bado sjajua njema pia sijaona Roaming kile ki ® juu hapo naamini itakuwa ni yao pia nimewasha tu nimekuta imekamata before ilikuwa uki switch to 4G inakata mnara.
 
Back
Top Bottom