Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Anauza buku 10 mkuu. Ila anasema ni uhakika, tusubiri waungwe
Mpigaji huyo. Files anazouza zingekua zinafanya kazi, screenshot yake ya tangazo ya kuuza file ingekua inasoma CONNECTED, lakini inasema STARTING.... Kwenye social media zote mpaka facebook anatumia screenshot hiyohiyo.

Kama kweli files zake zinafanya kazi, watakuja watu kutoa shuhuda hapa.

 
Muhuni huyo
 
Samahani kidogo mkuu, kuna wengine tulinunuaga zile simu za ttcl zamani ambazo zina built-in modem. Je, kwasasa tunaweza kufanya dialup connection kweli?_ maana niliifungia tu ndani nikaona Haina ishu.
 
Samahani kidogo mkuu, kuna wengine tulinunuaga zile simu za ttcl zamani ambazo zina built-in modem. Je, kwasasa tunaweza kufanya dialup connection kweli?_ maana niliifungia tu ndani nikaona Haina ishu.
Sijajua kama zipo compatible na hii adsl wanayotumia sasa hivi ila ipo chance ikafanya kazi mkuu.
 
Sijajua kama zipo compatible na hii adsl wanayotumia sasa hivi ila ipo chance ikafanya kazi mkuu.
Maana ilikua na Ethernet cable kabisa ambayo unaiplug kwenye pc. Ninachojiuliza je, ukiactivate kifurushi halafu ukajaribu dialup connection inaweza kukubali kweli
 
Maana ilikua na Ethernet cable kabisa ambayo unaiplug kwenye pc. Ninachojiuliza je, ukiactivate kifurushi halafu ukajaribu dialup connection inaweza kukubali kweli
Sasa cable bado ipo nyumbani? Ukiwasha inaonesha signal zipo?
 
Hapana zilikua ni zile wireless, inakua na kama kale ka antenna ka kwenye modem. Mfano wa hii View attachment 2105127
Pengine mkuu ikawa ni ya CDMA, hii ilishafungwa. Ila kama ni Adsl bado ipo, ila adsl inahitaji waya toka kwenye nguzo.

Cdma zenyewe zilitumia minara ya simu ila wote TTCL na Zantel walifunga mitambo tayari.
 
Proof; Internet free na hiyo VPN mwenye uhitaji aje PM
Nikupe hiyo App na Settings zake....
Your browser is not able to display this video.
f
 

Mkuu hii ni tigo kwa tigo au tigo kwa mitandao yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…