Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Ukihamisha kwenye laini ambayo Haina bando ambayo ndo ya Tigo inagoma
 
Sijaona sadaka hata mia mpaka sasa

wajuba wanataka mseleleko bila kuumia
Also your keeping your number open! Don't you know it's not fine for doing that!.. nenda kasome tcra kuhusu matumizi ya VPN uone kifungo chake na fine!!😂
 
Tutapata tu ndugu. Unajua Ukibana sana Kuna Tundu Litapatikana One day
Mtapata ndio ila wale jamaa wanaakili timamu hata mkipata msitegemee itakaa siku nyingi..
Vodacom kazi ni kwako ndo maana huwa nauamini huu mtandao.
 
line ikiwa na mb inakuaje sasa hapo znaenda za free au ambzo zlikuwemo ?
 
Mtapata ndio ila wale jamaa wanaakili timamu hata mkipata msitegemee itakaa siku nyingi..
Vodacom kazi ni kwako ndo maana huwa nauamini huu mtandao.
Tusubiri ndugu. Maana Naona Leo nilikuwa najiunga Bando la GB 1.5 limepandishwa Bei ghafla
 
Wakuu ambao mko around maeneo ya mikocheni, mni-pm niwape free password ya WiFi ya Regency Hotel. Unaenda unakaa pale chini unazuga na hata maji madogo kumbe unashusha mzigo wa maana ukitoka umetoka na faida. Au nafanya makosa watanzania wenzangu?
Lack of personal privancy is using of free WI-FI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…