qualalumpagrinder
JF-Expert Member
- Jul 28, 2016
- 464
- 806
Wale wa TTCL kuna menyu hii hakuna anayeijua
*148*30*22#
Kwa jero tu unapata MB 800
Umenichoma mwanangu....nimekimbilia kununua vocha ya buku 5 afu nikiunga inagoma!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale wa TTCL kuna menyu hii hakuna anayeijua
*148*30*22#
Kwa jero tu unapata MB 800
Mkuu nilikuomba unitumie namba ya jamaa anayeunga mpaka leo kimyaNi mwendo wa vifurushi vya TTCL Tu. Nishachukua GB zangu 150 naserereka Tu hapa
Yaaap ni kweli ata mimi txt wmenitumiaWewe umeunganishwa na Tapeli, ukweli vifurushi vinakaa mwaka Mmoja bila chenga.
Hata vile vya Free Call vilikuwa vinakaa mwaka sema havikuwa official Kama hivi vya Internet. Mwezi huu Tu vimepiga chenga ila Tigo wenyewe wametuma message.
![]()
Yaaap ni kweli ata mimi txt wmenitumiaWewe umeunganishwa na Tapeli, ukweli vifurushi vinakaa mwaka Mmoja bila chenga.
Hata vile vya Free Call vilikuwa vinakaa mwaka sema havikuwa official Kama hivi vya Internet. Mwezi huu Tu vimepiga chenga ila Tigo wenyewe wametuma message.
![]()
mbn ipo tofauti sana na bufee mzeeHii iko kwenye ttcl nenda kwenye menu yao tafuta bufee unajiunga mwenyewe tu tena utakuta hiyo GB 15 haizidi elfu 23 ni wewe kubalance mwenyewe na ni mwaka mzima
mshkaji c ndo anaunga mcheki pmMkuu nilikuomba unitumie namba ya jamaa anayeunga mpaka leo kimya
Na mim txt yko ndo imeniokoa nlikuwa njian naenda nunuaUmenichoma mwanangu....nimekimbilia kununua vocha ya buku 5 afu nikiunga inagoma!!
Jamaa kasafiri kidogo. Unaweza kumcheki donlucchese atakusaidia pia. Halafu PM yako umefunga.Mkuu nilikuomba unitumie namba ya jamaa anayeunga mpaka leo kimya
Jamaa akirudi utanishtuaJamaa kasafiri kidogo. Unaweza kumcheki donlucchese atakusaidia pia. Halafu PM yako umefunga.
huyo jamaa hajakuweka wazi aidha hajui hiyo code inafanyakazi kwa line za chuo tu,hadi uwe umesajili kama line ya chuoUmenichoma mwanangu....nimekimbilia kununua vocha ya buku 5 afu nikiunga inagoma!!
Iyo sio ya chuo wakuu, ni vifurushi vya staff wa TTCL,.huyo jamaa hajakuweka wazi aidha hajui hiyo code inafanyakazi kwa line za chuo tu,hadi uwe umesajili kama line ya chuo
Nae amepotea simuoni jukwaaniJamaa kasafiri kidogo. Unaweza kumcheki donlucchese atakusaidia pia. Halafu PM yako umefunga.
mimi yangu ni ya chuo bt bado inagomahuyo jamaa hajakuweka wazi aidha hajui hiyo code inafanyakazi kwa line za chuo tu,hadi uwe umesajili kama line ya chuo
wapigie customer care wakuassistmimi yangu ni ya chuo bt bado inagoma
Icho kifurushi nais ktakuwa cha staff kweliwapigie customer care wakuassist
Sasa mkuu uliambiwa uweke jero wewe ukaenda kununua buku 5 wao wamefikiri wewe ni tajiri ndo maana wamekukataa ilibidi u-act ungenunua hiyo hiyo 500/=Umenichoma mwanangu....nimekimbilia kununua vocha ya buku 5 afu nikiunga inagoma!!
Vinagoma vyoteee hamna cha 500 au 5000 Hivyo vifurushi ni vya staff wa TTCLSasa mkuu uliambiwa uweke jero wewe ukaenda kununua buku 5 wao wamefikiri wewe ni tajiri ndo maana wamekukataa ilibidi u-act ungenunua hiyo hiyo 500/=
Kujiunga kifurushi ganiNahis kuna maeneo ukikaa vinakubali kwa mfano kuna sehem moja kuna chuo cha maafisa wa polisi ukijiunga kule inakibali
huwezi kuunga ukiweza ww mwanaume[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aisee ushukuriwe kipo cha buku unapata Gb2.
huwez kuunga usipopewa confrimation codeMkuu we noma [emoji92]