Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

hata kwangu alifuta chat kumbe nilikuwa tayari nishaziifadhi..
 
Kumbe mshapigwa.
 
Hatarii
 
Kuna wizi mkubwa unafanyika kwenye mitandao ya simu tangu jamaa achukue ofisi, hafai kabisa kuwa kiongozi kwenye nchi hii, ana tamaa mnoo, ni dhahiri shairi.
 
Prepaid.

Noo sisahau machungu aliyonipa huyu mwamba @mr kiuno

Kapiga pesa afu kifurushi hakijamaliza hata mwezi na pesa kagoma kurudisha.
Kifurush cha huyo mwamba Mimi nilitumia kwa miezi saba nlikua napata unlimited calls mitandao yote plus GB 7 kila mwezi kwa gharama ya 20k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…