Airtel 5G home and office
Kwa matumizi ya nyumbani ( HOME USER) uwe na NIDA, TIN kama unayo sio lazima, 200,000 connection fee ni lazima
Utapata vifurushi kuanzia cha-:
70000= mbps 10
110000= MBPS 30
15OOOO=MBPS 50
200000=MBPS 100
KWA WAFANYABIASHARA (ENTERPRISES) uwe na NIDA, TIN, LESENI YA BIASHARA au KITAMBULISHO CHA BIASHARA.
Utapata vifurushi kuanzia
110000= 30mbps
150000= 50 mbps
200000= 100mbps
Kama ni mfanyabiashara, company HAUTALIPIA CONNECTION FEE. Asante karibu sanaa
SharedHv hizi speed zinakua ni dedicated? Au ni shared?
Hii nimei-copy tu kutoka kwenye chat yangu na afisa masoko wa Airtel ili ku share na wadau.Airtel 5G home and office
Kwa matumizi ya nyumbani ( HOME USER) uwe na NIDA, TIN kama unayo sio lazima, 200,000 connection fee ni lazima
Utapata vifurushi kuanzia cha-:
70000= mbps 10
110000= MBPS 30
15OOOO=MBPS 50
200000=MBPS 100
KWA WAFANYABIASHARA (ENTERPRISES) uwe na NIDA, TIN, LESENI YA BIASHARA au KITAMBULISHO CHA BIASHARA.
Utapata vifurushi kuanzia
110000= 30mbps
150000= 50 mbps
200000= 100mbps
Kama ni mfanyabiashara, company HAUTALIPIA CONNECTION FEE. Asante karibu sanaa
Hii hadi kwa wateja wa 4g auHii nimei-copy tu kutoka kwenye chat yangu na afisa masoko wa Airtel ili ku share na wadau.
View attachment 2729307
Ni unlimited auHii nimei-copy tu kutoka kwenye chat yangu na afisa masoko wa Airtel ili ku share na wadau.
View attachment 2729307
Kwa watu ambao hawapo maeneo ya 5G unaweza kusajiliwa kifaa chako maeneo yenye 5G ukaandikishwa kama mmiliki wa hicho kifaa kwa eneo hilo.Hii hadi kwa wateja wa 4g au
YeahNi unlimited au
Kwa wale wote ambao wanahitaji huduma ya internet kutoka Airtel 5G na hawako katika maeneo yenye 5G
Mcheki huyu dada ni afisa masoko wa Airtel
Kanikubalia ku share namba yake
View attachment 2729343
+255 688 070 855
KIla kitu muulizeni huyo
sakasaka
Ngoja nikamtongoze πKwa wale wote ambao wanahitaji huduma ya internet kutoka Airtel 5G na hawako katika maeneo yenye 5G
Mcheki huyu dada ni afisa masoko wa Airtel
Kanikubalia ku share namba yake
View attachment 2729343
+255 688 070 855
KIla kitu muulizeni huyo
sakasaka
Hapa kaka naona voda supakasi inaenda kufa kibudu maana bei zao ni kausha damuKwa wale wote ambao wanahitaji huduma ya internet kutoka Airtel 5G na hawako katika maeneo yenye 5G
Mcheki huyu dada ni afisa masoko wa Airtel
Kanikubalia ku share namba yake
View attachment 2729343
+255 688 070 855
KIla kitu muulizeni huyo
sakasaka
Hapa kaka naona voda supakasi inaenda kufa kibudu maana bei zao ni kausha damuKwa wale wote ambao wanahitaji huduma ya internet kutoka Airtel 5G na hawako katika maeneo yenye 5G
Mcheki huyu dada ni afisa masoko wa Airtel
Kanikubalia ku share namba yake
View attachment 2729343
+255 688 070 855
KIla kitu muulizeni huyo
sakasaka
[emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja nikamtongoze [emoji16]
Sio kimapenzi ni kumuuliza about wifi zao πππ[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu nawezaje kuunganishwa na post paid ya Tigo?Sasa hivi vifurushi ni Sme na postpaid za Airtel na Tigo, itabidi ni Update uzi
Official unaenda ofisi za Tigo ukiwa na leseni na tin no ya biashara.Mkuu nawezaje kuunganishwa na post paid ya Tigo?
Kama unaipata kweli 40mbps masaa mawili tuNimetoka kuongea na dada mmoja hapa ofisin kwangu wa Airtel kanambia kifurushi Cha chin kwa 4g ni 110,000 kwa mwezi mbps 40 shida Sasa Mimi nafanya installation za games ps4 PC na ps5 Sina uhakika kwa hio speed ya 4g kama itatosha Mimi kufanyia kazi naweza fanya installation ya game gb 50 nahofia kama inaweza kula siku nzima na isimalize!
Mkuu hi ndio speed yake nimeenda pale ku testKama unaipata kweli 40mbps masaa mawili tu
Ila kwa 4g uongo