Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Hako ka 115k?

Ila jana si nilikwambia lakini mie voda walichonambia Summit branch kuhusu hiyo unlimited ya 115?

Ni mpaka niwe na leseni ya biashara
Kama sina, basi napaswa kununua hiko ki router separate na kulipa bundle la 115.
Dada ungeenda duka kubwa branch wanatamaa wale uku dar sisi tunapewa bila leseni ya biashara
 
😅😅😅😂😂🤣🤣🤣Tumia dada ni nzuri kuliko postpaid ya tigo airtel wanaita sme unaweza usilipe kila mwezi ila tigo usipolipa wanakuwekea deni
Wao bundle zao zipoje hiyo Sme?
Tigo hiyo ni toka enzi nasoma
Ndio imesajiliwa na Nida.. nitaiweka wapi nikihamia airtel 😂😂

Tigo usipolipa wanaban laini. 🤣🤣
 
Wao bundle zao zipoje hiyo Sme?
Tigo hiyo ni toka enzi nasoma
Ndio imesajiliwa na Nida.. nitaiweka wapi nikihamia airtel 😂😂

Tigo usipolipa wanaban laini. 🤣🤣
Airtel usipolipa hawakufungii wala nni na unaweza uslipe ukalipia mwez ujao lakini tigo waanakuwekea deni na banned unakula🤣🤣🤣😂😅😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…