Hako ka 115k?Ndio unatembea nacho popote alafu kana kasi sana
😅😅😅😂😂🤣🤣🤣Tumia dada ni nzuri kuliko postpaid ya tigo airtel wanaita sme unaweza usilipe kila mwezi ila tigo usipolipa wanakuwekea deniAloo
Sijawahi miliki laini ya airtel
Sijui uwa nawaonaje 🙃
Ndio zip nyuma zichekiNgoja nitulie
Nirejee hizo comments za nyuma niitafute
Sio Scars ndo alipost?
Dada ungeenda duka kubwa branch wanatamaa wale uku dar sisi tunapewa bila leseni ya biasharaHako ka 115k?
Ila jana si nilikwambia lakini mie voda walichonambia Summit branch kuhusu hiyo unlimited ya 115?
Ni mpaka niwe na leseni ya biashara
Kama sina, basi napaswa kununua hiko ki router separate na kulipa bundle la 115.
Wao bundle zao zipoje hiyo Sme?😅😅😅😂😂🤣🤣🤣Tumia dada ni nzuri kuliko postpaid ya tigo airtel wanaita sme unaweza usilipe kila mwezi ila tigo usipolipa wanakuwekea deni
Wao bundle zao zipoje hiyo Sme?
Tigo hiyo ni toka enzi nasoma
Ndio imesajiliwa na Nida.. nitaiweka wapi nikihamia airtel 😂😂
Tigo usipolipa wanaban laini. 🤣🤣
Airtel usipolipa hawakufungii wala nni na unaweza uslipe ukalipia mwez ujao lakini tigo waanakuwekea deni na banned unakula🤣🤣🤣😂😅😁Wao bundle zao zipoje hiyo Sme?
Tigo hiyo ni toka enzi nasoma
Ndio imesajiliwa na Nida.. nitaiweka wapi nikihamia airtel 😂😂
Tigo usipolipa wanaban laini. 🤣🤣
DahDada ungeenda duka kubwa branch wanatamaa wale uku dar sisi tunapewa bila leseni ya biashara
😂😂😂 mbona rahaaaa.Airtel usipolipa hawakufungii wala nni na unaweza uslipe ukalipia mwez ujao lakini tigo waanakuwekea deni na banned unakula🤣🤣🤣😂😅😁
Ndio nianze na usajili wa laini ya airtel 😂 sasa
WachekiDah
Ama nipige customer care niwasikilizie? Ama huku sie ndo wanatulipisha na usafiri wa hizo router from Dar 🤣
Tigo kausha damu dada yangu😂😂😂 mbona rahaaaa.
Tigo ni shwaaa, unajikuta kalaini hakafanyi kitu zaidi ya kuaccess tigopesa
Wako vizuri sanaNdio nianze na usajili wa laini ya airtel 😂 sasa
Thanks much kaka ChazWako vizuri sana
Na saiv wamekuja na huduma ipo kama supa kasiThanks much kaka Chaz
😃😃😃Wacha tuendelee tu kutesekaWanatuona makolo
Venye wako supakasi
Wanajua hatuwezi enda popote
Mbna naona na voda kama walikuja nayo kuna mdau alipostKaka hii ipo airtel voda haipo
NadhaniNgoja nitulie
Nirejee hizo comments za nyuma niitafute
Sio Scars ndo alipost?
WameitoaMbna naona na voda kama walikuja nayo kuna mdau alipost