Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
-
- #7,781
Kama internet speed yako ndogo ama huna tv ya 4k Google Chromecast with Android ipo vizuri around $30-40 inasupport hadi Av1 encoding hivyo haili sana MB unapotumia Youtube ama Netflix etc.Hivi mkuu around 50$ ni android box tv ipi nzuri kwa sasa?
Zamani ilikua ya biashara specific, ila kuna kitu nimesajili juzi kati na voda ambacho kilitaka Tin ya biashara kwa Tin ya kawaida + Nida, Wakala aliniambia wamebadili, pia kuna wadau humu wanasema sasa hivi ni Tin tu na Nida, haijakua confirmed ila unaweza wajaribu.Chief-Mkwawa
Mkuu, hivi Tin kwenye usajili ya Vodacom 5G (120k per month ) lazima uwe na Tin number ya business, au hata ile ya kawaida wanakubali hao vodacom?
Nimefuatilia zaidi,Kama internet speed yako ndogo ama huna tv ya 4k Google Chromecast with Android ipo vizuri around $30-40 inasupport hadi Av1 encoding hivyo haili sana MB unapotumia Youtube ama Netflix etc.
Alternative ni Fire tv ya Amazon. Hizi kwenye sale hadi $15. Na mtumba hadi $10. Pia zipo Mi stick za Xiaomi bei hizo hizo.
Kwa zenye 4k kuna ONN za Walmart hizi za bei rahisi zaidi, kuna chromecast 4k (haina Av1 kama ya full HD) kuna fire tv Max ya 4k, pia ipo mi tv box S nayo pia ina 4k.
Kwa mtumba hio ya 4k kuna Fire tv Cube ikiwekwa kwenye sale ya mtumba inakuwa around $40, fire tv Cube ina nguvu unaweza tumia kama TV box ama ukacheza na games kabisa.
| Feature | Google Chromecast with Google TV | Amazon Fire TV Stick 4K Max | ONN 4K HDR Streaming Device | Amazon Fire TV Cube |
|---|---|---|---|---|
| Resolution | 4K Ultra HD | 4K Ultra HD | 4K Ultra HD | 4K Ultra HD |
| HDR | Dolby Vision, HDR10+, HLG | Dolby Vision, HDR10+, HLG | HDR10, HLG | Dolby Vision, HDR10+, HLG |
| Processor | Quad-core ARM Cortex-A55 | Quad-core ARM Cortex-A73 | Quad-core ARM Cortex-A55 | Hexa-core ARM Cortex-A53 |
| RAM | 2GB | 2GB | 2GB | 2GB |
| Storage | 8GB | 8GB | 8GB | 16GB |
| Remote control | Voice remote with Google Assistant | Voice remote with Alexa | Voice remote with Google Assistant | Voice remote with Alexa |
| Operating system | Google TV | Fire TV | Android TV | Fire TV |
| Price | $49.99 | $54.99 | $29.88 | $119.99 |
Hawakubali.Ndio mzee
Labda iwe wanatoa upendeleo depends na mkoa.Mkuu, kwenye kujiunga na Vodacom 5G, ukitumia Tin number ya kawaida ile ya kutengeneza kwenye portal ya TRA, (non business) wanakubali hao vodacom?
Itakuwa dada mie pale airtel moroco kinondoni nilikuwa na tinHawakubali.
Me walikataa
Wanataka TIN ya biashara.
Labda iwe wanatoa upendeleo depends na mkoa.
Eti airtel 🤣ni voda hq paleItakuwa dada mie pale airtel moroco kinondoni nilikuwa na tin
Mkuu mimi huwa napenda hii ya mi tv box S,lakini RAM yake ya 2GB siyo tatizo?Je,ina processor yenye nguvu?Kama internet speed yako ndogo ama huna tv ya 4k Google Chromecast with Android ipo vizuri around $30-40 inasupport hadi Av1 encoding hivyo haili sana MB unapotumia Youtube ama Netflix etc.
Alternative ni Fire tv ya Amazon. Hizi kwenye sale hadi $15. Na mtumba hadi $10. Pia zipo Mi stick za Xiaomi bei hizo hizo.
Kwa zenye 4k kuna ONN za Walmart hizi za bei rahisi zaidi, kuna chromecast 4k (haina Av1 kama ya full HD) kuna fire tv Max ya 4k, pia ipo mi tv box S nayo pia ina 4k.
Kwa mtumba hio ya 4k kuna Fire tv Cube ikiwekwa kwenye sale ya mtumba inakuwa around $40, fire tv Cube ina nguvu unaweza tumia kama TV box ama ukacheza na games kabisa.
Shukrani mkuuOption ya kwanza:
View attachment 2768344
ninapendekeza X96 Max+ au Tanix TX3 kwa sababu zina RAM na ROM ya kutosha, waweza angali HD na 4K na bei zake ni ndani ya bajeti yako.
Option ya pili: ( Bajeti kidogo iongezeke hasa kwa MECOOL)Xiaomi Mi Box S
View attachment 2768342
Mecool KM6 Deluxe
- Mfumo : Android 10
- Ubora wa picha: 4K HDR
- Ubora wa sauti: Dolby Atmos
- Vipengele: Netflix, YouTube, Amazon Prime Video, Google Stadia, GeForce Now
View attachment 2768341
- Mfumo : Android 11
- Ubora wa picha: 4K HDR
- Ubora wa sauti: Dolby Atmos
- Vipengele: Netflix, YouTube, Amazon Prime Video, Google Stadia, GeForce Now
Processor zote hizo zinalingana Quadcore cortex A53 ama A55 ni. Processor dhaifu ambazo kazi yake ni kustream tu youtube, Netflix na wengineo na kwa hio kazi ram 2GB inatosha.Mkuu mimi huwa napenda hii ya mi tv box S,lakini RAM yake ya 2GB siyo tatizo?Je,ina processor yenye nguvu?
Kodi naikubali sanaProcessor zote hizo zinalingana Quadcore cortex A53 ama A55 ni. Processor dhaifu ambazo kazi yake ni kustream tu youtube, Netflix na wengineo na kwa hio kazi ram 2GB inatosha.
Kama unataka kufanya kazi nyengine tofauti na kustream kama kucheza games unahitaji core 8 na angalau core 2 kubwa kati ya hizo nane, maarufu Zipo Nvidia Shield na Hio Fire tv Cube, hio cube huwa mara kwa mara zinawekwa sale refurb Kwa dola $40 ila ukitaka mpya zote ni $100 kupanda.
Alternative kibishi bishi sisi wataalamu hutumia PC, tafuta kadesktop kadogo kwenye mtumba laki mpaka laki 2, weka ssd na ram za kutosha kisha weka Kodi, Kodi ina add-ons nyingi ukitaka Netflix, Movies kama Elementum, mpira, Games, Miziki na vinginevyo.
Uzuri wa Kodi inakua na skins mbalimbali ukitaka muonekano kama wa tv Za Samsung, LG, Netflix unaweka, pia kila skin ya Kodi ina namna yake kunavigate, sio lazima kutumia keyboard na mouse, waweza tumia Gamepad, Remote ya Bluetooth etc.
Mfano mi natumia hii Arctic Reloaded na Gamepad kunavigate.
View attachment 2768484
Pia sio lazima desktop hata laptop bovu bovu limekufa keyboard na display linafaa kazi hii, Laptop hazili sana umeme.
Mkuu mimi siyo mpenzi wa kucheza games bali napenda sana reality shows,documentaries,sci-fi,drama,sports na kadhalika ambazo nitakuwa nazipata zaidi kupitia adds-on na nitakuwa naangalia hizi TV channels kwenye TV screen.Yaani matumizi mengi ni IPTV zitakazotokana na adds-onProcessor zote hizo zinalingana Quadcore cortex A53 ama A55 ni. Processor dhaifu ambazo kazi yake ni kustream tu youtube, Netflix na wengineo na kwa hio kazi ram 2GB inatosha.
Kama unataka kufanya kazi nyengine tofauti na kustream kama kucheza games unahitaji core 8 na angalau core 2 kubwa kati ya hizo nane, maarufu Zipo Nvidia Shield na Hio Fire tv Cube, hio cube huwa mara kwa mara zinawekwa sale refurb Kwa dola $40 ila ukitaka mpya zote ni $100 kupanda.
Alternative kibishi bishi sisi wataalamu hutumia PC, tafuta kadesktop kadogo kwenye mtumba laki mpaka laki 2, weka ssd na ram za kutosha kisha weka Kodi, Kodi ina add-ons nyingi ukitaka Netflix, Movies kama Elementum, mpira, Games, Miziki na vinginevyo.
Uzuri wa Kodi inakua na skins mbalimbali ukitaka muonekano kama wa tv Za Samsung, LG, Netflix unaweka, pia kila skin ya Kodi ina namna yake kunavigate, sio lazima kutumia keyboard na mouse, waweza tumia Gamepad, Remote ya Bluetooth etc.
Mfano mi natumia hii Arctic Reloaded na Gamepad kunavigate.
View attachment 2768484
Pia sio lazima desktop hata laptop bovu bovu limekufa keyboard na display linafaa kazi hii, Laptop hazili sana umeme.
Basi chukua tu tv box mkuu, hio Mi box S ni decent kwa hio budget. Hapo unaweka tu stremio na kutegemea na speed ya internet yako tafuta iptv.Mkuu mimi siyo mpenzi wa kucheza games bali napenda sana reality shows,documentaries,sci-fi,drama,sports na kadhalika ambazo nitakuwa nazipata zaidi kupitia adds-on na nitakuwa naangalia hizi TV channels kwenye TV screen.Yaani matumizi mengi ni IPTV zitakazotokana na adds-on
Mkuu unamaanisha kuwa hii Mi box s inafaa kwa matumizi yangu?Basi chukua tu tv box mkuu, hio Mi box S ni decent kwa hio budget. Hapo unaweka tu stremio na kutegemea na speed ya internet yako tafuta iptv.
Ndio itafaa mkuu, ama yoyote hapo juu, google tv au Fire tv. Zote zina specs zinazofanania na pia zina Software ambayo tayari ipo optimized kwenye tv.Mkuu unamaanisha kuwa hii Mi box s inafaa kwa matumizi yangu?
Mkuu shukrani sana hasa kwenye hiyo idea ya stremio kwani nilikuwa na hofu ya matangazo kwenye hizi official adds-onNdio itafaa mkuu, ama yoyote hapo juu, google tv au Fire tv. Zote zina specs zinazofanania na pia zina Software ambayo tayari ipo optimized kwenye tv.
Stremio inakula tu bando hatari, kama una Unlimited ni app nzuri sana, hamna matangazo wala kukwama kwama.Mkuu shukrani sana hasa kwenye hiyo idea ya stremio kwani nilikuwa na hofu ya matangazo kwenye hizi official adds-on
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mamaeeeeNasoma comment nikiwa nimejaza 4.tb ndani ya mwezi mmoja tu bando linaisha kesho kutwa ila habari wanazo [emoji2]
Shukrani MkuuInternet speed ina mambo matatu
-speed ya kudownload (unapakua vitu haraka kama movies, series etc)
-speed ya ku upload (hii ni ya streamer na creator wengine kama wanao upload video YouTube)
-Hio ping
Ping ni ule uharaka wa wewe kuomba kitu mpaka ukatumiwa. Chukulia mfano unaongea video call inabidi vitu viwe real time, ukiomba video kwenye server Na uletewe haraka. Ping Inapimwa na muda mfano screenshot Za watu humu nyingi Unaona zinaandika 30ms huo ni muda unamaanisha kila 0.03 sekunde unaweza pokea kitu kwenye server.
Mfano mwengine ni kwa sisi tunaocheza magame, kila pasi unayopiga, kila chenga, kila shuti, inabidi Mwenzako alione hapo hapo ili akukabe, so ping inabidi iwe vizuri.
Mtu anaposema wired ping ni kwamba ping inaathiriwa na kitu chochote wireless, inaweza kuwa internet yako ama router yako, hivyo unapoconect computer ama ps5 yako Na Ethernet cable badala ya wifi unapata ping nzuri, na kama source ya internet ni fiber ina maana internet yako inakua full wired.
Mambo ya bundles yashapitwa na wakati,unlimited package ndio utaenjoy 5G5G mie naipataga sometimes kwa simu… ni bando kuteketea tu