Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Kwa kuweka hiyo Power bank, Airtel kweli wamefanya jambo jema sana. Sasa ngojea nisubiri 5G ifike eneo langu niwaibukie nichukue hicho kifaa niachane na Supakasi ya 20mbps. Maana nimeogopa kuchukua 5G modem za Vodacom kwa kuwa umeme ukikatika ndiyo basi tena huwezi endelea na kazi.
 
Hizi za airtel zinakamata both 4G na 5G..... kama eneo halina 5G basi 4G inapiga kazi fresh.... siku 5G ikifika basi automatic inaenda huko...
 
Hizi za airtel zinakamata both 4G na 5G..... kama eneo halina 5G basi 4G inapiga kazi fresh.... siku 5G ikifika basi automatic inaenda huko...
Issue ni kwamba kifurushi ninachotaka ni cha 50 mbps na kwa mahali nilipo Airtel ni kama konokono, ndiyo maana ninabidi nivute subira hadi 5G.
 

Voda wanazingua siku hizi.
Internet unapata mbov ukipiga simu ni marobot tu yanaongea hakuna option ya kuongea nao yaan hata siwaelewi.

Ipo siku ntaacha kulipia bila taarifa hadi account yangu waifungie. Kwa maana haiwezekani bili zao nilipie kwa wakati halafu mtandao unakaa sawa usiku mzito tu.
 
Hebu tupe mchanganuo wake sasa, hizo outputs zina signify nini mkuu..
Nilitaka tu kujua aina gani ya powerbank inaweza ku power hizo router, volt 7 na Amps 2 ina maana hata hizi fast charging za 18W za kina Xiaomi zinaweza. Kama unajiweza unaweza ukaongeza hio capacity hadi 30,000mah let's say unaenda field hakuna umeme.
 
Output voltage 12V=2A
Input voltage 12V=A
Battery power: 7.4V/5000mAh, 37Wh
 
Terms and conditions ulipitia mkuu?

Anyway njia ya kuongea na huduma kwa wateja voda inabidi upambane kama umekosea muamala , au la tumia namba zao za whatsapp ama warukie mitandao mfano pale jamhuri ya X (twitter)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…