Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Matajuri wengi mabinafsi ndio maana wanaendelea....angalia tu nchi zilizoendelea zipo kwenye capitalism .....hii ya umoja umoja ndio iliyotuponza akina tz
Hii nakataa kama ubinafsi ungekuwa unatupa maendeleo basi watanzania tungekuwa matajiri namba 1 duniani
Alafu jifunze kutofautisha kati ya capitalism na selfishness ni vitu viwili tofauti kabisa

Mimi nimeongelea ubinafsi na sio ubepari
 
Hii nakataa kama ubinafsi ungekuwa unatupa maendeleo basi watanzania tungekuwa matajiri namba duniani
Alafu jifunze kutofautisha kati ya capitalism na selfishness ni vitu viwili tofauti kabisa

Mimi nimeongelea ubinafsi na sio ubepari
Umepata file na unatumia free internet.
Unaanza mwenye 5,000 anitafute nikupe unlimited internet file ya tigo. Unasambaza kwenye facebook na mitandao ya kijamii mingine
Wenye mitandao hawatupendi na hawataki tuwe na unafuu wwte katika kutumia internet. Mimi ni mtumiaji wa internet ila kila siku gharama za internet zinabadilika kila siku na zinakuwa ghari sana tofauti na hali halisi ya maisha ya uchumi wa mtanzania. 1000 unapata 450mb, hapa ndipo nilianza kutafuta maarifa ya kupata free internet maana hela ilikuwa inatumika sana kununua bando.
Ukipata file, jitahidi ule na kipofu
 
Wakubwa zangu nimekuwa Mhanga wa gharama za bando ambazo ni Official kutoka Airtel
Wakuu zangu nimekuwa naumia sana na Mabando ya Airtel.Pia nilishawahi tapeliwa mjini INSTA Kwakuhitaji msaada.Hivyo mwenye nia nzuri ya kuungwa Bill nafuu ya mabando Plizz anisaidie.Niko tayari kwa msaada wowote kwa kupitia PM
 
Bando Nafuu Airtel ni SME,
 
Airtel wamelekeza kamba mimi nimepata kitonga kwa 70000 hakuna gharama za routa. Kesho Mungu akijalia nalipia. Nitaleta mrejesho na mahalo nilipo chukukia na number za mhudumu. NB usitumie sellsman kupata huduma hii wafuate wakubwa ofisin uwalilie njaa😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…