Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Nida yako tu.. Na either umfate wakala alipo au akufate.. hapo kwenye kukufata ndo unaweza kuchangia nauli.. ukishasajiliwa line ujiunge kifurush chochote hapo hapo... Ila kwa sasa line za kupiga na kupokea hawasajili tena... zipo za data only
Matumizi yangu ni ya data tu. Je, nikienda Halotel shop naweza kupata huduma hiyo?
 
Mimi nimenunua kifurushi cha eatel cha 110k tupo watumiaji 9 ila speed yake ni ndogo sana sasa sijajua ni kwa sababu ya mawingu au ni nini kinachangia speed kushuka namna hii.
 

Attachments

  • Screenshot_20240506-095932.png
    Screenshot_20240506-095932.png
    120.4 KB · Views: 30
Mimi nimenunua kifurushi cha eatel cha 110k tupo watumiaji 9 ila speed yake ni ndogo sana sasa sijajua ni kwa sababu ya mawingu au ni nini kinachangia speed kushuka namna hii.
Fanya research ndogo.. Waambie waloconnect wote wa disconnect kisha upime speed mwenyewe... nahisi mahali ulipo internet sio nzuri sanaa... Airtel ana maeneo yake.. sio kila sehemu anaspidi.. au badili location. kuna mwana anayo nikiwa natumia ipo slow hata kustream youtube haifiki 720p, nikiitoa kuiweka nje inapiga kazi fresh 1080p bila kuscratch..
 
Fanya research ndogo.. Waambie waloconnect wote wa disconnect kisha upime speed mwenyewe... nahisi mahali ulipo internet sio nzuri sanaa... Airtel ana maeneo yake.. sio kila sehemu anaspidi.. au badili location. kuna mwana anayo nikiwa natumia ipo slow hata kustream youtube haifiki 720p, nikiitoa kuiweka nje inapiga kazi fresh 1080p bila kuscratch..
Sawa mkuu,nitafanya hivyo.na je hali ya hewa inaweza kuwa chanzo cha kuwa slow pia?
 
Toka Halotel waje na M2M nimesajili Line mbili.. Moja hiyo haipigi wala kupokea ya data only... Hii haina maajabu sana hata uungaji wake ni mgumu mpaka uwe na line ya halotel nyengine maana haina Halopesa na bando zake zinaanzia 15k kwa mwezi au 5k kwa wiki, 15k gb 18 na hiyo ya 5k gb 4..

Pia nilisaijili nyengine baadae ya special ila inapiga na kupokea sms yaani ni kama line ya kawaida pia ndani yake kuna menu ya bando ya ile la M2M isiyopiga wala kupokea... pia ina vifurushi vyengine vikubwa zaidi vyenye dakika na sms... Hii alienisajilia aliniambia nikijiunga bando la elfu 50 ndo naweza kupata hiyo unlimited (actually sio unlimited bali ni gb 100,, zikiisha speed inapungua) pia unapata sms na dakika... naweka na poster hapa kwa maelezo zaidi.

Shukrani sana mkuu kwa ufafanuzi murua kabisa. Imeeleweka vyema.

Kwa unlimited data package naona Airtel router 5G inachukua ushindi. Itanibidi nichukue Airtel. Japo, bado sijajua endapo SIM card yake inakubali kutumika kwenye smartphone pia, ama la.

Airtel router 4G nayo ingenifaa, ila hii nayo bado sijajua endapo ina UNLIMITED data package, ama la.

Cc: Scars , bonjov

-Kaveli-
 
Shukrani sana mkuu kwa ufafanuzi murua kabisa. Imeeleweka vyema.

Kwa unlimited data package naona Airtel router 5G inachukua ushindi. Itanibidi nichukue Airtel. Japo, bado sijajua endapo SIM card yake inakubali kutumika kwenye smartphone pia, ama la.

Airtel router 4G nayo ingenifaa, ila hii nayo bado sijajua endapo ina UNLIMITED data package, ama la.

Cc: Scars , bonjov

-Kaveli-
Wanavyodai ni kuwa unapewa 1 Tb
 
Unlimited yangu ya leo kasi yake ni ya konokono jamani hii ya 0.17mbps ni ya eatel 5G box na hiyo ya 23mbps nibya simu yangu zote zikiwa ni 4G.
Eneo nilipoweka router na niliposerch na simu ni the same.
Idadi ya watu waliokonect kwenye internet box ni mmoja tuu. Kifurushi ni cha 110k
 

Attachments

  • Screenshot_20240507-115605.png
    Screenshot_20240507-115605.png
    107 KB · Views: 27
  • Screenshot_20240507-115715.png
    Screenshot_20240507-115715.png
    107.7 KB · Views: 30
Unlimited yangu ya leo kasi yake ni ya konokono jamani hii ya 0.17mbps ni ya eatel 5G box na hiyo ya 23mbps nibya simu yangu zote zikiwa ni 4G.
Eneo nilipoweka router na niliposerch na simu ni the same.
Idadi ya watu waliokonect kwenye internet box ni mmoja tuu. Kifurushi ni cha 110k
Mkuu, eneo lako linashika 5G?
 
Shukrani sana mkuu kwa ufafanuzi murua kabisa. Imeeleweka vyema.

Kwa unlimited data package naona Airtel router 5G inachukua ushindi. Itanibidi nichukue Airtel. Japo, bado sijajua endapo SIM card yake inakubali kutumika kwenye smartphone pia, ama la.

Airtel router 4G nayo ingenifaa, ila hii nayo bado sijajua endapo ina UNLIMITED data package, ama la.

Cc: Scars , bonjov

-Kaveli-
Line za 5G unazopewa na Router hazi support internet kwenye simu.

Hata kama simu yako ni ya 5G

Kwa Router ya 4G haina unlimited ni package ya GB kadhaa tu baada ya hapo zikiisha basi itabidi ununue kifurushi kingine.
 
Kwa mara ya kwanza leo ndio na experience tatizo la mtandao kwenye Router ya Airtel.

Mpaka sasa imehitimu takribani nusu saa tangu tatizo lianze.

Lakini hadi Halotel naona kama nayo haipo stable leo
 
Back
Top Bottom