Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,502
- 9,070
Matumizi yangu ni ya data tu. Je, nikienda Halotel shop naweza kupata huduma hiyo?Nida yako tu.. Na either umfate wakala alipo au akufate.. hapo kwenye kukufata ndo unaweza kuchangia nauli.. ukishasajiliwa line ujiunge kifurush chochote hapo hapo... Ila kwa sasa line za kupiga na kupokea hawasajili tena... zipo za data only