Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
- #9,241
Naona kama ni Nchi nzima imezinguaKutoka Mbps 30 hadi Kbps 19
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona kama ni Nchi nzima imezinguaKutoka Mbps 30 hadi Kbps 19
Kuna taarifa nimeiona inadai ni Mkonga uliopo baharini ndio umeleta shida.Naona kama ni Nchi nzima imezingua
Haipo fresh, haifanyi kitu chochote heavy, pale juu tu nilikua sijai test. Unabrowse tu hapa na pale website nyepesi youtube na mambo mengine yanayotaka data sana havifunguki.Kuna taarifa nimeiona inadai ni Mkonga uliopo baharini ndio umeleta shida.
Ila kama Tigo iko fresh hapo ndio napata maswali.
Line za 5G unazopewa na Router hazi support internet kwenye simu.
Hata kama simu yako ni ya 5G
Kwa Router ya 4G haina unlimited ni package ya GB kadhaa tu baada ya hapo zikiisha basi itabidi ununue kifurushi kingine.
BOSS VIP HII TUNAPATAJE?Hii mbona bado ni expensive,? Wakati unapata GB 5 kwa 5000
GB 9 kwa 10,000
GB 18 kwa 15,000
GB 38 kwa 30,000
GB 66 kwa 50,000
GB 110 kwa 75,000
GB 210 kwa 100,000
Na ni vya mwezi na kuendelea adi mwaka na unaungwa bure tu kwa huo mtandao tena laini unaimliki ukitaka kujiunga mwenyewe unajiunga tuu...!
Ongeeni vizuri na watu muache kupigwa!
Anaetaka anicheki bure!
Line ya M2M imekuwa mkombozi wangu kwa sasa upande wa data.
Speed inategemea na sehem ulipo..Tupe uzoefu. Ipoje ipoje hiyo M2M ? Speed, data package, bei, etc
-Kaveli-
Ni line ya internet tu kwa halotel. Ufanyaji kazi ni kama line ya halotel tu ya kawaida ila hii hupigu wala kutuma sms ni interñet tu.Tupe uzoefu. Ipoje ipoje hiyo M2M ? Speed, data package, bei, etc
-Kaveli-
Inapatikanaje?Ni line ya internet tu kwa halotel. Ufanyaji kazi ni kama line ya halotel tu ya kawaida ila hii hupigu wala kutuma sms ni interñet tu.
Speed inategemea na sehem ulipo..
Package inaanza
5000_ GB 4
15,000 _ GB 18
30,000 _ GB 38
Wasiliana na halotel huduma watakupa mwongozo
Nicheki dm nikupe namba .BOSS VIP HII TUNAPATAJE?
chukua D-LINKK router halotel unlimited 50k kwa mwezi ni pocket na kwenye simu inasomaMkuu Kingsmann , kuhusu Airtel router ya 5G (UNLIMITED data package)... SIM card (line) yake inakubali kutumika kwenye smartphone pia?
Lengo: Router ikae home tu. Napoenda mishe mishe nachomoa SIM card naweka kwenye smartphone ili niendelee kupata internet kwenye simu. Naporudi home naweka line kwenye router.
Otherwise, ile AIRTEL pocket router 4G ingekuwa na UNLIMITED DATA PACKAGE ingenifaa sana coz inaruhusu kutembea nayo hata mfukoni, popote napoenda.
Ushauri wako plz.
-Kaveli-
chukua D-LINKK router halotel unlimited 50k kwa mwezi ni pocket na kwenye simu inasoma
Na shida na airtel mimiAnayehitaji Gb za halotel nichek zinaisha tarehe 1 juni Gb 5 nakupa kwa buku 5 tu ni ofa natoa.
Bro nimekuja uniunge hiyooHii mbona bado ni expensive,? Wakati unapata GB 5 kwa 5000
GB 9 kwa 10,000
GB 18 kwa 15,000
GB 38 kwa 30,000
GB 66 kwa 50,000
GB 110 kwa 75,000
GB 210 kwa 100,000
Na ni vya mwezi na kuendelea adi mwaka na unaungwa bure tu kwa huo mtandao tena laini unaimliki ukitaka kujiunga mwenyewe unajiunga tuu...!
Ongeeni vizuri na watu muache kupigwa!
Anaetaka anicheki bure!