Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Wale wenzangu na mimi tunaotumia Airtel 5G Router, naona Airtel wamekuja na Router mpya.

Za kwanza model yake ilikuwa ZLT X28.
1691938534173 (1).jpeg


Za sasa model yake ni ZLT X25.
17901543_img202311182331498782_jpeg9134b64f9ae0c46370871fed57d2b07e.jpeg


Hii model mpya utofauti wake ni ndogo zaidi, hivyo iko more portable.

Zile za zamani ni nene kiaina, hivyo haziko portable kushinda hizi za sasa.

Kinachochanganya, ni kwenye uwezo kati ya hizo router, natamani kubadilisha nichukue hii mpya lakini naona kama zimezidiwa nguvu na zile za kwanza.


Wajuzi hebu tufahamishane, is it worth kuchukua hizi ZLT X25?

Au nikomae na li ZLT X28 langu?

Screenshot_2024-05-30-21-48-58-666_com.android.chrome-edit.jpg

ZLT X28

Screenshot_2024-05-30-21-48-25-093_com.android.chrome-edit.jpg

ZLT X25
 
Wale wenzangu na mimi tunaotumia Airtel 5G Router, naona Airtel wamekuja na Router mpya.

Za kwanza model yake ilikuwa ZLT X28.
View attachment 3004158

Za sasa model yake ni ZLT X25.
View attachment 3004159

Hii model mpya utofauti wake ni ndogo zaidi, hivyo iko more portable.

Zile za zamani ni nene kiaina, hivyo haziko portable kushinda hizi za sasa.

Kinachochanganya, ni kwenye uwezo kati ya hizo router, natamani kubadilisha nichukue hii mpya lakini naona kama zimezidiwa nguvu na zile za kwanza.


Wajuzi hebu tufahamishane, is it worth kuchukua hizi ZLT X25?

Au nikomae na li ZLT X28 langu?

View attachment 3004155
ZLT X28

View attachment 3004156
ZLT X25
Ya juu kali mkuu,
1. Unaona hio Mimo (multiple input, Multiple output) hio ni uwezo wa router kuconnect na minara zaidi, ya juu itaconect na minara 4 na chini minara 2, inasaidia stability ya network.

2. Speed za 4G na 5G ya juu ipo vizuri hasa hapo kwenye 4G, ya juu ni gigabit LTE ya chini ni pengine LTE Advance, Sijajua Airtel kama unatake hii advantage ila kwa Tigo ukiwa na gigabit LTE inasaidia.

3. Umeme ya juu haili sana 12x1.5 ni watts 18 ya chini 12x2 ni watts 24, kama zinatumika full time kwa mwezi kuna tofauti kama unit 4 za umeme.

4. Ya juu pia ina ram kubwa, sijajua router za Airtel zipoje, ila baadhi ya router zina hadi store unaweza weka apps ikasaidia TV ambayo sio smart, ama ni smart ina kosa vitu kama torrent ukaipa uwezo huo.

Ya chini naona ina Antena nyingi zaidi, assume antenna zote ni sawa basi itakua na advantage kusambaza wifi nyumbani.

Binafsi ningechukua ya juu.
 
Ya juu kali mkuu,
1. Unaona hio Mimo (multiple input, Multiple output) hio ni uwezo wa router kuconnect na minara zaidi, ya juu itaconect na minara 4 na chini minara 2, inasaidia stability ya network.

2. Speed za 4G na 5G ya juu ipo vizuri hasa hapo kwenye 4G, ya juu ni gigabit LTE ya chini ni pengine LTE Advance, Sijajua Airtel kama unatake hii advantage ila kwa Tigo ukiwa na gigabit LTE inasaidia.

3. Umeme ya juu haili sana 12x1.5 ni watts 18 ya chini 12x2 ni watts 24, kama zinatumika full time kwa mwezi kuna tofauti kama unit 4 za umeme.

4. Ya juu pia ina ram kubwa, sijajua router za Airtel zipoje, ila baadhi ya router zina hadi store unaweza weka apps ikasaidia TV ambayo sio smart, ama ni smart ina kosa vitu kama torrent ukaipa uwezo huo.

Ya chini naona ina Antena nyingi zaidi, assume antenna zote ni sawa basi itakua na advantage kusambaza wifi nyumbani.

Binafsi ningechukua ya juu.

Shukrani sana mkuu🤝


Basi ngoja nikomae na hii hii X28.
 
Halotel CUG
4gb 7000
9gb 13000
15gb 18000
24gb 26000
38gb 38000
66 GB 66000
110 GB 90000
210 GB 160000

Combo Halotel cug bundle
6000/= . GB 3. Dk 270 SMS 500
12000/=. GB 6 Dk 550 SMS 600
24000/= GB 15. Dk 1100 SMS 1000
35000/= GB 23. Dk 1400 SMS 500
48,000/= GB 31 dk 1600 SMS 1000
660,000/= GB 40 dk bila kikomo sms 1000

👆👆👆Interest pm,
 
Airtel wamefakisha

Hakuna access ya internet kuanzia majira ya saa saba na nusu usiku muda huu.
 
1. D-Link router naipataje? au inauzwa na hao hao HALOTEL?

2. Bei ya hiyo router TSH ngapi? ni universal inasoma line ya mtandao wowote? ni 4G ama 5G?

3. Hiyo UNLIMITED data package ya HALOTEL (TSH 50k per month), speed yake ipoje (Mbps)?

4. Hiyo Line ya HALOTEL unayosema ndiyo ile inaitwa M2M? ama ni tofauti?

-Kaveli-
Tunaomba majibu ya haya maswali kwa mwenye uelewa ili tuone kama tunaweza kuchagua kuchukua hii router ya halotel ya D-link.. Asanteni
 
Back
Top Bottom