James Hadley Chase
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 1,984
- 3,695
Sasa hizo document tunazituma wapi n hii namba haipo WhatsApp?Inafaa boss nicheki tu
Nipo dar wewe wapiUpo wapi
Mkuu unaweza cheki kama line za lipa no zenye mfumo tofauti zinaweza kujiunga hii huduma?Inafaa boss nicheki tu
Sawa kaka nafwatilia nakurudiaMkuu unaweza cheki kama line za lipa no zenye mfumo tofauti zinaweza kujiunga hii huduma?
TTCL wangese sana wanachezea tu fursaKwa hizi bei za ajabu za Tigo, bora nisubiri tu halotel waje kitaa changu. 😂 Siwezi kulipa laki kwa 20mbps
TTCL nimekwisha achana nao kabisa maana ilikuwa kama nawatongoza. Fibre yao ipo hatua kumi kutoka home lakini nimejaribu kila njia kuwapata wafunge ila wapi. Nikasema poa tu - isiwe shida. Nitasubiri maana Halotel washaanza kuja Tabata.TTCL wangese sana wanachezea tu fursa
Hii nimejaribu ila imenigomea kwanguKwa watumiaji wa Tigo Pata GB za bure kwa kufuta maelekezo haya.
1. Ingia TigoPesa app (Kama hauna download play store)
2. Ingia Invite & Earn
3. Bonyeza Redeem
4. Weka hii code 8UP9UNZE
Baada ya hapo utapata 2GB na DK kibao bure kabisa!!
Wajinga hawaishiHii nimejaribu ila imenigomea kwangu
Vipi stability ya internet ukilinganisha na airtel,Nilifanya maombi ttcl kama sio 2021 ni 2022 wakaja wakachek wakaondoka nikafatilia sana nikapigwa danadana nikachoka Airtel alivyokuja na router za 5g nikajichukulia moja ya malipo ya 70,000 kwa mwezi sasa cha ajabu juzi kati hapa hao ttcl wakanipigia wakaniuliza bado naitaji huduma ya internet nikasema ndio wakasema mafundi wanakuja nikajua kama kawaida yao masaa kama 3 mbele nikaona mafundi wamekuja wakavuta fiber nikapewa control number nikalipa wakaleta router wakanifungia ila shida router yao ile user interface wamelock na hawatoai password ya kulogin kwenye router.Nipo moshi sijui kwa maeneo mengine
Ttcl ipo vizuri kuliko airtel mfano airtel cha 70,000 ni 10mbps kwa ttcl ni 55,000 kwa 20mbps ukiangalia kwa ttcl ni speed mara mbili ya airtel na bei pia ni pungufu kama unaweza kupata ttcl ndio ni bora zaidiVipi stability ya internet ukilinganisha na airtel,
All in all ipi ni bora kwako?
TTCL ni Mbps 30 sio 20 (Hapo kuna kudownload na Kuupload)Ttcl ipo vizuri kuliko airtel mfano airtel cha 70,000 ni 10mbps kwa ttcl ni 55,000 kwa 20mbps ukiangalia kwa ttcl ni speed mara mbili ya airtel na bei pia ni pungufu kama unaweza kupata ttcl ndio ni bora zaidi
Ipo WhatsApp mbona mkuu +255 753 207 909Sasa hizo document tunazituma wapi n hii namba haipo WhatsApp?
Sijui kama sio airtel,Nimepata za chini chini kuna kampuni moja ya Simu wanataka kubadilisha bei za vifurushi vyao vya Internet... Na hii ni kutokana na Router zao kuwa na Speed ndogo ikilinganishwa na washindani wake (Malalamiko mengi kutoka kwa wateja wake) na hii inaweza kufanyika kabla ya mwezi wa 9 mwaka huu.
Mkuu iyo aifaiMkuu unaweza cheki kama line za lipa no zenye mfumo tofauti zinaweza kujiunga hii huduma?