Nanunuaje Online, kuna website maalum au? Huyo agent nae anapatikana humu au Insta?unatakiwa upate vocha ya chuo, zipo kibao mtaani, pia ipo namna ya kununua online, cheki na huyo agent wa udom.
page ya 12 uzi huu utaiona au click hapaNanunuaje Online, kuna website maalum au? Huyo agent nae anapatikana humu au Insta?
Nimekusoma sanayap, huwa napenda niwe na line zote, nchi hii kila eneo mtandao fulani ni bora kuliko mwengine
Unamaanisha Ofa kabambe kupitia airtel money.kuna offer kabambe pia ina vifurushi vyote vya chuo hata kama huna line ya chuo, ila kinachomisi ni hiko tu. na watu wengi wanakiulizia.
yap airtel money, na ipo namba ya kawaida pia ila nimeisahau kidogo mpaka nikiwa na line ya airtel karibu naweza kuiangalia.Unamaanisha Ofa kabambe kupitia airtel money.
Naona labda wakiruhusu kwa kila laini watapata hasara
Poa mkuu ngoja niifanyie kazipage ya 12 uzi huu utaiona au click hapa
Vifurushi vya internet visivyo rasmi kwa makampuni ya simu
kuna namba unaitumia 600 kwa airtel money inakupa hicho kifurushi, sijaitumia ila wadau wanasema inafanya kazi.
Mkuu imekubali ndani ya sekunde tu jamaa katuma details.page ya 12 uzi huu utaiona au click hapa
Vifurushi vya internet visivyo rasmi kwa makampuni ya simu
kuna namba unaitumia 600 kwa airtel money inakupa hicho kifurushi, sijaitumia ila wadau wanasema inafanya kazi.
Mkuu hii inakuwaje? nisaidie na mmMkuu imekubali ndani ya sekunde tu jamaa katuma details.
View attachment 626705
so imekubali 10GB umeunga?Mkuu imekubali ndani ya sekunde tu jamaa katuma details.
View attachment 626705
Chief naomba maelezo ya hii offerso imekubali 10GB umeunga?
uzuri wa offer hio zinatumika ndani ya siku 3, hata usipozimaliza leo zitaendelea kutumika.
yapo page ya 12, click hio link hapo juu utafika page ya 12.Chief naomba maelezo ya hii offer
Imekubali mkuu hapa nasubiri jioni ifike niteremshe mzigo tuso imekubali 10GB umeunga?
uzuri wa offer hio zinatumika ndani ya siku 3, hata usipozimaliza leo zitaendelea kutumika.
MELEZO HAYA HAPA.Mkuu hii inakuwaje? nisaidie na mm
Hiyo yakwako wewe tu!!wale wa voda angalia hii kabla haijaisha piga * 149*03#
unaweza kushare ni line ya 4G au 3G? muonekano wa line upoje?Mimi voda wananipa gb 5 kwa 2000
Yesunaweza kushare ni line ya 4G au 3G? muonekano wa line upoje?