Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Location niliyopo internet ya Airtel huwa inashuka kuanzia saa moja jioni mpaka saa nne hivii.... Na siyo kwenye router tu bali hadi kwenye line ya kawaida speed ni ndogo vilevile...


Na nimekuja kugundua inategemeana na eneo na eneo, hilo eneo mara nyingi usiku ndiyo nakuwaga hapo. Ila siku nikiwa home sipati mushkeli ya mtandao kabisa mida hiyo.

Hivyo nikaja kuconclude kwamba eneo hilo huenda mnara wa mawasiliano mida hiyo huwa unazidiwa au ni technical errors tu za mnara husika.
Hawa na voda wana undugu mwanangu
 
Location niliyopo internet ya Airtel huwa inashuka kuanzia saa moja jioni mpaka saa nne hivii.... Na siyo kwenye router tu bali hadi kwenye line ya kawaida speed ni ndogo vilevile...


Na nimekuja kugundua inategemeana na eneo na eneo, hilo eneo mara nyingi usiku ndiyo nakuwaga hapo. Ila siku nikiwa home sipati mushkeli ya mtandao kabisa mida hiyo.

Hivyo nikaja kuconclude kwamba eneo hilo huenda mnara wa mawasiliano mida hiyo huwa unazidiwa au ni technical errors tu za mnara husika.
Nimepita na router maeoneo zaidi ya matatu tofauti naona hali ni ile ile kwangu jioni mpaka usiku sped hamna
 
Kuna shida SeaCom, kuna Fiber imechapa Provider wengi wanaputishwa kwenye Backup ambayo imezidiwa 😂😂😁😁😁 vip kwenu huko 😂
20240730_225425.jpg
 
Hawa majamaa mliwapakulia sana minyama mi nilikuwa nawachora tu kiaskari.

Mpaka kuna muda nikawa najiuliza voda nao wajua mimi wamebadilika liini tabia yao.

Sasa saizi kila mtu analia mlio wake
[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16] hawafai hawa vipi Airtel huko napo na haloteli Cc ephen_
 
Hawa majamaa mliwapakulia sana minyama mi nilikuwa nawachora tu kiaskari.

Mpaka kuna muda nikawa najiuliza voda nao wajua mimi wamebadilika liini tabia yao.

Sasa saizi kila mtu analia mlio wake
[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16] hawafai hawa vipi Airtel huko napo na haloteli Cc ephen_
 
Location niliyopo internet ya Airtel huwa inashuka kuanzia saa moja jioni mpaka saa nne hivii.... Na siyo kwenye router tu bali hadi kwenye line ya kawaida speed ni ndogo vilevile...


Na nimekuja kugundua inategemeana na eneo na eneo, hilo eneo mara nyingi usiku ndiyo nakuwaga hapo. Ila siku nikiwa home sipati mushkeli ya mtandao kabisa mida hiyo.

Hivyo nikaja kuconclude kwamba eneo hilo huenda mnara wa mawasiliano mida hiyo huwa unazidiwa au ni technical errors tu za mnara husika.
Nakubaliana na wewe , ikifika saa moja jioni watumiaji wa Airtel router ile alama ya mtandao inakuwa imekata kabisa na speed uwa ndogo sana Mida ni kati ya saa 12 na dakika 30 jioni kuelekea hadi saa nne usiku mara nyingi...
 
Back
Top Bottom