theD
JF-Expert Member
- Mar 23, 2018
- 350
- 515
Mkuu Hapa kwenye namba ya mpokeaji unaweka namba gani*148*66#
5
5
3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Hapa kwenye namba ya mpokeaji unaweka namba gani*148*66#
5
5
3
Namba yako ya line ya M2MMkuu Hapa kwenye namba ya mpokeaji unaweka namba gani
Ndio mkuuNamba yako ya line ya M2M
Umeshatumia Gb ngapi?Nakiri kuwa yalikuwa ni maamuzi ya kimhemko kuwakimbia Airtel
Sikupaswa kulipiza ubaya kwa ubaya, sikupaswa kuwafanyia vile. Nilipaswa kuwapa nafasi ya pili
Ona sasa Halotel wanavyo nifanyia
View attachment 3061528
Ulimwengu huu kweli ni wa kumpa 3G mteja?
Speed ipoje? Inategemea na eneo ila 3G ya Halotel inakimbiza sometime 10-20mbpsNakiri kuwa yalikuwa ni maamuzi ya kimhemko kuwakimbia Airtel
Sikupaswa kulipiza ubaya kwa ubaya, sikupaswa kuwafanyia vile. Nilipaswa kuwapa nafasi ya pili
Ona sasa Halotel wanavyo nifanyia
View attachment 3061528
Ulimwengu huu kweli ni wa kumpa 3G mteja?
Kabla ya tarehe 1 kuingia mara ya mwisho kucheki nilikuwa nimepiga 450Umeshatumia Gb ngapi?
Hadi mi mwanzo nilikuwa na mawazo kama yakoSpeed ipoje? Inategemea na eneo ila 3G ya Halotel inakimbiza sometime 10-20mbps
Hii ndio package ya 50K?Halotel nimeshatumia Gb 120 kwa siku 3 tu na bado ipo kasi
Ndio mkuuHii ndio package ya 50K?
Daah mi speed ya aina yako niliipata siku za mwanzoni ila nayo haikuwahi kufika Mbps 50Ndio mkuu
Usiku inafika mpk 70MbpsDaah mi speed ya aina yako niliipata siku za mwanzoni ila nayo haikuwahi kufika Mbps 50
Na mida ya night sometimes huwa inachanganya ila now days huwa haizidi 20Mbps.
Hapa ndio Voda uwa wanachukulia point tatu kwenye mitandao mingine... Vodacom nina mwaka na zaidi ninatumia Internet yao, Ila ukishalipia ile 120k Matumizi yako utajikadilia mwenyewe..Kwa ninavofaham mm kwenye mkataba wa Tigo na router zao za 5G Kuna kipengele kinasema unapewa gb kiasi gani kwa siku ukimaliza in a day wana limit speed. Mfano kama cha 70,000 10mbps wanakuwa wanakupa gbs 10 kwa siku Ukiziisha wana limit speed to 1mbps mpaka saa Sita usiku wanakupa 10gbs nyengine. Inakuwa hivo mpaka kweny
Mita 300 parefu sana hizo hazitoboi hasa kama kuna mitimiti.Mwenye uzoefu na Hizi Extender ni ipi naweza kuitumia ikaisaidia Router yangu ya Vodacom iweze kusoma umbari wa zaidi ya Mita 300 au zaidi ya hapo... Sijawai kuitumia ndio nataka nianze kuitumia ili niwe nawauzia watu Internet ata waliopo mbali kidogo na eneo langu la kazi.
View attachment 3061768
Tafuta helaHakuna App ya Uhakika ya Kuhack wifi?
Mi muda huu speed ndio imeongezeka imefikia 16MbpsUsiku inafika mpk 70Mbps