Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Hawa na voda wana undugu mwananguLocation niliyopo internet ya Airtel huwa inashuka kuanzia saa moja jioni mpaka saa nne hivii.... Na siyo kwenye router tu bali hadi kwenye line ya kawaida speed ni ndogo vilevile...
Na nimekuja kugundua inategemeana na eneo na eneo, hilo eneo mara nyingi usiku ndiyo nakuwaga hapo. Ila siku nikiwa home sipati mushkeli ya mtandao kabisa mida hiyo.
Hivyo nikaja kuconclude kwamba eneo hilo huenda mnara wa mawasiliano mida hiyo huwa unazidiwa au ni technical errors tu za mnara husika.
Kwa hivi vilio vya hii mitandao mpaka unashindwa kujua ni mtandao gani wa kuruka nao.Wadau wa airtel, mtandao leo umekaaje pande hizo?
Huku kwangu naona miyeyusho, speed hamna kabisa
Leo naona imekaa sawa kiasiHata kwangu mkuu
Nimepita na router maeoneo zaidi ya matatu tofauti naona hali ni ile ile kwangu jioni mpaka usiku sped hamnaLocation niliyopo internet ya Airtel huwa inashuka kuanzia saa moja jioni mpaka saa nne hivii.... Na siyo kwenye router tu bali hadi kwenye line ya kawaida speed ni ndogo vilevile...
Na nimekuja kugundua inategemeana na eneo na eneo, hilo eneo mara nyingi usiku ndiyo nakuwaga hapo. Ila siku nikiwa home sipati mushkeli ya mtandao kabisa mida hiyo.
Hivyo nikaja kuconclude kwamba eneo hilo huenda mnara wa mawasiliano mida hiyo huwa unazidiwa au ni technical errors tu za mnara husika.
Ukipata ttcl fiber ni uhakikaKwa hivi vilio vya hii mitandao mpaka unashindwa kujua ni mtandao gani wa kuruka nao.
Hawa majamaa mliwapakulia sana minyama mi nilikuwa nawachora tu kiaskari.Kwa udhamini wa vodacom speed ndogo sana enewei bando halikopwi Cc ephen_ View attachment 3056372
[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16] hawafai hawa vipi Airtel huko napo na haloteli Cc ephen_Hawa majamaa mliwapakulia sana minyama mi nilikuwa nawachora tu kiaskari.
Mpaka kuna muda nikawa najiuliza voda nao wajua mimi wamebadilika liini tabia yao.
Sasa saizi kila mtu analia mlio wake
[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16] hawafai hawa vipi Airtel huko napo na haloteli Cc ephen_Hawa majamaa mliwapakulia sana minyama mi nilikuwa nawachora tu kiaskari.
Mpaka kuna muda nikawa najiuliza voda nao wajua mimi wamebadilika liini tabia yao.
Sasa saizi kila mtu analia mlio wake
Airtel hata sikumbuki wapi nimeweka likasha lao[emoji23][emoji16][emoji16][emoji16] hawafai hawa vipi Airtel huko napo na haloteli Cc ephen_
Laini yake inafanya Kazi mwenye simu? UlijaribuAirtel hata sikumbuki wapi nimeweka likasha lao
Saizi niko na Halotel japo nayo muda mwingi mchana speed ni ya Kobe ila nashindwa kuwasema kwasababu ya gharama yao sio ile ya kukomoana.
Aisee balaa ila jana mitandao yote ilikuwa inasumbuaAirtel hata sikumbuki wapi nimeweka likasha lao
Saizi niko na Halotel japo nayo muda mwingi mchana speed ni ya Kobe ila nashindwa kuwasema kwasababu ya gharama yao sio ile ya kukomoana.
Sio kweli. Kwangu Halotel haikusumbua.Aisee balaa ila jana mitandao yote ilikuwa inasumbua
Yeah inafanya kazi fresh tuLaini yake inafanya Kazi mwenye simu? Ulijaribu
Tupeane hizo code za halotel. Inapatikana kwa bei gani?Airtel hata sikumbuki wapi nimeweka likasha lao
Saizi niko na Halotel japo nayo muda mwingi mchana speed ni ya Kobe ila nashindwa kuwasema kwasababu ya gharama yao sio ile ya kukomoana.
Nakubaliana na wewe , ikifika saa moja jioni watumiaji wa Airtel router ile alama ya mtandao inakuwa imekata kabisa na speed uwa ndogo sana Mida ni kati ya saa 12 na dakika 30 jioni kuelekea hadi saa nne usiku mara nyingi...Location niliyopo internet ya Airtel huwa inashuka kuanzia saa moja jioni mpaka saa nne hivii.... Na siyo kwenye router tu bali hadi kwenye line ya kawaida speed ni ndogo vilevile...
Na nimekuja kugundua inategemeana na eneo na eneo, hilo eneo mara nyingi usiku ndiyo nakuwaga hapo. Ila siku nikiwa home sipati mushkeli ya mtandao kabisa mida hiyo.
Hivyo nikaja kuconclude kwamba eneo hilo huenda mnara wa mawasiliano mida hiyo huwa unazidiwa au ni technical errors tu za mnara husika.
Kwa maan hiyo naiweza itoa na kuiweka mwenye universal router yote?Yeah inafanya kazi fresh tu
YeahKwa maan hiyo naiweza itoa na kuiweka mwenye universal router yote?