Mkuu nimeshindwa kupata app ya hii kitu,msaada pls naipata kwenye play store au google?Wale wa boli ukiwa na data unlimited hii itawafaa
Minitubetv.com utapata chaneli zote za Dstv na Azam bure
Azam Sports 1,2,3,4 Utv, ZBC, Sinema Zetu
ingia kwenye website yake www.minitubetv.com halafu unabofya hapo palipoandikwa downloadMkuu nimeshindwa kupata app ya hii kitu,msaada pls naipata kwenye play store au google?
Au mkoa uliopo nn kaka?hiyo
Jichanganye upigwe huwanze kulialiaAu mkoa uliopo nn kaka?
Mm natumia Router ya Airtel toka majuzi ipo vzuri tuJichanganye upigwe huwanze kulialia
We subr kitaumana sio mdaMm natumia Router ya Airtel toka majuzi ipo vzuri tu
Ni huko ulipo mzeeWe subr kitaumana sio mda
Mimi ninayo toka mwaka jana mwezi wa 10 na sijawahi jutia..We subr kitaumana sio mda
Naunga mkono hojaMimi ninayo toka mwaka jana mwezi wa 10 na sijawahi jutia..
Changamoto zinazotokea ni zile za general, ambazo zikitokea ni kila mtu anaipata. Ila sijawahi pata changamoto kuuubwa.
Router ya Airtel naipa rate ya 9/10.
Mwenye uhitaji na hizi bando zipo Fanya kuniPm uaminifu wakutoshaHalotel GB mwez π₯π₯
GB 13 Kwa 14000
GB 14 Kwa 15000
GB 15 Kwa 16000
GB 16 Kwa 17000
GB 18 Kwa 19000
GB 20 Kwa 21000
GB 30 Kwa 29000
GB 33 Kwa 32000
Mwenye uhitaji na hizo GB za halotel inbox
Mcheki huyu jamaa BurtonSat_Shop kwa huduma ya IPTV, bei nafuu na uhakika.Hodi wakuu, nimekuwa nikiwaza chaguo lipi ni sahihi kwa sisi wapenda burudani ya soka. Nikilipia kifurushi cha compact dstv(64k) napata mechi za epl zote ila za uefa ni baadhi, naona hapa watu wengi wakizungumzia uwepo wa option ya kulipia internet 70k kwa mwezi ambayo naona haitofautiani sana na ile bei ya compact
Sasa swali langu liko hapa, kuna uwezekano wa kupata burudani ya soka bila changamoto yoyote endapo nitakuwa na reliable internet? Kwa maana kuna sites za uhakika au labda app au chochote tu kile ambacho kitafanikisha kutazama kabumbu bila kikwazo? Kwa wajuvi naomba muongozo tafadhali
Nitawafundisha mpaka lini? , Ukiteswa na bando, Huo ni uzembe wako, kwa halotel Pata GB2 kwa 3000, Gb3 kwa 4000, GB5 kwa 5000, Gb7 kwa 7000, Gb10 kwa 10000, Gb15 kwa 14,000, Gb20 kwa 19,000, Gb25 kwa 23000 na Gb30 kwa 26000 tu mwezi mzima. 0618370992.Msaada
Mwenye kujua naweza vipi kupata gb atleast kwa mwezi kwa bei rahisi anisaidie
Natumia halotel, voda na tigo
NaitajNitawafundisha mpaka lini? , Ukiteswa na bando, Huo ni uzembe wako, kwa halotel Pata GB2 kwa 3000, Gb3 kwa 4000, GB5 kwa 5000, Gb7 kwa 7000, Gb10 kwa 10000, Gb15 kwa 14,000, Gb20 kwa 19,000, Gb25 kwa 23000 na Gb30 kwa 26000 tu mwezi mzima. 0618370992.
π π π π π π π π π π π π
Nikiingia kwenye hiyo menu kuna option ya kujitoa na best offerHii kama inakukatalia wapigie 100 waeleze laini yako inakataa kujiunga na hiyo huduma, watakuuliza maswali kama kuna subscription zozote umefanya kwenye laini yako, kisha watalichukua kama tatizo baadae, itakubali hata mimi ilikua inakataa nikawapigia 100 baadae nilipojaribu ikakubali.
Hapa subiri wakina Kingsmann Mwl.RCT wakupe muongozo haiwasumbui.Nimefanya a deadly mistake..
Leo nimenunua Router ya Airtel 5g ili nitumie home..nilivyokuwa Town spidi ilikuwa kubwa sana na taa ya 5g ilikuwa inawaka..kurudi home hamna kitu hata hiyo 4G hamna kufungua tu whatsapp pic mtihani..
Hapa naona nimepoteza 110k hivihivi..
Wenzangu mnaotumia hii kitu vipi??
Na je kuna option nyingine nzuri ya unlimited kwa Voda au Tigo??.. maana nimepima speed kwa kutumia simu naona zipo
vizuri kwa eneo nililopo