Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

[emoji20] [emoji20] Mi pia nimemtumia asee ila namuamini nimempa muda wa wiki moja ndo nitaleta mrejesho lkn ukiaminiwa fanya kazi kwa uaminifu ..
 
Mkuu hata mimi hajibu sms , yaani sasa wiki nzima anasema ananiunga lkn mpk sasa nacheki huduma naona kimya, yaani yy anataka aaminiwe kumbe yy siyo mwaminifu asee ...
 
Unlimited data, kwa kutumia vpn anaehitaji aje PM tuyajenge
Tunnelguru nadhani ndo unaitambia hii itagundulika huwa tunakula kimya kimya sema speed yake ndogo sana najitaidi kuongoza speed lkn bado ila kwa 4G laini ya voda huwa nafaidi haswa..
 
Tunnelguru nadhani ndo unaitambia hii itagundulika huwa tunakula kimya kimya sema speed yake ndogo sana najitaidi kuongoza speed lkn bado ila kwa 4G laini ya voda huwa nafaidi haswa..
Tunnel guru Sijawah hata kutumia
 
Tunnelguru nadhani ndo unaitambia hii itagundulika huwa tunakula kimya kimya sema speed yake ndogo sana najitaidi kuongoza speed lkn bado ila kwa 4G laini ya voda huwa nafaidi haswa..
Wacha nidownload kisha nilipie nione
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…