Kuanzia maeneo ya korogwe,muheza na tanga mjinWapi huko kaka?
We upo mkoa gani?Hamieni TTCL iko poa mtandao umesimama mujarabu
Poa. Ngoja nicheki uwezekana wa kuzipataKuanzia maeneo ya korogwe,muheza na tanga mjin
Mmmmhhh ya kweli haya mbona mi niliwahi kuwa nayo na mb zlilikuwa zinakata fatsa nikaitemaTTCL Instagram,watsaap na facebook free ukiwa na bando yeyote active
[emoji20] [emoji20] Mi pia nimemtumia asee ila namuamini nimempa muda wa wiki moja ndo nitaleta mrejesho lkn ukiaminiwa fanya kazi kwa uaminifu ..PAWAGA kama umeshindwa kuniunganishia line yangu na mshkaji wangu turudishie hela zetu 18,000. Hela tulimtumia kwa sababu kuna watu walisema humu kuwa walimtumia hela kwanza na Pawaga akawaunganishia line zao.
Sasa hivi simu hupokei na sms hujibu na hela umeshapewa siku ya TANO. Ukimuuliza vipi umefikia wapi anajibu kwa dharau kuwa asisumbuliwe sana maana hela ndogo hiyo!
Huyu jamaa pengine mwanzoni hakuwa tapeli ila sahivi msimtumie hela, ashakuwa tapeli. Mtu yeyote atakayemtumia PAWAGA hela kabla ya line yake kuunganishwa jua umeliwa.
Kama unataka huyu jamaa akufanyie ishu yako, mwambie afanye kwanza ndipo utume hela. Ukijifanya kutuma kwanza imekula kwako.
Mkuu hata mimi hajibu sms , yaani sasa wiki nzima anasema ananiunga lkn mpk sasa nacheki huduma naona kimya, yaani yy anataka aaminiwe kumbe yy siyo mwaminifu asee ...Siku Tano zimepita. We jamaa acha uongo, tumekupigia sim mara mbili tu ndani ya hizo siku tano na hiyo ni baada ya kuona sms hujibu.
Mara unadai tayari tukicheki hamna kitu, tulikuuliza itachukua mda gani badala ya kujibu unatuita wasumbufu au unapiga kimya tu siku nzima. Hafu acha kutukana watu usiowajua.
Ndio maana watu walisema hapa kwamba ni bora ufanye hiyo kazi kwanza ndipo upewe hela, vinginevyo ndo kama hivyo unatapeli watu
Mkuu wewe siyo mwenye busara unapotumiwa pesa weka uaminifuSi mnataka PM tuziweke hapa? Maana mnachagua pm za kuweka hapa zili mlizokiri imekubali mnaziacha
Tunnelguru nadhani ndo unaitambia hii itagundulika huwa tunakula kimya kimya sema speed yake ndogo sana najitaidi kuongoza speed lkn bado ila kwa 4G laini ya voda huwa nafaidi haswa..Unlimited data, kwa kutumia vpn anaehitaji aje PM tuyajenge
Tunnel guru Sijawah hata kutumiaTunnelguru nadhani ndo unaitambia hii itagundulika huwa tunakula kimya kimya sema speed yake ndogo sana najitaidi kuongoza speed lkn bado ila kwa 4G laini ya voda huwa nafaidi haswa..
Wacha nidownload kisha nilipie nioneTunnelguru nadhani ndo unaitambia hii itagundulika huwa tunakula kimya kimya sema speed yake ndogo sana najitaidi kuongoza speed lkn bado ila kwa 4G laini ya voda huwa nafaidi haswa..
Oky km ni vpn zipo nyingi mnoo asee ninayo moja premium ni kiboko mpk speed yake ipo vzr mnooTunnel guru Sijawah hata kutumia
UnalipiajeWacha nidownload kisha nilipie nione
Oky km ni vpn zipo nyingi mnoo asee ninayo moja premium ni kiboko mpk speed yake ipo vzr mnoo View attachment 710825
Online unakula raha msitareheUnalipiaje
Kwa Visa card au paypalUnalipiaje