Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

mkuu hicho cha 600 kina ukomo wa muda au mpaka data ziishe.
 
Jamani Sina hamu na Tigo, kuna siku nimenunua bando la GB 10 kwa mwezi lile la 2000 ila sikubahatika kutumia hata MB 100 mpaka mwezi umeisha. Yaani ilikuwa slow sana, yaani kwa sasa line nimeitelekeza imebaki ya makumbusho tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…