Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
- #261
mkuu zinapatikana chuoni, we nenda chuo cha karibu na kwenu utazikuta. na bei ukibinyeza hio namba utazionaNielekeze zinapopatikana hizo vocha na bei tafadhali mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu zinapatikana chuoni, we nenda chuo cha karibu na kwenu utazikuta. na bei ukibinyeza hio namba utazionaNielekeze zinapopatikana hizo vocha na bei tafadhali mkuu
Nawezaje kujiunga ili niweze kutumia vifurush vya chuo kwa airtel. Kwa kupiga *149*81# kile kifurush cha gb 1.2 kwa siku cha sh500Hajakosea hiyo ya mia5 ni kwa menu ya *149*81# na inakaa siku moja na hutumika na vocha ya kawaida,ila hiyo ya 600 ni kwa vocha za uni255 tu na inakaa siku 3.
Haipatikani kwa sababu lain yako haijasajiliwa na ofa ya chuoNisaidieni* 149* 42 # naambuwa Huduma ya Cheka haipatikani
almost mikoa yoteHivi smart wapo mikoa ipi?
Thanks kaka, ila makampuni yetu ya siku yanadharau sana Uzi kama huu walitakiwa wanajibu hoja kama hizi na kujitangaza pia...Mkuu kuna mtu aliniambia kuwa tukifika 5G hatutahitaji mitandao ya simu kuwasiliana?almost mikoa yote
Kama unatumia halotel nitakubadilishia laini yako hiyo hiyo kwa namba yako hiyo hiyo kuwa laini ya chuo. Kwa mitandao mingine sijaweza. Gharama yake ni 10,000/= haina haja ya kuishika laini yako huko huko ulipo ninakupa huduma. Karibu.Nifanye nini ili line yangu iwe katika mfumo wa chuo?
Naweza kupata hizo vocha za vifurushi malum vya chuoKama unatumia halotel nitakubadilishia laini yako hiyo hiyo kwa namba yako hiyo hiyo kuwa laini ya chuo. Kwa mitandao mingine sijaweza. Gharama yake ni 10,000/= haina haja ya kuishika laini yako huko huko ulipo ninakupa huduma. Karibu.
sidhani mkuu bado tutatumia mitandao ya simu, kinachobadilika ni kwamba 5g sio mobile phone first, inatengenezwa ili kuhudumia vitu zaidi ya simu kama vile magari yanayojiendesha yenyewe, smart car, na vifaa vyengine vidogo vidogo ambavyo kwa ujumla huitwa internet of things (iot). mfano marekani sasa hivi wana vifurushi vya magari,Thanks kaka, ila makampuni yetu ya siku yanadharau sana Uzi kama huu walitakiwa wanajibu hoja kama hizi na kujitangaza pia...Mkuu kuna mtu aliniambia kuwa tukifika 5G hatutahitaji mitandao ya simu kuwasiliana?
Asante sana kwa elimu ya bure. Natamani Watanzania tuwetunaelimisha hivyi kwenye kila social network.sidhani mkuu bado tutatumia mitandao ya simu, kinachobadilika ni kwamba 5g sio mobile phone first, inatengenezwa ili kuhudumia vitu zaidi ya simu kama vile magari yanayojiendesha yenyewe, smart car, na vifaa vyengine vidogo vidogo ambavyo kwa ujumla huitwa internet of things (iot). mfano marekani sasa hivi wana vifurushi vya magari,
Mkuu hicho kifurushi cha usiku kwa airtel kinapatikana kwenye menyu ipi? maana nimeshindwa kukiona kwenye menyu ya aitel moneyhii ni thread ya vifurushi ambavyo sio rasmi kama vya chuo au vifurushi maalum ambavyo vinatoa kiasi kikubwa cha internet, nitalist vifurushi ninavyovifahamu kama kuna wanaojua vyengine watasaidia
Tigo
-1gb kwa shilingi 600
nunua vocha ya 1000 halafu ingiza mfumo huu *104*namba ya vocha*03# watakukata shilingi 600 na utapewa 1gb ya internet
-vifurushi vya chuo
hivi utapata mb na dakika kwa pamoja ila nitaandika tu mb, shilingi 1500 mb500 kwa wiki na sh500 ni mb300 kwa wiki. kujiunga bonyeza *148*01*20# au bonyeza *148*00# kisha chagua vifurushi maalum, itabidi uwe na line ya chuo
Vodacom
-3gb kwa sh 2000 au 800mb kwa sh 1000
bonyeza *149*03# kupata hivi vifurushi, kutegemeana na line utapata kifurushi kimoja kati ya hivyo
-vifurushi vya chuo
kwa sh 500 utapata mb500, 1500 utapata 1gb na 2500 utapata 2gb zinazodumu wiki nzima, kujiunga piga *149*42#
Airtel
-vifurushi vya chuo
hawa jamaa wana vifurushi vizuri zaidi vya chuo hasa cha usiku ambacho unapata 10gb kwa sh 600, pia kipo cha kawaida unapata 2gb kwa 1000 na 1.2gb kwa sh600. kuvipata unahitaji kununua vocha za chuo zinazopatikana vyuoni au kutumia airtel money *150*60# kisha uchague ofa kabambe nafkiri option ya 6.
Halotel
-vifurushi vya chuo
hawa wana kifurushi kizuri cha chuo cha mwezi sh 10,000 unapata 10gb ni kizuri kwa wasiopenda usumbufu wa kuunga unga vifurushi, pia kipo cha wiki sh 500 mb600, kujiunga *148*55#
-usiku 10g kwa sh 1500
pia kipo kifurushi cha usiku kwa wale ambao airtel haina speed kwao, kujiunga *148*66# kisha utaenda upande wa internet
TTCL
-Boom pack (vya chuo)
kwa shilingi 500 utapata 500MB, shilingi 1500 1gb na shilingi 2500 3gb kujiunga *148*30#
smart
-unlimited bundle
kwa siku unlimited 1,000 kwa wiki 7,000 na kwa mwezi 20,000 tuma neno DATASIKU au DATAWIKI au DATAMWEZI kwenda 100, vifurushi hivi ni kwa watu walio nje ya dar tu
vifurushi vya youtube
zipo website nyingi sana wanahost movie youtube, unaweza jiunga kifurushi cha youtube kisha ukatembelea hizo site na kudownload, sema utahitaji bundle nyengine ya kubrowse na bundle ya youtube ya kudownloadia. vipo kila mtandao.
kuna kifurushi unaona kinastahili kuwa hapo? usisite kukitaja chini
Remote
mpaka ununue vocha mkuu,Mkuu hicho kifurushi cha usiku kwa airtel kinapatikana kwenye menyu ipi? maana nimeshindwa kukiona kwenye menyu ya aitel money
Sasa hapo siukisoma status moja ya mange kimambi tayar bando linakata🙂🙂Iko limited to 50MB
tigo washachange un offer aisee du ..hii ni thread ya vifurushi ambavyo sio rasmi kama vya chuo au vifurushi maalum ambavyo vinatoa kiasi kikubwa cha internet, nitalist vifurushi ninavyovifahamu kama kuna wanaojua vyengine watasaidia
Tigo
-1gb kwa shilingi 600
nunua vocha ya 1000 halafu ingiza mfumo huu *104*namba ya vocha*03# watakukata shilingi 600 na utapewa 1gb ya internet
-vifurushi vya chuo
hivi utapata mb na dakika kwa pamoja ila nitaandika tu mb, shilingi 1500 mb500 kwa wiki na sh500 ni mb300 kwa wiki. kujiunga bonyeza *148*01*20# au bonyeza *148*00# kisha chagua vifurushi maalum, itabidi uwe na line ya chuo
Vodacom
-3gb kwa sh 2000 au 800mb kwa sh 1000
bonyeza *149*03# kupata hivi vifurushi, kutegemeana na line utapata kifurushi kimoja kati ya hivyo
-vifurushi vya chuo
kwa sh 500 utapata mb500, 1500 utapata 1gb na 2500 utapata 2gb zinazodumu wiki nzima, kujiunga piga *149*42#
Airtel
-vifurushi vya chuo
hawa jamaa wana vifurushi vizuri zaidi vya chuo hasa cha usiku ambacho unapata 10gb kwa sh 600, pia kipo cha kawaida unapata 2gb kwa 1000 na 1.2gb kwa sh600. kuvipata unahitaji kununua vocha za chuo zinazopatikana vyuoni au kutumia airtel money *150*60# kisha uchague ofa kabambe nafkiri option ya 6.
Halotel
-vifurushi vya chuo
hawa wana kifurushi kizuri cha chuo cha mwezi sh 10,000 unapata 10gb ni kizuri kwa wasiopenda usumbufu wa kuunga unga vifurushi, pia kipo cha wiki sh 500 mb600, kujiunga *148*55#
-usiku 10g kwa sh 1500
pia kipo kifurushi cha usiku kwa wale ambao airtel haina speed kwao, kujiunga *148*66# kisha utaenda upande wa internet
TTCL
-Boom pack (vya chuo)
kwa shilingi 500 utapata 500MB, shilingi 1500 1gb na shilingi 2500 3gb kujiunga *148*30#
smart
-unlimited bundle
kwa siku unlimited 1,000 kwa wiki 7,000 na kwa mwezi 20,000 tuma neno DATASIKU au DATAWIKI au DATAMWEZI kwenda 100, vifurushi hivi ni kwa watu walio nje ya dar tu
vifurushi vya youtube
zipo website nyingi sana wanahost movie youtube, unaweza jiunga kifurushi cha youtube kisha ukatembelea hizo site na kudownload, sema utahitaji bundle nyengine ya kubrowse na bundle ya youtube ya kudownloadia. vipo kila mtandao.
kuna kifurushi unaona kinastahili kuwa hapo? usisite kukitaja chini
Remote