SAVAGE AF
JF-Expert Member
- Feb 12, 2017
- 827
- 1,707
Na hiyo 500 kwa siku si 1.2 Gb?Hiyo mpaka laini ya chuo
Mm ninayo sometimes huwa naitumia
Kuhusu network imeboreshwa siku hizi labda kama upo eneo local
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hiyo 500 kwa siku si 1.2 Gb?Hiyo mpaka laini ya chuo
Mm ninayo sometimes huwa naitumia
Kuhusu network imeboreshwa siku hizi labda kama upo eneo local
Exactly,unapewa dk 90 airtel,dk 10 all networks, SMS 1000 na db 1.2 SAA 25Na hiyo 500 kwa siku si 1.2 Gb?
which means 2000 unapata 4.8GB na itumike ndani ya maximum siku 4 na masaa kadhaa.Na hiyo 500 kwa siku si 1.2 Gb?
Mkuu. Hii offer bado ipo ya 600 kwa Gb 10?Mkuu imekubali ndani ya sekunde tu jamaa katuma details.
View attachment 626705
Mr. Hii offer ya Gb 10 kwa 600 ya airtel imesharudi hewani? Maana jamaa alinitumia sms, nikampigia lkn namba haikupatikana. Tangu siku hiyo line ya airtel nimeiweka pemben.which means 2000 unapata 4.8GB na itumike ndani ya maximum siku 4 na masaa kadhaa.
still 2000 kwa GB5 kwa mwezi mzima ni offer nzuri.
kanunue chuo, mimi huwa naenda na kiasi cha fulani cha hela nanunua hata za miezi miwili mitatu. uzuri wake zinachukua muda mrefu sana ku expire.Mr. Hii offer ya Gb 10 kwa 600 ya airtel imesharudi hewani? Maana jamaa alinitumia sms, nikampigia lkn namba haikupatikana. Tangu siku hiyo line ya airtel nimeiweka pemben.
Samahani.kanunue chuo, mimi huwa naenda na kiasi cha fulani cha hela nanunua hata za miezi miwili mitatu. uzuri wake zinachukua muda mrefu sana ku expire.
ni vocha mkuu unakwangua na kuweka zipo kama hiviSamahani.
Huwa kuna vocha special au ni kwa wakala anakuunganisha km yule mr alivyokuwa anafanya?
Shukurani mkuu.ni vocha mkuu unakwangua na kuweka zipo kama hivi
![]()
dah iyo offer inaenda kimkoa sasahivi uku kwetu haziponi vocha mkuu unakwangua na kuweka zipo kama hivi
![]()
jana kuna mtu amenambia pia zimeanza kuadimika vocha, mkoa gani unajua zipo? tununue za akibadah iyo offer inaenda kimkoa sasahivi uku kwetu hazipo
ngoja nimuulize aliyekuwa supplierjana kuna mtu amenambia pia zimeanza kuadimika vocha, mkoa gani unajua zipo? tununue za akiba
Aisee hata Mimi .Mimi voda wananipa gb 5 kwa 2000
Pole sana.Hii GB 5 kwa 2000 kutoka voda nishaitafuta lakini wapi sijui ni vigezo gani vimetumika baadhi ya wateja kupewa kwenye menu yao me naambulia MB 400 kwa buku elfu 2 kwa 1.5GB zitumike ndani ya masaa 24
Wapuuzi sana hawa wanalimit speed nimejiunga UN ya airtel money speed inacheza kwenye 30 to KB/s[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]dah iyo offer inaenda kimkoa sasahivi uku kwetu hazipo
Bt limited with bandwidthExactly,unapewa dk 90 airtel,dk 10 all networks, SMS 1000 na db 1.2 SAA 25
Wanalimit speed ...bando la kawaida spidi inakuwa normal ila ukiunga hilo bado spid inakuwa limited....Limited kvp
sent from my xm udongo using jf app