Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Nimejaribu kusajili laini karibia zote yaani

Zantel, Halotel, Ttcl, Tigo, Airtel.


ZANTEL: wana bando nzuri ila speed ya internet maeneo yangu ni Empty kuanzia kazini hadi nyumbani ni Empty.

HALOTEL: wana bando nzuri ila Speed ya Internet eneo langu ni empty kazini hadi nyumbani ni empty

TTCL: Wana bando nzuri ila speed ya internet eneo langu ni empty

TIGO: Huu mtandao hamna kitu kabsa yaani bora hata Zantel.

AIRTEL: Nao ni empty eneo langu kuanzia kazini hadi nyumbani.

VODACOM: Internet yao iko Very fast na Speed ya hali ya juu kuanzia kazini hadi nyumbani kwangu, shida yao iko kwenye bando zimepanda kias kwangu nashindwa kumudu gharama za bando.


Mwisho: Nimeamua kubaki tu na Vodacom japo wananinyonya sana, sina jinsi 1Gb kwa elfu 3000/= kwa wiki. [emoji26]
mwana mitandao yote haikamati utakua unakaa bush sana
 
Nimejaribu kusajili laini karibia zote yaani

Zantel, Halotel, Ttcl, Tigo, Airtel.


ZANTEL: wana bando nzuri ila speed ya internet maeneo yangu ni Empty kuanzia kazini hadi nyumbani ni Empty.

HALOTEL: wana bando nzuri ila Speed ya Internet eneo langu ni empty kazini hadi nyumbani ni empty

TTCL: Wana bando nzuri ila speed ya internet eneo langu ni empty

TIGO: Huu mtandao hamna kitu kabsa yaani bora hata Zantel.

AIRTEL: Nao ni empty eneo langu kuanzia kazini hadi nyumbani.

VODACOM: Internet yao iko Very fast na Speed ya hali ya juu kuanzia kazini hadi nyumbani kwangu, shida yao iko kwenye bando zimepanda kias kwangu nashindwa kumudu gharama za bando.


Mwisho: Nimeamua kubaki tu na Vodacom japo wananinyonya sana, sina jinsi 1Gb kwa elfu 3000/= kwa wiki. [emoji26]
mkuu mbna vodacom kuna 1500 dak 150 voda, 15 all network na 1 gb week, kwenye ya kwako tu nmeona imerudi tena
 
Visimu vya ovyo sana.
Mbona unavikandia mkuu?, ukiona hivyo una mkosi navyo. Kwangu kinapiga kazi fresh tu japokuwa nimenunua used kwa mtu. Ubovu ninaouna mimi kwenye hivi visimu ni battery life ukiwasha hotspot nonstop, masaa 4 betri linakuwa limeisha chaji.
Ubovu wake nini mpaka unasema visimu vya hovyo?
 
Mbona unavikandia mkuu?, ukiona hivyo una mkosi navyo. Kwangu kinapiga kazi fresh tu japokuwa nimenunua used kwa mtu. Ubovu ninaouna mimi kwenye hivi visimu ni battery life ukiwasha hotspot nonstop, masaa 4 betri linakuwa limeisha chaji.
Ubovu wake nini mpaka unasema visimu vya hovyo?
Shida sio betri, shida kama unatuma message then ukataka upige simu inabidi urudi nyuma upya, akiwezi fanya vitu viwil kwa wakati mmoja
 
Kuna jamaa amepost kwenye group nataka nijaribu kununua cha mwaka then nitaleta mrejesho ama kuna ambae amewahi kununua tujuzane.


OFA ZA BANDO KWA MIEZI SITA NA MWAKA:-
[emoji288][emoji91][emoji288][emoji91][emoji288][emoji91][emoji288][emoji91][emoji288][emoji91][emoji288]
Unganishwa na Bando za Offa za Muda mrefu kuanzia miezi sita mpaka 12 kwa Vodacom, Tigo, airtel, ttcl na halotel kwa bei nafuu:-

OFA KWA MIEZI SITA
Dakika 2499 + Gb60 + Sms Unlimited kila mwezi kwa muda wa miezi sita. Kwa Gharama ya 15,000/=

OFA KWA MWAKA/Miezi 12
Dakika 12000 + Gb700 + Sms Unlimited. zinaingia Kwa Pamoja. Kwa Gharama Ya 27,500/=

Kwa maelezo zaidi na Jinsi ya Kujiunga Nione inbox
[emoji288][emoji91][emoji288][emoji91][emoji288][emoji91][emoji288][emoji91][emoji288][emoji91][emoji288]
 
Kuna jamaa amepost kwenye group nataka nijaribu kununua cha mwaka then nitaleta mrejesho ama kuna ambae amewahi kununua tujuzane.


OFA ZA BANDO KWA MIEZI SITA NA MWAKA:-
[emoji288][emoji91][emoji288][emoji91][emoji288][emoji91][emoji288][emoji91][emoji288][emoji91][emoji288]
Unganishwa na Bando za Offa za Muda mrefu kuanzia miezi sita mpaka 12 kwa Vodacom, Tigo, airtel, ttcl na halotel kwa bei nafuu:-

OFA KWA MIEZI SITA
Dakika 2499 + Gb60 + Sms Unlimited kila mwezi kwa muda wa miezi sita. Kwa Gharama ya 15,000/=

OFA KWA MWAKA/Miezi 12

Dakika 12000 + Gb700 + Sms Unlimited. zinaingia Kwa Pamoja. Kwa Gharama Ya 27,500/=

Kwa maelezo zaidi na Jinsi ya Kujiunga Nione inbox
[emoji288][emoji91][emoji288][emoji91][emoji288][emoji91][emoji288][emoji91][emoji288][emoji91][emoji288]
Mkuu kuna harufu ya utapeli hapa
1. Hakuna bundle zinazofanana mitandao yote
2. GB 700 hio mitandao ya simu ikupende kiasi hicho?
 
Nimejaribu kusajili laini karibia zote yaani

Zantel, Halotel, Ttcl, Tigo, Airtel.


ZANTEL: wana bando nzuri ila speed ya internet maeneo yangu ni Empty kuanzia kazini hadi nyumbani ni Empty.

HALOTEL: wana bando nzuri ila Speed ya Internet eneo langu ni empty kazini hadi nyumbani ni empty

TTCL: Wana bando nzuri ila speed ya internet eneo langu ni empty

TIGO: Huu mtandao hamna kitu kabsa yaani bora hata Zantel.

AIRTEL: Nao ni empty eneo langu kuanzia kazini hadi nyumbani.

VODACOM: Internet yao iko Very fast na Speed ya hali ya juu kuanzia kazini hadi nyumbani kwangu, shida yao iko kwenye bando zimepanda kias kwangu nashindwa kumudu gharama za bando.


Mwisho: Nimeamua kubaki tu na Vodacom japo wananinyonya sana, sina jinsi 1Gb kwa elfu 3000/= kwa wiki. [emoji26]
Wewe ni Sawa kabisa na Mimi. Naishia jiunga tu GB 1.2 Kwa 3000. Halotel naishia kuvitamana
 
Bootloop unamahanisha nini mkuu maana nikitaka ninunue niwe natumiaga kama router
Vinafikiaga muda vinawaka havimalizi yaani vinaishia njiani tu stuck on logo ya boot animation haviendelei vinaweza kaa hivo mpaka chaji ikaisha tu [emoji23] ndo bootloop hiyo kaka..
 
Kuna jamaa amepost kwenye group nataka nijaribu kununua cha mwaka then nitaleta mrejesho ama kuna ambae amewahi kununua tujuzane.


OFA ZA BANDO KWA MIEZI SITA NA MWAKA:-
[emoji288][emoji91][emoji288][emoji91][emoji288][emoji91][emoji288][emoji91][emoji288][emoji91][emoji288]
Unganishwa na Bando za Offa za Muda mrefu kuanzia miezi sita mpaka 12 kwa Vodacom, Tigo, airtel, ttcl na halotel kwa bei nafuu:-

OFA KWA MIEZI SITA
Dakika 2499 + Gb60 + Sms Unlimited kila mwezi kwa muda wa miezi sita. Kwa Gharama ya 15,000/=

OFA KWA MWAKA/Miezi 12
Dakika 12000 + Gb700 + Sms Unlimited. zinaingia Kwa Pamoja. Kwa Gharama Ya 27,500/=

Kwa maelezo zaidi na Jinsi ya Kujiunga Nione inbox
[emoji288][emoji91][emoji288][emoji91][emoji288][emoji91][emoji288][emoji91][emoji288][emoji91][emoji288]
Mhhhhh
 
Voda kila mteja ana menu yake na offer zake.
Wala hata usijichoshe kuchunguza sana.
Mm nina laini yao miaka 19 sasa na vifurushi ninavyoviona ni vichekesho.
Na hata ukijaribu kuongea na wahudumu wao watakuambia once mtu umekuwa assigned vifurushi ndio over. Hawabadili
Hawa huwa wanabadili, at least Airtel wakishakupangia unaweza kaa hata miaka 2
 
Back
Top Bottom