Wilson Magambo
Member
- Apr 2, 2016
- 41
- 51
Nimefanikiwa kupta GB 32 za vodaWilson Magambo kiongozi mrejesho
Sent from my CPH2061 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimefanikiwa kupta GB 32 za vodaWilson Magambo kiongozi mrejesho
Wataje ili watu wawajue kabsaKuna watu sio waungwana humu, unamuunga kifurushi anasema hana hela halafu anakublock.
Wewe tu mkuuAtuunge na sisi basi
Safi sana hii,gharama zake kwa mwaka zinagharimu kama Tzs ngapi?Ni satelite internet ile unaweka dishi unapata internet. Ipo slow ping ila speed ya kudownload kubwa.
Unalipia hela ya mwaka wanakusetia bure unatumia.
upande wa voda vya mwaka amna?Kazi ya voda tayari wakuu [emoji116][emoji116][emoji116]
Offer Za VodaCom
Pata Gb 16 Za Internet Za Mwezi 1 Kwa Tsh.19,500.Tu.
Pata Gb 7,Dk 1200(Yote) & Sms 200 Kwa Mwezi 1 Kwa Tsh.19,500.Tu.
Pata Gb 23,Dk 1200(Yote) & Sms 200 Kwa Mwezi 1 Kwa Tsh.37,000.Tu.
Pata Gb 32 Za Internet Za Mwezi 1 Kwa Tsh.37,000.Tu.
Pata Gb 48 Za Internet Za Mwezi 1 Kwa Tsh. 56,000.Tu.
Pata Gb 64 Za Internet Za Mwezi 1 Kwa Tsh. 74,000.Tu.
Note..Bei Haipungui Kwa Kila Package
gb ngap?Naonganisha TTcl kwa mwezi Elfu 10 Pm me kama unahitaji GB unlimited
Mkuu hawa watu wa vifurushi mungu anawaona mimi nilishatuma hela sana lakini napigwa tu juzi nimetuma 17,000/= lakini nimepigwa
nimekuchek pm bossUnlimited
Mkuu kwangu GB mtu alipie kwanza vingnevyo tutaifanye biashara wengi tu....GB zipooooooooooo za mwaka mzimaWataje ili watu wawajue kabsa
Nahitaj chakuongea Mkuu.Gb 72, kwa mwaka mzima KILA mwez gb 6 kwa siku 14 kwa mwaka mzima zipo. (Malipo kabla)
Free call tgo kwa miaka 2 ipo pia (Malipo baada ya kazi)
Pm kwa walioseriouly
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
kasi yake ikoje mkuu.Unlimited
Kasi yake siyo mbaya ila kunasaa inakuwa disconnected i dont know why?kasi yake ikoje mkuu.
na malipo ni baada ya kaz au!?
Umezipataje mkuu na kwa tzs ngap.
Wana dak pia?