Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Hapana hio ni ya waya, huwezi tembea nayo.

Ambayo unatembea nayo ni zile za kupimiwa kama vifurushi vilivyotumwa juu, unapewa Idadi maalum ya GB.
Ohhh sawa. Ahsante.
Samia aingilie kati. Siyo kwa kutafunwa huku kwa MB aiseee. Yaani MB 1000 ni masaa 6 tu hata si download kitu. Ni kuperuzi na kusoma News. Au Vodacom, Tigo na Airtel wame boost leakage ya data (Consumption ya data imechakachuliwa/yaani ina onesha kweli umetumia MB zote 1000 ila mzunguko wa kutumika wa data kume ongezewa mwendo usio wa kawaida).

Simu yangu haina option ya data Save. Nime tafta haipo.
 
Wale wa vifurushi vya Tigo vile vya mwaka vipi mwezi huu mmepata GB?!
Ni bila bila uku...Tigo washakuwa wahuni.....wanatuma jumbe zao za kuwa gharama za kupata hiyo huduma imepandishwa kutoka 1000 mpka 2000...huwa naweka salio kwa mwez siyo chini ya 10000...
 
Ohhh sawa. Ahsante.
Samia aingilie kati. Siyo kwa kutafunwa huku kwa MB aiseee. Yaani MB 1000 ni masaa 6 tu hata si download kitu. Ni kuperuzi na kusoma News. Au Vodacom, Tigo na Airtel wame boost leakage ya data (Consumption ya data imechakachuliwa/yaani ina onesha kweli umetumia MB zote 1000 ila mzunguko wa kutumika wa data kume ongezewa mwendo usio wa kawaida).

Simu yangu haina option ya data Save. Nime tafta haipo.
Eka firewall kujua ni kitu gani kinakula hizo mb
 
Ni bila bila uku...Tigo washakuwa wahuni.....wanatuma jumbe zao za kuwa gharama za kupata hiyo huduma imepandishwa kutoka 1000 mpka 2000...huwa naweka salio kwa mwez siyo chini ya 10000...
Wadau wanasema inatakiwa vocha ya kukwangua ya buku2 iliyoshikana sio za kuunga unga za bukubuku au jerojero.
 
Ngumu kuipata mwenyewe,

Kuna app zinashare pass za wifi playstore jaribu labda kuna kiumbe ali upload
Kuna App nimeisahau jina nilikua naitumia zamani kuangalia password za WiFi lakini mara ya Mwisho kuidownload ikataka mpaka cm iwe rooted nikaachana nayo,zamani nilikua naitumia bila ya cm kua rooted na ilikua inafanya kazi vizuri unapata password bila kutumia nguvu
 
VODACOM PACKAGE

SIKU YA KUUNGA ITATANGAZWA SIO MUDA

NB.VIFURUSHI VYOTE NI VYA MWEZI MMOJA TU.

1.Pata GB 16 Kwa Tsh.20,000.

2.Pata GB 7 & Dk 1200{ Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.20,000.

3.Pata GB 32 Kwa Tsh.40,000.

4.Pata GB 23 & Dk 1200{Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.40,000.

5.Pata GB 14 & Dk 2400{Yote}+Sms 1000 Kwa Tsh.40,000.

6.Pata GB 48 Kwa Tsh.60,000.

7.Pata GB 39 & Dk 1200{Yote}+Sms 500 Kwa Tsh.60,000.

8.Pata GB 21 & Dk 3600{Yote}+Sms 1500 Kwa Tsh.60,000.

Nb.Pia Gb 64, Gb 80,Gb 96 & Gb 112 Na Kuendelea Zinapatikana..Lakini Kila GB 16 ni Tsh.20,000.

NB:Tuma namba Mapema, Tar 10 Tunaunga baada ya hapo Tutaunga tena mwezi wa 8

Bado unaunga mkuu
 
Internet za majumbani zote ni unlimited unalipishwa tu kwa speed.

Mfano hio TTCL 55,000 unapata speed ya 20mbps, inamaana ukilipa 55000 utatumia mwezi mzima GB unazotaka ni kwamba tu speed yako haitazidi 20mbps.

Ukitumia GB 100 ama 200 ama 500 ni wewe tu wao haiwahusu kiasi unachotumia.
Du hapa kama sijaelewa hiyo speed ya 20mps ndio kubwa au ndog kabisa?? Tueleweshane hapo kweny mps
 
Du hapa kama sijaelewa hiyo speed ya 20mps ndio kubwa au ndog kabisa?? Tueleweshane hapo kweny mps
Kwa vifurushi vyao ndio ndogo ya kuanzia kwenye fiber. Ila ku compare na Tech nyengine kama Adsl, satelite na Mobile data za Kina Tigo. Na Voda ni kubwa kiasi ama size ya kati.

20mbps movie ya HD 1GB utadownload kwa dakika 7 hivi.
 
20mbps ni Sawa na 2.5 MB/s ambazo Kwa sekunde 60 (dk 1) utadownload data ujazo wa 150MB hivyo mfano Una file la 1gb (1000MB) ukigawa kwa 150MB utapata dk.6 hivyo Kwa file la 1gb utatumia dk 6 kumaliza.

Nadhani nimeeleweka
yaani hpa kw siku kushusha gb100-140 ni kitu simple tu, yaani kwa mwezi 3tb inajaa fresh kabisa
 
Kwa vifurushi vyao ndio ndogo ya kuanzia kwenye fiber. Ila ku compare na Tech nyengine kama Adsl, satelite na Mobile data za Kina Tigo. Na Voda ni kubwa kiasi ama size ya kati.

20mbps movie ya HD 1GB utadownload kwa dakika 7 hivi.
Du kumbe bora sasa hapo ni naweza tumia gb 500 kwa mwez[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna App nimeisahau jina nilikua naitumia zamani kuangalia password za WiFi lakini mara ya Mwisho kuidownload ikataka mpaka cm iwe rooted nikaachana nayo,zamani nilikua naitumia bila ya cm kua rooted na ilikua inafanya kazi vizuri unapata password bila kutumia nguvu

Instabridge
 
Hii ttcl fibre kuna walitumia kweli? , me natumia zuku 69,000 naona wako vizuri ila coverage haipo maeneo mengi...!
 
👻👻👻👻👻👻
Screenshot_20220731_090332.jpg
 
Back
Top Bottom