Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Baada ya dakika 20 naye akajibu meseji View attachment 2754571

Nikamjibu

View attachment 2754575

Nikamfahamisha kuwa kesho ambayo ndio leo nitafika ofisini kwao ili nipate uhakika zaidiView attachment 2754576

Leo sasa kabla sijaondoka kwenda ofisini kwao nikapiga simu tena kwa surveyor ikaita lakini haikupokelewa.

Nimefika ofisini kwao nikamkuta mwenzake ambaye alikuja naye siku ya survey.

Nikamuuliza vipi mchakato umefikia wapi. Huyu akaniambia eneo langu connection ya B.O.Q imejaa hivyo wataalamu wapo katika mchakato wa kufunga zingine, zikikamilika watanijuza.

Nikamuuliza kuhusu uhakika wa siku ambayo hiyo process ya kufunga hiyo connection itakamilika.

Akaniambia yeye hawezi kujua kwasababu hilo jambo lipo nje ya uwezo wake.
Hizi terminology sio wanatupanga hawa?
 
Nipe connection kaka, kwenye site yao inaonekana wanauza hizo router. Ya minimum price ni 615,000
Mcheck huyu jamaa 0742772122 atakupa utaratibu wote.Router wanakupa bure ukishalipia hela ya miezi miwili.
 
Chief hii vip inaweza kufaa ni itumia kama extended?
1536300432.jpg
 
Hawa jamaa wana bei mnoo....
Internet yao ni Dedicated ndiyo maana prices ziko juu.

World mobile nao prices zimesimama sana.....
Subiri Halotel Mkuu. Wana Home internet service ambayo itakua unlimited nayo wanadeploy mwishoni mwa mwezi huu kwa Unguja. Kwa Info zaidi utamuuliza huyu Dada
+255 621 588 623. View attachment 2750603

Sent from my SM-G998B using JamiiForums mobile app
Hii mbona ghali sana.
 
Hii faida zake ni zipi?
Hii bandwith yake haishuki kulingana na traffic zilizopo. Mfano kwenye shared ukichukua 20MBPS hii inakua ni PEAK SPEED. Yani the maximum inayoweza kufika means itapanda na kushuka kulingana na traffic zilizopo au watu wanaotumia kwa muda huo. Na ndio maana kuna baadhi maeneo ya mijini zile off- office hours internet inakua na speed ukilinganisha na mchana.

Kwa dedicated speed inakupa sawa haishuki bandwith. Kama ni 5 basi ni 5.

Sent from my SM-G998B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom