Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kabisa wanafaidi sanaYes ina faida kwa sababu ukipata watu 10 kwa 3000 tayari una 30000 ya chapchap...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa wanafaidi sanaYes ina faida kwa sababu ukipata watu 10 kwa 3000 tayari una 30000 ya chapchap...
Kwa maelezo yao, hio ni port ya kuweka powerbank kama unataka ya ziada.Mkuu router yako ya airtel hiyo USB-C port inafanya kazi yoyote?mimi najaribu kuitumia kucharge na hata nikiconnect kwenye computer haifanyi chochote.
Una maanisha ni port inayotumika kupitisha moto kuweza kuifanya Router iwe on?Kwa maelezo yao, hio ni port ya kuweka powerbank kama unataka ya ziada.
Siku nilipokua nanunua yangu nilipata kuwauliza..hayo ndio majibu walinipa.Una maanisha ni port inayotumika kupitisha moto kuweza kuifanya Router iwe on?
Maana nishajaribu kutumia powerbank kuchomeka kwenye hiyo port lakini Router haikuwaka.
Pia wakati Router ipo on nlijaribu kutumia dual USB-C nikachomeka kwenye simu kisha nikachomeka na kwenye Router lakini kwenye simu haikuonesha respond yeyote hata chaji tu haikupitisha.
Mpaka saizi sijajua hiyo port ina matumizi gani na lile karatasi la user guide sikumbuki nilipoliweka.
Hata mimi waliniambia hivyo ila kiutendaji ni tofautiSiku nilipokua nanunua yangu nilipata kuwauliza..hayo ndio majibu walinipa.
Bado sijawahi kuijaribu
Mkuu ulikua unahitaji hdd niko na ndugu yangu yuko desperate yuko na 2Tb ilikua inatumika kusave records za cctv cameraUna maanisha ni port inayotumika kupitisha moto kuweza kuifanya Router iwe on?
Maana nishajaribu kutumia powerbank kuchomeka kwenye hiyo port lakini Router haikuwaka.
Pia wakati Router ipo on nlijaribu kutumia dual USB-C nikachomeka kwenye simu kisha nikachomeka na kwenye Router lakini kwenye simu haikuonesha respond yeyote hata chaji tu haikupitisha.
Mpaka saizi sijajua hiyo port ina matumizi gani na lile karatasi la user guide sikumbuki nilipoliweka.
Nishaipata MkuuMkuu ulikua unahitaji hdd niko na ndugu yangu yuko desperate yuko na 2Tb ilikua inatumika kusave records za cctv camera
Anahitaji pesa chap
Nisaidie contact zao km unazoWakuu kuna hawa jamaa skuiz wanaendesha huduma za unlimited data ni kama internet cafe unampa buku unakaa kuanzia asubuhi hadi jioni hata ukitumia gb 300 ni wew tu aisee wanapata faida sana
wanapatikana wapi sasa mkuu? tujisogezeWakuu kuna hawa jamaa skuiz wanaendesha huduma za unlimited data ni kama internet cafe unampa buku unakaa kuanzia asubuhi hadi jioni hata ukitumia gb 300 ni wew tu aisee wanapata faida sana
Niliwaona kigamboni hapa majuzi nahisi hata mitaani kwenu watakuwepoNisaidie contact zao km unazo
Wapo Kigamboni mkuu nahisi hata kitaani kwako wapoNisaidie contact zao km unazo
Nipo mwnz mmWapo Kigamboni mkuu nahisi hata kitaani kwako wapo
Nahisi hata uko watakuwepoNipo mwnz mm
hahaha
PpNahisi hata uko watakuwepo
ngoja nifatilie najua kkoo siwezi kosa hii hudumaWapo Kigamboni mkuu nahisi hata kitaani kwako wapo
Naam ipo hiyo
Hii huduma ni nzuri kwenye maeneo ya watu wengi ,mana mtu kutoa buku akapakua mzigo wa gb 10 haoni shidaNaam ipo hiyo
Mkuu jana nimevuruga kkoo kuanzia China plaza sijapata huduma hii....Naam ipo hiyo
Polee sana mie mtaani kwangu ipo hiyoMkuu jana nimevuruga kkoo kuanzia China plaza sijapata huduma hii....
Sent from my SHV45 using JamiiForums mobile app
Mi natafuta sehem ya hivyo angalau siku za jumamosi na jpili niwe napakua vitu vyangu nikiwa nimetulia,Polee sana mie mtaani kwangu ipo hiyo