Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Katika mapinduzi mapya yaliyotangazwa na @Tigo_TZZ ambao ni Mtandao namba 1 kwa internet yenye kasi zaidi Nchini Tanzania kwa mujibu wa Ookla, Wakazi wa maeneo ya Mbweni, Boko na Bunju wamependelewa kwa kuwekwa kwenye kundi la kwanza la Watanzania watakaofaidi huduma mpya ya kusambaziwa Internet kwa waya ( fiber) majumbani na maofisini kwa gharama ya shilingi elfu 70 peke yake.

Huduma ya FIBER imeanza kutolewa ikiwa ni miezi kadha toka Tigo walipotangaza kuwekeza mabilioni ya shilingi za Kitanzania kwenye teknolojia na mitambo yao ili kuongeza kasi ya huduma zake za mawasiliano pamoja na internet yenye kasi.

Mpango uliopo ni kuisambaza FIBER INTERNET Nchi nzima lakini kwa sasa bahati imeanzia kwa Wakazi wa Mbweni, Bunju na Boko katika Ofisi zao zilizopo maeneo hayo au Nyumba za makazi, wataanza kunufaika na huduma hiyo ya intaneti ya uhakika na isiyo na kikomo kwa shilingi elfu 70.

Wateja wanaohitaji kuunganishwa wanaweza kuwasiliana na Tigo moja kwa moja kwa njia ya Whatsapp namba 0714-100-100 au kupiga namba 100 huduma kwa Wateja au email prepaidfiber@tigo.co.tz #MillardAyoUPDATES
Sema sijaona utofauti waliokuja kuleta

Hicho kifurushi cha 70K niliuliza nikaambiwa kina Mbps10 sawa na bundle la Router tu

Tena Router utakuwa umepunguza miwaya waya ndani pia utaweza kuibeba popote.
 
starlink price comparison
sema hii starlink kwa nchi zetu hizi za kimaskini wamefanya utu sana kuweka bei rahisi ya package.

package ya chini kabisa inauzwa ifuatavyo katika baadhi ya nchi: (Bei zimecorvetiwa kwa USD kwa ajili ya comparison)

USA 120 Usd
CANADA 103 Usd
MEXICO UK 99 Usd

JAMAICA 45 Usd
BAHAMAS 55 Usd
ARGENTINA 59 Usd
BRAZIL 33 Usd

BELGIUM 56 Usd
SWITZERLAND 60 Usd
UK 99 Usd

AUSTRALIA 93 Usd
INDONESIA 49 Usd
SINGAPORE 85 Usd
JAPAN 47 Usd
MALAYSIA 51 Usd

ZAMBIA 30 Usd
GHANA 49 Usd
NIGERIA 24 Usd
SOUTH SUDAN 50 Usd
MALAWI 50 Usd
KENYA 50 Usd

HIVYO VYOTE NI VIFURUSHI RESIDENTIAL STANDARD.
Na kuna baadhi ya NCHI hiiki kifurushi kina MINI package yake Nchi kama SPAIN, ITALY, RWANDA

ukiondoa ile bei ya kuagizia ya kwanza hizi bei tayari wengi wanatumia kwa sasa
 
Sema sijaona utofauti waliokuja kuleta

Hicho kifurushi cha 70K niliuliza nikaambiwa kina Mbps10 sawa na bundle la Router tu

Tena Router utakuwa umepunguza miwaya waya ndani pia utaweza kuibeba popote.
Ujinga wa fibre ya Tigo ni gharama yao kubwa. 70,000 kwa 10mbps wakati wenzao 55k (TTCL) na 79k (Halotel) unapata 20mbps.

Kifurushi chao kinachofuata ni 100,000 kwa 20mbps. Wakati Halotel fibre kwa 95,000 wanakupa 40mbps na TTCL 100,000 wanakupa 40mbps.
 
Ujinga wa fibre ya Tigo ni gharama yao kubwa. 70,000 kwa 10mbps wakati wenzao 55k (TTCL) na 79k (Halotel) unapata 20mbps.

Kifurushi chao kinachofuata ni 100,000 kwa 20mbps. Wakati Halotel fibre kwa 95,000 wanakupa 40mbps na TTCL 100,000 wanakupa 40mbps.
Mtu wao wa market anakula hela za bure halafu plan hana
 
Ujinga wa fibre ya Tigo ni gharama yao kubwa. 70,000 kwa 10mbps wakati wenzao 55k (TTCL) na 79k (Halotel) unapata 20mbps.

Kifurushi chao kinachofuata ni 100,000 kwa 20mbps. Wakati Halotel fibre kwa 95,000 wanakupa 40mbps na TTCL 100,000 wanakupa 40mbps.
Inategemea na quality na route, TTCL malalmiko ya wengi humu (pia na mimi nimetest) ina ping kubwa sana kwa server za Ndani ya Africa, South Africa ama Kenya etc. Kama unacheza game ama kufanya kitu chochote serious na unategemea server za Africa tegemea lag za kutosha. Mimi nimehama ttcl 20mbps nimeenda Zuku 10mbps na overall experience ni nzuri zaidi Zuku.
 
Vipi kuhusu experience ya Halotel? Quality Yao ipoje maana ndio mtandao pekee ninaousubiria ufike eneo langu?
 
Sema sijaona utofauti waliokuja kuleta

Hicho kifurushi cha 70K niliuliza nikaambiwa kina Mbps10 sawa na bundle la Router tu

Tena Router utakuwa umepunguza miwaya waya ndani pia utaweza kuibeba popote.
Watanzania kiuhalisia kwa sasa tunahitaji zaidi unlimited za router kuliko hizo za majumbani kwa sababu maisha yetu muda mwingi tunaspend nje, tunarudi majumbani kulala tu.

Pia wengi bado tumepanga, hivyo kuvuta fiber nyumba ulopanga bado inakuwa haimake sense.

Hivyo kwa mimi, router bado inaendelea kuwa more convinient kuliko hizo fiber kwa sababu na move nayo popote niendako.
 
Katika mapinduzi mapya yaliyotangazwa na @Tigo_TZZ ambao ni Mtandao namba 1 kwa internet yenye kasi zaidi Nchini Tanzania kwa mujibu wa Ookla, Wakazi wa maeneo ya Mbweni, Boko na Bunju wamependelewa kwa kuwekwa kwenye kundi la kwanza la Watanzania watakaofaidi huduma mpya ya kusambaziwa Internet kwa waya ( fiber) majumbani na maofisini kwa gharama ya shilingi elfu 70 peke yake.

Huduma ya FIBER imeanza kutolewa ikiwa ni miezi kadha toka Tigo walipotangaza kuwekeza mabilioni ya shilingi za Kitanzania kwenye teknolojia na mitambo yao ili kuongeza kasi ya huduma zake za mawasiliano pamoja na internet yenye kasi.

Mpango uliopo ni kuisambaza FIBER INTERNET Nchi nzima lakini kwa sasa bahati imeanzia kwa Wakazi wa Mbweni, Bunju na Boko katika Ofisi zao zilizopo maeneo hayo au Nyumba za makazi, wataanza kunufaika na huduma hiyo ya intaneti ya uhakika na isiyo na kikomo kwa shilingi elfu 70.

Wateja wanaohitaji kuunganishwa wanaweza kuwasiliana na Tigo moja kwa moja kwa njia ya Whatsapp namba 0714-100-100 au kupiga namba 100 huduma kwa Wateja au email prepaidfiber@tigo.co.tz #MillardAyoUPDATES
Tigo inawezekana wamedhamiria,maana baada ya kilio cha muda mrefu wa kukosa network maeneo ya kiluvya,kibamba,kiluvya,malamba mawili,king'azi na kifuru tigo wameanza kujenga minara hayo maeneo,kwangu net ni shida mno,ukiwa ndani ndio upatikani kabisa,tigo now wanajenga mnara kutokea kwangu kama mita 500 hivi
 
Kenya bei zao za vifurushi kwenye hizi Router za Airtel kumbe ni kipande

30Mbps ni sawa na 136,000 kwa hela ya kibongo
1726050393033.png
 
Inategemea na quality na route, TTCL malalmiko ya wengi humu (pia na mimi nimetest) ina ping kubwa sana kwa server za Ndani ya Africa, South Africa ama Kenya etc. Kama unacheza game ama kufanya kitu chochote serious na unategemea server za Africa tegemea lag za kutosha. Mimi nimehama ttcl 20mbps nimeenda Zuku 10mbps na overall experience ni nzuri zaidi Zuku.
To me ping za TTCL ziko vizuri kuliko za Voda.
Nipeni Server niwatumie screenshot.
 
Speedtest.net ping kenya ama south Africa
Ya kwenye browser hainipi option ya kuchagua server.

Seacom - Isando South Africa
IMG_4996.png


Rain - Johannesburg South Africa
IMG_4997.png


Liquid Intelligent - Nairobi Kenya
IMG_4998.png


Zuku - Nairobi Kenya
IMG_4999.png



Na hapo kuna watu 2 wanazurula na Reels za IG ingekuwa voda ping ungezikuta juu ya bati 300ms to 700ms.
Online gaming ping below 100ms uko vizuri, 100ms hadi 200ms lags kwa mbaali sana.
 
Ya kwenye browser hainipi option ya kuchagua server.

Seacom - Isando South Africa
View attachment 3094344

Rain - Johannesburg South Africa
View attachment 3094351

Liquid Intelligent - Nairobi Kenya
View attachment 3094353

Zuku - Nairobi Kenya
View attachment 3094354


Na hapo kuna watu 2 wanazurula na Reels za IG ingekuwa voda ping ungezikuta juu ya bati 300ms to 700ms.
Online gaming ping below 100ms uko vizuri, 100ms hadi 200ms lags kwa mbaali sana.
Hii ping nzuri bila shaka mkuu, unatumia fiber ya TTCL? Either wamefix hii issue ama una Access ambayo mimi na wadau wengine humu tulikuwa hatuna. Fiber ya TTCL kenya na south ilikuwa inaping hadi 300ms
 
Hii ping nzuri bila shaka mkuu, unatumia fiber ya TTCL? Either wamefix hii issue ama una Access ambayo mimi na wadau wengine humu tulikuwa hatuna. Fiber ya TTCL kenya na south ilikuwa inaping hadi 300ms
Natumia fiber ya TTCL na siko mjini.

Splicing mbovu ya Fiber husababisha ping mbovu. Kuna mtu alipost humu anatumia fiber ya TTCL ila ping kwenda server ya TTCL ilikuwa 60ms while mimi kwenda TTCL kwa Wi-fi ni 3-4ms kwa Ethernet 2ms
 
Wadau mnijuze kidogo.
naombeni kufahamu taratibu za kuweza kujiunga na kifulushi maalumu cha biashara (m2m) Kwangu mimi mteja wa laini ya haloteli upoje
CHIEF MKWAWA
 
Wakuu hizi router za Airtel zipo compatible na extender za antenna zenye uwezo wa kufika mita 300+?
Extender za antenna hapa TZ zipo na sh ngapi?

Kuna watu wanahitaji huduma hii ndo maana nauliza

Mwenye mawazo maana tutasaidia wengi
Cc Chief Mkwara na wengine
 
Back
Top Bottom