Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Nakupa plan B ya hizi changamoto kz nimegundua na wewe ni heavy data user. Fanya online application ya TTCL. T-Faiba | Online Application mimi nimeongea nao walicho niambia huduma ya TTCL fiber ni kwa Tanzania nzima unacho takiwa fanya jaza form submit mtu wa survey ata kupigia aje kagua wakungie ni cheap as 55k plus installation. Kikubwa jitahidi eneo lako muwe watu kadhaa kama ilivyo tanesco ili wanapo leta cable isiwe kwako tu kuwe na wengine kusaidia costs.
Natamani pia nilipo panga niwe na stable internet ila wanao ni zunguka wote hizo mishe sio zao hahahahahaha, ndio mana na komaa na Halotel ila sio kupenda kwangu.
Hivi TTCl awana Router kama ilivyo kwa Airtel
 
Wewe utakuwa sio mfuatiliaji sana wa huu uzi.

Hao TTCL nimeanza kuwafuata tangu wakiwa na internet yao ya copper hapo nazungumzia 2020

Fiber mlangoni ilipozinduliwa mimi niliwahi haraka kuanza kufanya mchakato wa kujisajili.

Huo mfumo wa mtandao umekuja mwaka jana tu hapo napo huko nina fomu zangu zisizopungua tatu.

Kiufupi hakuna jitihada ambayo sijaifanya itayonifanya nijione mzembe kwa kutopata hiyo huduma ya Fiber kutoka TTCL.

Hivi TTCl awana Router kama ilivyo kwa Airtel
Wanazo tatizo bei ya vifurushi ukienda mbele zaidi network una jitafutia mostly ina roam via Tigo.
 
Mkuu halotel ilikuwaje? Hembu toa kisa chako maana mimi na tumia Halotel ina mwaga moto vizuri tu via X28 udhamini wa Airtel
Vipi bado Halotel kwako inapasua?

Kuna mdau aliniambia inagonga speed kali ila jana kanionesha speed test yenye 320Kb, anasema imekuwa hivyo kwa siku mbili.

Vipi kwa upande wako?
 
Dah! Kwangu ni majanga, tayari nimeondoa laini yao, natumia tigo sme kwa sasa.
Noma sana
1728040937648.png
 
Vipi bado Halotel kwako inapasua?

Kuna mdau aliniambia inagonga speed kali ila jana kanionesha speed test yenye 320Kb, anasema imekuwa hivyo kwa siku mbili.

Vipi kwa upande wako?
Mwanangu ni kisanga ngoma toka juzi mwendo wa 320kbps. Nadhani wamepiga speed cap kwa above 24gb
 
Ukifika 24gb ndio manyago yanaanza.
Mwanangu ni kisanga ngoma toka juzi mwendo wa 320kbps. Nadhani wamepiga speed cap kwa above 24gb
Nimeunga devices 4 hapa, hii ni unlimited ya 50k.
Speed inafika ngapi?
Kwa sasa mbadala ni M2M speed ipo vizuri sawa na vifurushi vya kawaida

Bando la unlimited ni zilipendwa, speed inashushwa ukivuka GB 24

Mibadala ya mitandao mingine:

Airtel unlimited: Unanunua router kwa laki 2 unapata kifurushi cha elf 70 kwa mwezi kwa speed ya 10 Mbps au unapewa router bure lakini unaunga kifurushi cha 110,000 kila mwezi kwa speed ya 30 Mbps.

Vodacom Supakasi Unlimited, kinaanzia 120,000 kwa mwezi kwa speed ya 30 Mbps, kusajiliwa inabidi kwanza uweke deposit takriban laki 2 hivi

Vifurushi vya SME na postpaid vyenye unafuu wa bei za GB, Mfano ni Halotel M2M, Voda sme, tigo Postpaid na airtel sme, Kila mtandao una bei zake ila kuna tofauti ndogo kwenye bei.

Fibre ni unlited na bei rahisi kuanzia 55,000 lakini haibebeki, Ni ya kutumia sehemu moja, ukiwa nje unaingia gharama za ziada kuunga mabando.
 
Kwa sasa mbadala ni M2M speed ipo vizuri sawa na vifurushi vya kawaida

Bando la unlimited ni zilipendwa, speed inashushwa ukivuka GB 24

Mibadala ya ziada:

Airtel unlimited: Unanunua router kwa laki 2 unapata kifurushi cha elf 70 kwa mwezi kwa speed ya 10 Mbps au unapewa router bure lakini unaunga kifurushi cha 110,000 kila mwezi kwa speed ya 30 Mbps.

Vodacom Supakasi 120,000, kusajiliwa inabidi kwanza uweke deposit kama laki 2 hivi

Vifurushi vya SME na postpaid vya wafanyabiashara, vipo voda, tigo, airtel vinafanana na M2M ya halotel isipokuwa kuna tofauti ndogo kwenye bei
Plan B nzuri upate watu wawili watatu mvute 70k kwa mwezi au mpambanie fiber iwafikie
 
Vipi bado Halotel kwako inapasua?

Kuna mdau aliniambia inagonga speed kali ila jana kanionesha speed test yenye 320Kb, anasema imekuwa hivyo kwa siku mbili.

Vipi kwa upande wako?
Tembelea hapa


Kuna mdau kapost humo, kifupi baada ya 100GB wanashusha speed chini ya 2mbps and most of time chini ya 500kbps.
 
Bro kwani husomi uzi ukaelewa? Calm down 50k after 24GB hiyo bundle haitembei tena

Mkuu, yeye kwa matumizi yake mbona shwari? Mimi mwenyewe natumia unlimited ya Halotel na kwa matumizi yangu hiyo speed inanitosha kabisa hata after 24 GB

Nafikiri inategemea na mtu anatumia internet kufanyia nini.​
 
Back
Top Bottom