sintosh
Member
- May 26, 2015
- 41
- 36
Ili uweze kutumia line ya mtandao wowote😁🤣🤣😁😁 Ili iweje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili uweze kutumia line ya mtandao wowote😁🤣🤣😁😁 Ili iweje
Hivi TTCl awana Router kama ilivyo kwa AirtelNakupa plan B ya hizi changamoto kz nimegundua na wewe ni heavy data user. Fanya online application ya TTCL. T-Faiba | Online Application mimi nimeongea nao walicho niambia huduma ya TTCL fiber ni kwa Tanzania nzima unacho takiwa fanya jaza form submit mtu wa survey ata kupigia aje kagua wakungie ni cheap as 55k plus installation. Kikubwa jitahidi eneo lako muwe watu kadhaa kama ilivyo tanesco ili wanapo leta cable isiwe kwako tu kuwe na wengine kusaidia costs.
Natamani pia nilipo panga niwe na stable internet ila wanao ni zunguka wote hizo mishe sio zao hahahahahaha, ndio mana na komaa na Halotel ila sio kupenda kwangu.
Wewe utakuwa sio mfuatiliaji sana wa huu uzi.
Hao TTCL nimeanza kuwafuata tangu wakiwa na internet yao ya copper hapo nazungumzia 2020
Fiber mlangoni ilipozinduliwa mimi niliwahi haraka kuanza kufanya mchakato wa kujisajili.
Huo mfumo wa mtandao umekuja mwaka jana tu hapo napo huko nina fomu zangu zisizopungua tatu.
Kiufupi hakuna jitihada ambayo sijaifanya itayonifanya nijione mzembe kwa kutopata hiyo huduma ya Fiber kutoka TTCL.
Wanazo tatizo bei ya vifurushi ukienda mbele zaidi network una jitafutia mostly ina roam via Tigo.Hivi TTCl awana Router kama ilivyo kwa Airtel
Vipi bado Halotel kwako inapasua?Mkuu halotel ilikuwaje? Hembu toa kisa chako maana mimi na tumia Halotel ina mwaga moto vizuri tu via X28 udhamini wa Airtel
Dah! Kwangu ni majanga, tayari nimeondoa laini yao, natumia tigo sme kwa sasa.Vipi bado Halotel kwako inapasua?
Kuna mdau aliniambia inagonga speed kali ila jana kanionesha speed test yenye 320Kb, anasema imekuwa hivyo kwa siku mbili.
Vipi kwa upande wako?
Noma sanaDah! Kwangu ni majanga, tayari nimeondoa laini yao, natumia tigo sme kwa sasa.
Speed inafika ngapi?M2M ya Halotel is still working just fine. Ingawa speed ndio imepungua kiasi fulani but it is still adequate for mid users
M2M ya Halotel is still working just fine. Ingawa speed ndio imepungua kiasi fulani but it is still adequate for mid users
Ukifika 24gb ndio manyago yanaanza.Nimeunga devices 4 hapa, hii ni unlimited ya 50k.
Mwanangu ni kisanga ngoma toka juzi mwendo wa 320kbps. Nadhani wamepiga speed cap kwa above 24gbVipi bado Halotel kwako inapasua?
Kuna mdau aliniambia inagonga speed kali ila jana kanionesha speed test yenye 320Kb, anasema imekuwa hivyo kwa siku mbili.
Vipi kwa upande wako?
Ukifika 24gb ndio manyago yanaanza.
Mwanangu ni kisanga ngoma toka juzi mwendo wa 320kbps. Nadhani wamepiga speed cap kwa above 24gb
Nimeunga devices 4 hapa, hii ni unlimited ya 50k.
Kwa sasa mbadala ni M2M speed ipo vizuri sawa na vifurushi vya kawaidaSpeed inafika ngapi?
Bro kwani husomi uzi ukaelewa? Calm down 50k after 24GB hiyo bundle haitembei tenaHalotel katukomboa kwa kweli
50k unlimited
Hii umeambiwa haipo tena.Halotel katukomboa kwa kweli
50k unlimited
Plan B nzuri upate watu wawili watatu mvute 70k kwa mwezi au mpambanie fiber iwafikieKwa sasa mbadala ni M2M speed ipo vizuri sawa na vifurushi vya kawaida
Bando la unlimited ni zilipendwa, speed inashushwa ukivuka GB 24
Mibadala ya ziada:
Airtel unlimited: Unanunua router kwa laki 2 unapata kifurushi cha elf 70 kwa mwezi kwa speed ya 10 Mbps au unapewa router bure lakini unaunga kifurushi cha 110,000 kila mwezi kwa speed ya 30 Mbps.
Vodacom Supakasi 120,000, kusajiliwa inabidi kwanza uweke deposit kama laki 2 hivi
Vifurushi vya SME na postpaid vya wafanyabiashara, vipo voda, tigo, airtel vinafanana na M2M ya halotel isipokuwa kuna tofauti ndogo kwenye bei
Ipo tatizo speed baada ya 24 gb za kwanza ina shuka mnoHii umeambiwa haipo tena.
Nisawa na hakuna hiyo mkuu!Ipo tatizo speed baada ya 24 gb za kwanza ina shuka mno
Tembelea hapaVipi bado Halotel kwako inapasua?
Kuna mdau aliniambia inagonga speed kali ila jana kanionesha speed test yenye 320Kb, anasema imekuwa hivyo kwa siku mbili.
Vipi kwa upande wako?
Bro kwani husomi uzi ukaelewa? Calm down 50k after 24GB hiyo bundle haitembei tena