Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
-
- #21
Yaani Faiza, sisi wengine tumezaliwa kaskazini huko hatuwezi kutofautisha R na L sometimes.Na huyo :Richa" ni mtoto wa "kigogo" pia?
Itakuwa hujawaona watoto wa Kinondoni, umezowea kuwaona wa kigogo wenzako tu.
Vipi wewe, wanakupiga hao watoto wa kigogo?
Ni kujiendekeza tu, Kiswahili ni lugha yako ya taifa. Jitahidi.Yaani Faiza, sisi wengine tumezaliwa kaskazini huko hatuwezi kutofautisha R na L sometimes.
Sio wote hata mimi sio mara kwa mara kukosea kama hivyo.Ni kujiendekeza tu, Kiswahili ni lugha yako ya taifa. Jitahidi.
Wa Kaskazini mbona wengi sana wanaoandika na kuongea Kiswahili vizuri sana.
Ni kujiendekeza tu, Kiswahili ni lugha yako ya taifa. Jitahidi.
Wa Kaskazini mbona wengi sana wanaoandika na kuongea Kiswahili vizuri sana.
Kaskazini sio Arusha na Kilimanjaro pekee,kuna Mara piaNi kujiendekeza tu, Kiswahili ni lugha yako ya taifa. Jitahidi.
Wa Kaskazini mbona wengi sana wanaoandika na kuongea Kiswahili vizuri sana.
Tena Mara na Musoma ndiyo wanatamka Kiswahili vizuri sana.Kaskazini sio Arusha na Kilimanjaro pekee,kuna Mara pia
Alikataa kwa sababu alikuwa anajichotea mipesa kwenye chama Cha walimu ambozo zilikuwa nyingi kuliko za UDCHukuona Yule Mwalimu aliekataa u DC??
Moja ya mikoa inayosumbuliwa sana na tatizo la R na L ni mkoa wa Mara.Tena Mara na Musoma ndiyo wanatamka Kiswahili vizuri sana.
Mjirekebishe, Kiswahili ni kitamu.Moja ya mikoa inayosumbuliwa sana na tatizo la R na L ni mkoa wa Mara.
Mkuu hawa wana jiajiri na bado wako kwenye hizo nafasi nyeti..Kwanza nikiri watoto wa vigogo wengi wamesoma sana na wana bidii sana kwenye masomo.
Zamani niliaminishwa vijijini kwamba watoto wa matajiri hawapendi shule na kwamba huwa wanafeli.
Baada ya kusogea mbele ki elimu nikahama mkoa niliokuwa naishi huko vijijini nilikutana na ulimwengu wa tofautu kabisa.
Watoto wa vigogo yaani RC, DC, DAS, Ma generali wa jeshi, Wakurugenzi wa Tasis za serikali kama BOT, NSSF, PSSF, TPDC, TANESCo, bila kusahau watoto wa wenyeviti na makatibu wa ccm ngazi mbali mbali Taifa, mkoa na wilaya niligundua wako serious sana na masomo na ni vichwa sana.
Wanajituma kusoma na wana sapoti nzuri kutoka kwa wazazi wao ikiwemo pesa na matumizi mengine ya kujikimu.
Ilikuwa ni jambo la kawaida mtoto wa kigogo kukuta ana akiba ya pesa kuanzia Laki moja kwenda mbele huku tukiwa Boarding school na kila kitu nakula hapo hapo.
Hali ile nilijua inawapa sana motisha watoto wao kusoma na kutokata tamaa. Na wengi waliongoza kwa ufaulu darasani. Ikitokea mtoto wa kabwela amefaulu kuwazidi basi inakuwa kwa uchache sana.
Richa ya hayo yoote bado linapokuja swala la ajira watoto wa vigogo wenye utajiri na mitaji hatuoni wakijiajiri badala yake Wazazi wao wanapigana vikumbo kuhakikisha watoto wao wanapata nafasi za ajira serikalini.
Majaji, wabunge na mawaziri ndio hivyo hivyo.
Huku wakiwambia watoto wa kabwela kuwa kuajiriwa ni umaskini na kujiajiri ndio mpango mzima.
Je tunapigwa?
Amakweli, nyani haoni lake KUNDULE! Kwaiyo na wewe hiyo "Umezowea" ni kiswahili? Au umeandika kiarabu?Na huyo :Richa" ni mtoto wa "kigogo" pia?
Itakuwa hujawaona watoto wa Kinondoni, umezowea kuwaona wa kigogo wenzako tu.
Vipi wewe, wanakupiga hao watoto wa kigogo?
Kiswahili ni lugha mama kwangu, kumbuka hilo.Amakweli, nyani haoni lake KUNDULE! Kwaiyo na wewe hiyo "Umezowea" ni kiswahili? Au umeandika kiarabu?
Upate fursa ili uje uwatawale!!! Hv nani mjinga hivyo yaan nikupe nafasi kama aliyopewa JPM na wakina kikwete na Mkapa alafu uje uwatawale kindezi vile. Pambaneni na hali zenu shamba linawenyeweWakijiajiri itakuwa vizuri na sisi Makabwela tupate fursa
Aisee kumbe wanajuaNafasi wanazopiganiwa na baba zao serikalini ni zile za mishahara minono na ya upigaji pesa. Hizo kazi mtu kuongiza milion 10 kwa mwezi ni kawaida (salary plus wizi).
Sio hizo za halmashauri. Ndo tofauti iliopo
Hehehe yeye anatusakama sisi tuAmakweli, nyani haoni lake KUNDULE! Kwaiyo na wewe hiyo "Umezowea" ni kiswahili? Au umeandika kiarabu?
Hili nalo neno MkuuHata hivyo hakuna haja ya kulalamika maana bado jamii ya wajinga ni wengi Tanzania ambao hawaoni umuhimu wa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi. Maana katiba iliyopo inaendelea kuwapa wenye nchi fursa nzuri na watoto wa masikini wataendelea kuisoma namba.
HahahhMoja ya mikoa inayosumbuliwa sana na tatizo la R na L ni mkoa wa Mara.
Wanapiga Two in OneMkuu hawa wana jiajiri na bado wako kwenye hizo nafasi nyeti..
Kwa ufupi wanapiga zote zote kujiajir na kuajiriwa