MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Nchi nyingi za Africa bila kuwa karibu au ndani ya political power, utapata tabu. Uliza familia ya Dos Santos Angola watakwambia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa lakini haimaniishi pia DC hawana hela. Hela ipo believe me
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa !Nchi nyingi za Africa bila kuwa karibu au ndani ya political power, utapata tabu. Uliza familia ya Dos Santos Angola watakwambia
Unaweza kua smart lakini sio bright, ndio hiyo sasaKwanza nikiri watoto wa vigogo wengi wamesoma sana na wana bidii sana kwenye masomo.
Zamani niliaminishwa vijijini kwamba watoto wa matajiri hawapendi shule na kwamba huwa wanafeli.
Baada ya kusogea mbele ki elimu nikahama mkoa niliokuwa naishi huko vijijini nilikutana na ulimwengu wa tofautu kabisa.
Watoto wa vigogo yaani RC, DC, DAS, Ma generali wa jeshi, Wakurugenzi wa Tasis za serikali kama BOT, NSSF, PSSF, TPDC, TANESCo, bila kusahau watoto wa wenyeviti na makatibu wa ccm ngazi mbali mbali Taifa, mkoa na wilaya niligundua wako serious sana na masomo na ni vichwa sana.
Wanajituma kusoma na wana sapoti nzuri kutoka kwa wazazi wao ikiwemo pesa na matumizi mengine ya kujikimu.
Ilikuwa ni jambo la kawaida mtoto wa kigogo kukuta ana akiba ya pesa kuanzia Laki moja kwenda mbele huku tukiwa Boarding school na kila kitu nakula hapo hapo.
Hali ile nilijua inawapa sana motisha watoto wao kusoma na kutokata tamaa. Na wengi waliongoza kwa ufaulu darasani. Ikitokea mtoto wa kabwela amefaulu kuwazidi basi inakuwa kwa uchache sana.
Richa ya hayo yoote bado linapokuja swala la ajira watoto wa vigogo wenye utajiri na mitaji hatuoni wakijiajiri badala yake Wazazi wao wanapigana vikumbo kuhakikisha watoto wao wanapata nafasi za ajira serikalini.
Majaji, wabunge na mawaziri ndio hivyo hivyo.
Huku wakiwambia watoto wa kabwela kuwa kuajiriwa ni umaskini na kujiajiri ndio mpango mzima.
Je tunapigwa?
Okay kumbeUnaweza kua smart lakini sio bright, ndio hiyo sasa
Uko sahihi na hutoboiNchi nyingi za Africa bila kuwa karibu au ndani ya political power, utapata tabu. Uliza familia ya Dos Santos Angola watakwambia
Hao wote uliotaja ni viongozi wa ccm na Nchi hii na Utajiri wako hutoboi bila kuwa na direct link na ccm vinginevyo utapata tabu sana.Kuna vitu viwili unachanganya, kuna watoto wa vigogo serikalini na viongozi na watoto wa matajiri, watoto wa matajiri ni watoto wa wafanyabiashara, Bakhresa, Mengi, Rostam, Subash Patel, Dewji.
DC, Katibu Mkuu wa Chama tawala, watumishi wa Umma wenye vyeo, watofautishe na wafanyabiashara.
Kweli lakini aisee wanajua bwana.. Mungu amewajaliaWatajiajirije wakati wanajua kutumia zaidi kuliko kuzalisha?
Ushawahi kuona wapi mwizi akifanya jambo halali?Kwanza nikiri watoto wa vigogo wengi wamesoma sana na wana bidii sana kwenye masomo.
Zamani niliaminishwa vijijini kwamba watoto wa matajiri hawapendi shule na kwamba huwa wanafeli.
Baada ya kusogea mbele ki elimu nikahama mkoa niliokuwa naishi huko vijijini nilikutana na ulimwengu wa tofautu kabisa.
Watoto wa vigogo yaani RC, DC, DAS, Ma generali wa jeshi, Wakurugenzi wa Tasis za serikali kama BOT, NSSF, PSSF, TPDC, TANESCo, bila kusahau watoto wa wenyeviti na makatibu wa ccm ngazi mbali mbali Taifa, mkoa na wilaya niligundua wako serious sana na masomo na ni vichwa sana.
Wanajituma kusoma na wana sapoti nzuri kutoka kwa wazazi wao ikiwemo pesa na matumizi mengine ya kujikimu.
Ilikuwa ni jambo la kawaida mtoto wa kigogo kukuta ana akiba ya pesa kuanzia Laki moja kwenda mbele huku tukiwa Boarding school na kila kitu nakula hapo hapo.
Hali ile nilijua inawapa sana motisha watoto wao kusoma na kutokata tamaa. Na wengi waliongoza kwa ufaulu darasani. Ikitokea mtoto wa kabwela amefaulu kuwazidi basi inakuwa kwa uchache sana.
Richa ya hayo yoote bado linapokuja swala la ajira watoto wa vigogo wenye utajiri na mitaji hatuoni wakijiajiri badala yake Wazazi wao wanapigana vikumbo kuhakikisha watoto wao wanapata nafasi za ajira serikalini.
Majaji, wabunge na mawaziri ndio hivyo hivyo.
Huku wakiwambia watoto wa kabwela kuwa kuajiriwa ni umaskini na kujiajiri ndio mpango mzima.
Je tunapigwa?
Hahahaaaa......ndio ume wa Label hivyo?Ushawahi kuona wapi mwizi akifanya jambo halali?
Call a spade in the right tune🤣Hahahaaaa......ndio ume wa Label hivyo?
HeheheCall a spade in the right tune🤣
DC sio mtu wa kawaida, aliyefanya kazi at least miaka 2,3 sio mwenzakoUmaskini wetu ndio unatupeleka hivyo
Wewe unamchukukia DC poa?
Ndio namhangaa mtoa comment......DC kwa Bongo ni level nyingine kabisaDC sio mtu wa kawaida, aliyefanya kazi at least miaka 2,3 sio mwenzako
Hoja fikirishi....Kwanza nikiri watoto wa vigogo wengi wamesoma sana na wana bidii sana kwenye masomo.
Zamani niliaminishwa vijijini kwamba watoto wa matajiri hawapendi shule na kwamba huwa wanafeli.
Baada ya kusogea mbele ki elimu nikahama mkoa niliokuwa naishi huko vijijini nilikutana na ulimwengu wa tofautu kabisa.
Watoto wa vigogo yaani RC, DC, DAS, Ma generali wa jeshi, Wakurugenzi wa Tasis za serikali kama BOT, NSSF, PSSF, TPDC, TANESCo, bila kusahau watoto wa wenyeviti na makatibu wa ccm ngazi mbali mbali Taifa, mkoa na wilaya niligundua wako serious sana na masomo na ni vichwa sana.
Wanajituma kusoma na wana sapoti nzuri kutoka kwa wazazi wao ikiwemo pesa na matumizi mengine ya kujikimu.
Ilikuwa ni jambo la kawaida mtoto wa kigogo kukuta ana akiba ya pesa kuanzia Laki moja kwenda mbele huku tukiwa Boarding school na kila kitu nakula hapo hapo.
Hali ile nilijua inawapa sana motisha watoto wao kusoma na kutokata tamaa. Na wengi waliongoza kwa ufaulu darasani. Ikitokea mtoto wa kabwela amefaulu kuwazidi basi inakuwa kwa uchache sana.
Richa ya hayo yoote bado linapokuja swala la ajira watoto wa vigogo wenye utajiri na mitaji hatuoni wakijiajiri badala yake Wazazi wao wanapigana vikumbo kuhakikisha watoto wao wanapata nafasi za ajira serikalini.
Majaji, wabunge na mawaziri ndio hivyo hivyo.
Huku wakiwambia watoto wa kabwela kuwa kuajiriwa ni umaskini na kujiajiri ndio mpango mzima.
Je tunapigwa?
Huenda ndio siri ya mafanikio Yao.Hoja fikirishi....
Ila hatushangai. Enzi na enzi, watoto wa vigogo wana bahati kufa, vigogo toka enzi ni WABINAFSI, WALAFI, WEZI, MAFISADI, ROHO MBAYA NA KATILI...
Ni kweli, ila hilo tatizo lipo kwenye matamshi zaidi, sio kwenye maandishi.Moja ya mikoa inayosumbuliwa sana na tatizo la R na L ni mkoa wa Mara.
Ila watoto hawa wengi wao SI vichwa.Kwanza nikiri watoto wa vigogo wengi wamesoma sana na wana bidii sana kwenye masomo.
Zamani niliaminishwa vijijini kwamba watoto wa matajiri hawapendi shule na kwamba huwa wanafeli.
Baada ya kusogea mbele ki elimu nikahama mkoa niliokuwa naishi huko vijijini nilikutana na ulimwengu wa tofautu kabisa.
Watoto wa vigogo yaani RC, DC, DAS, Ma generali wa jeshi, Wakurugenzi wa Tasis za serikali kama BOT, NSSF, PSSF, TPDC, TANESCo, bila kusahau watoto wa wenyeviti na makatibu wa ccm ngazi mbali mbali Taifa, mkoa na wilaya niligundua wako serious sana na masomo na ni vichwa sana.
Wanajituma kusoma na wana sapoti nzuri kutoka kwa wazazi wao ikiwemo pesa na matumizi mengine ya kujikimu.
Ilikuwa ni jambo la kawaida mtoto wa kigogo kukuta ana akiba ya pesa kuanzia Laki moja kwenda mbele huku tukiwa Boarding school na kila kitu nakula hapo hapo.
Hali ile nilijua inawapa sana motisha watoto wao kusoma na kutokata tamaa. Na wengi waliongoza kwa ufaulu darasani. Ikitokea mtoto wa kabwela amefaulu kuwazidi basi inakuwa kwa uchache sana.
Richa ya hayo yoote bado linapokuja swala la ajira watoto wa vigogo wenye utajiri na mitaji hatuoni wakijiajiri badala yake Wazazi wao wanapigana vikumbo kuhakikisha watoto wao wanapata nafasi za ajira serikalini.
Majaji, wabunge na mawaziri ndio hivyo hivyo.
Huku wakiwambia watoto wa kabwela kuwa kuajiriwa ni umaskini na kujiajiri ndio mpango mzima.
Je tunapigwa?
Yani ,unavyoandika utafikiri fundi, kumbe uli sup MTH 106 STATISTICS MPAKA THIRD ATTEMPTKuwa na bidii ya masomo darasani na ku hustle in real life vitu viwili visivyohusiana moja kwa moja, kutegemeana na mazingira pia. If you conduct research on these variables and run reggression analysis there are some cases you won't find the best line of fit on scattered dots.