Vigogo na Watoto wa Vigogo wana mitaji lakini mbona hawajiajiri?

Vigogo na Watoto wa Vigogo wana mitaji lakini mbona hawajiajiri?

Kwanza nikiri watoto wa vigogo wengi wamesoma sana na wana bidii sana kwenye masomo.

Zamani niliaminishwa vijijini kwamba watoto wa matajiri hawapendi shule na kwamba huwa wanafeli.

Baada ya kusogea mbele ki elimu nikahama mkoa niliokuwa naishi huko vijijini nilikutana na ulimwengu wa tofautu kabisa.

Watoto wa vigogo yaani RC, DC, DAS, Ma generali wa jeshi, Wakurugenzi wa Tasis za serikali kama BOT, NSSF, PSSF, TPDC, TANESCo, bila kusahau watoto wa wenyeviti na makatibu wa ccm ngazi mbali mbali Taifa, mkoa na wilaya niligundua wako serious sana na masomo na ni vichwa sana.

Wanajituma kusoma na wana sapoti nzuri kutoka kwa wazazi wao ikiwemo pesa na matumizi mengine ya kujikimu.

Ilikuwa ni jambo la kawaida mtoto wa kigogo kukuta ana akiba ya pesa kuanzia Laki moja kwenda mbele huku tukiwa Boarding school na kila kitu nakula hapo hapo.

Hali ile nilijua inawapa sana motisha watoto wao kusoma na kutokata tamaa. Na wengi waliongoza kwa ufaulu darasani. Ikitokea mtoto wa kabwela amefaulu kuwazidi basi inakuwa kwa uchache sana.

Richa ya hayo yoote bado linapokuja swala la ajira watoto wa vigogo wenye utajiri na mitaji hatuoni wakijiajiri badala yake Wazazi wao wanapigana vikumbo kuhakikisha watoto wao wanapata nafasi za ajira serikalini.

Majaji, wabunge na mawaziri ndio hivyo hivyo.

Huku wakiwambia watoto wa kabwela kuwa kuajiriwa ni umaskini na kujiajiri ndio mpango mzima.

Je tunapigwa?
Wanaambiwa na wazazi wao kuna pesa za bure za umma ukimaliza uje uibe
 
Kuwa na bidii ya masomo darasani na ku hustle in real life vitu viwili visivyohusiana moja kwa moja, kutegemeana na mazingira pia. If you conduct research on these variables and run reggression analysis there are some cases you won't find the best line of fit on scattered dots.
Mkuu Masomo siyo real life? Real life ni life la namna gani mkuu?
 
Kwanza nikiri watoto wa vigogo wengi wamesoma sana na wana bidii sana kwenye masomo.

Zamani niliaminishwa vijijini kwamba watoto wa matajiri hawapendi shule na kwamba huwa wanafeli.

Baada ya kusogea mbele ki elimu nikahama mkoa niliokuwa naishi huko vijijini nilikutana na ulimwengu wa tofautu kabisa.

Watoto wa vigogo yaani RC, DC, DAS, Ma generali wa jeshi, Wakurugenzi wa Tasis za serikali kama BOT, NSSF, PSSF, TPDC, TANESCo, bila kusahau watoto wa wenyeviti na makatibu wa ccm ngazi mbali mbali Taifa, mkoa na wilaya niligundua wako serious sana na masomo na ni vichwa sana.

Wanajituma kusoma na wana sapoti nzuri kutoka kwa wazazi wao ikiwemo pesa na matumizi mengine ya kujikimu.

Ilikuwa ni jambo la kawaida mtoto wa kigogo kukuta ana akiba ya pesa kuanzia Laki moja kwenda mbele huku tukiwa Boarding school na kila kitu nakula hapo hapo.

Hali ile nilijua inawapa sana motisha watoto wao kusoma na kutokata tamaa. Na wengi waliongoza kwa ufaulu darasani. Ikitokea mtoto wa kabwela amefaulu kuwazidi basi inakuwa kwa uchache sana.

Richa ya hayo yoote bado linapokuja swala la ajira watoto wa vigogo wenye utajiri na mitaji hatuoni wakijiajiri badala yake Wazazi wao wanapigana vikumbo kuhakikisha watoto wao wanapata nafasi za ajira serikalini.

Majaji, wabunge na mawaziri ndio hivyo hivyo.

Huku wakiwambia watoto wa kabwela kuwa kuajiriwa ni umaskini na kujiajiri ndio mpango mzima.

Je tunapigwa?
Kujiajiri kunahitaji akili na sio kubebwa.Mtaji bila akili ni kazi sifuri
 
Kwanza nikiri watoto wa vigogo wengi wamesoma sana na wana bidii sana kwenye masomo.

Zamani niliaminishwa vijijini kwamba watoto wa matajiri hawapendi shule na kwamba huwa wanafeli.

Baada ya kusogea mbele ki elimu nikahama mkoa niliokuwa naishi huko vijijini nilikutana na ulimwengu wa tofautu kabisa.

Watoto wa vigogo yaani RC, DC, DAS, Ma generali wa jeshi, Wakurugenzi wa Tasis za serikali kama BOT, NSSF, PSSF, TPDC, TANESCo, bila kusahau watoto wa wenyeviti na makatibu wa ccm ngazi mbali mbali Taifa, mkoa na wilaya niligundua wako serious sana na masomo na ni vichwa sana.

Wanajituma kusoma na wana sapoti nzuri kutoka kwa wazazi wao ikiwemo pesa na matumizi mengine ya kujikimu.

Ilikuwa ni jambo la kawaida mtoto wa kigogo kukuta ana akiba ya pesa kuanzia Laki moja kwenda mbele huku tukiwa Boarding school na kila kitu nakula hapo hapo.

Hali ile nilijua inawapa sana motisha watoto wao kusoma na kutokata tamaa. Na wengi waliongoza kwa ufaulu darasani. Ikitokea mtoto wa kabwela amefaulu kuwazidi basi inakuwa kwa uchache sana.

Richa ya hayo yoote bado linapokuja swala la ajira watoto wa vigogo wenye utajiri na mitaji hatuoni wakijiajiri badala yake Wazazi wao wanapigana vikumbo kuhakikisha watoto wao wanapata nafasi za ajira serikalini.

Majaji, wabunge na mawaziri ndio hivyo hivyo.

Huku wakiwambia watoto wa kabwela kuwa kuajiriwa ni umaskini na kujiajiri ndio mpango mzima.

Je tunapigwa?
Kwenye kujiajiri kunatumika akili sana na stress ni nyingi sana na pia kwenye kujiajiri Uwezekano wa kupata hasara ni mkubwa sana !!
Na ni lazima ujibane sana kufanya matanuzi !!
Unaonaje hapo ?! Utachagua pande gani uende ??! 😅🙏🙏
 
Kwenye kujiajiri kunatumika akili sana na stress ni nyingi sana na pia kwenye kujiajiri Uwezekano wa kupata hasara ni mkubwa sana !!
Na ni lazima ujibane sana kufanya matanuzi !!
Unaonaje hapo ?! Utachagua pande gani uende ??! 😅🙏🙏
Wewe unausema ukweli ambao watu wengi hawausemi au hawaujui
 
Wanapambana wapate ajira seriaklini, wajenge connections, wapate experiences, ndio waje wajiajiri,
Yupo mtoto wa rais mstaafu, ni mbunge na waziri, na Ana kiwanda kikubwa cha vifaa vya ujenzi, Nondo, tiles nk,


Kujiajili sio swala rahisi kama kwenda kununua chips kuku, au kwenda kariakoo kununua simu ya tekno,
Na hapa nazungumzia biashara ya huduma na bidhaa, sio uchuuzi wa kufata mzigo china na kuja kuuza bongo, that is simple, kuna jamaa zangu tulifanya kazi, wote kipindi hicho,2002, Leo wengine wanakampuni za mambo ya engineering, solar, umeme, generators, car tracking,

Imewachukua miaka 10+kuweza kufikia hatua ya kufungua kampuni, kupata mtaji pesa,ujuzi na kazi za kufanya.
 
Wanapambana wapate ajira seriaklini, wajenge connections, wapate experiences, ndio waje wajiajiri,
Yupo mtoto wa rais mstaafu, ni mbunge na waziri, na Ana kiwanda kikubwa cha vifaa vya ujenzi, Nondo, tiles nk,
Kujiajili sio swala rahisi kama kwenda kununua chips kuku, au kwenda kariakoo kununua simu ya tekno,
Na hapa nazungumzia biashara ya huduma na bidhaa, sio uchuuzi wa kufata mzigo china na kuja kuuza bongo, that is simple, kuna jamaa zangu tulifanya kazi, wote kipindi hicho,2002, Leo wengine wanakampuni za mambo ya engineering, solar, umeme, generators, car tracking,
Imewachukua miaka 10+kuweza kufikia hatua ya kufungua kampuni, kupata mtaji pesa,ujuzi na kazi za kufanya.
Kama kusingekuwa na selfishness watanzania wengi wangeweza kufanya hayo Kwa msaada wa serikali na kutoa ajira Kwa watu wengi, tatizo ni hawa hawa na vizazi vyao wanaogopa competition wanataka wao pekee waishi kifalme wengine wote wawe watwana...Ila nature ilivyo hii ni short lived, lazima kutatokea revolution
 
DC nae ni Tajiri??
Au Mwenyekiti wa Ccm Lindi nae tumuite Tajiri?..

Sometimes umasikini wetu hufanya yeyote Yule mwenye nafuu tumuombe Tajiri na kigogo...kumbe wao tofauti na wewe wala sio kubwa ..
Hakuna DC's wanaaopiga dili za magendo kama wa mipakani.Mimi nimewahi kuishi Tarime njia ya Sirari,wakubwa wanakula maisha Mkuu,rushwa nje nje.
Muulize RC Hapi kama ni rafiki yako atakuambia.

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza nikiri watoto wa vigogo wengi wamesoma sana na wana bidii sana kwenye masomo.

Zamani niliaminishwa vijijini kwamba watoto wa matajiri hawapendi shule na kwamba huwa wanafeli.

Baada ya kusogea mbele ki elimu nikahama mkoa niliokuwa naishi huko vijijini nilikutana na ulimwengu wa tofautu kabisa.

Watoto wa vigogo yaani RC, DC, DAS, Ma generali wa jeshi, Wakurugenzi wa Tasis za serikali kama BOT, NSSF, PSSF, TPDC, TANESCo, bila kusahau watoto wa wenyeviti na makatibu wa ccm ngazi mbali mbali Taifa, mkoa na wilaya niligundua wako serious sana na masomo na ni vichwa sana.

Wanajituma kusoma na wana sapoti nzuri kutoka kwa wazazi wao ikiwemo pesa na matumizi mengine ya kujikimu.

Ilikuwa ni jambo la kawaida mtoto wa kigogo kukuta ana akiba ya pesa kuanzia Laki moja kwenda mbele huku tukiwa Boarding school na kila kitu nakula hapo hapo.

Hali ile nilijua inawapa sana motisha watoto wao kusoma na kutokata tamaa. Na wengi waliongoza kwa ufaulu darasani. Ikitokea mtoto wa kabwela amefaulu kuwazidi basi inakuwa kwa uchache sana.

Richa ya hayo yoote bado linapokuja swala la ajira watoto wa vigogo wenye utajiri na mitaji hatuoni wakijiajiri badala yake Wazazi wao wanapigana vikumbo kuhakikisha watoto wao wanapata nafasi za ajira serikalini.

Majaji, wabunge na mawaziri ndio hivyo hivyo.

Huku wakiwambia watoto wa kabwela kuwa kuajiriwa ni umaskini na kujiajiri ndio mpango mzima.

Je tunapigwa?
Kuna vitu viwili unachanganya, kuna watoto wa vigogo serikalini na viongozi na watoto wa matajiri, watoto wa matajiri ni watoto wa wafanyabiashara, Bakhresa, Mengi, Rostam, Subash Patel, Dewji.

DC, Katibu Mkuu wa Chama tawala, watumishi wa Umma wenye vyeo, watofautishe na wafanyabiashara.
 
Back
Top Bottom