Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Kama upo fit ya nini upime.. kujipa presha tuuππππKabisa chuo uhuru na baada ya hapo kazini, nilishajua ninao nikaishi kwa wasiwasi sanaa.
Nimekuja kupima, siku hiyo nikasema liwalo na liwe..nikakuta Negative.
Mfumo wa maisha umebadilika sana, namshukuru Mungu.
Ugonjwa wenywe umekah pabaya snaHaya mambo ya ngwengwe haya yaacheni tu kama yalivyo maana tutakoseshana hamu ya mambo yalee
Hawakujijua kivipi wakati walienda si walipimwa,ina maana wameambukizana huko jkt,wanataka kutuaminisha jkt sio mahal salama pa kupeleka watoto wetu,Kwan huko jkt wanajiachia mnoSahihi hawakujijua.
Na vile mujibu wa sheria ni wanachuo watarajiwa.. hao wote wanaenda chuo na vvu wanaendelea kusambaza.
Hkuna bhna msiwazingizie wazazi bure Ni kwamba vijana Ni wachakata mbususa kwa kwenda mbele ukimwi siku hz hauogopwiWengi wameambukizwa na mama zao , kipindi hicho hakukuwa na elimu ya kumkinga mtoto kabla haja zaliwa kwa waathirika
UtaachikaAisee habari za kuambiwa saivi "utakulaje ndizi na ganda lake" sihitaji kuzisikia,,kuanzia leo condom ni rafiki yangu wa dhati tena dhati mnoo.
Yaaah huo ndo ukweli.. maana hao walioenda ni wale wa kujitolea.Hawakujijua kivipi wakati walienda si walipimwa,ina maana wameambukizana huko jkt,wanataka kutuaminisha jkt sio mahal salama pa kupeleka watoto wetu,Kwan huko jkt wanajiachia mno
Wateketezwe vipi ?Kwa nin wasiteketezwe kuliko kurudishwa mtaani...kama wale vifaranga wa Kenya?
Ukimwi ni wewe tu uwe tayari kumeza dozi unaishi, unadamsha, unapendeza, unasonga kama kawa
Kweli kabisa
Kufikia mwaka 2040 kila mtanzania atakuwa na VVU, kama watu wasipoanza kujijali.
Wengi ni wagonjwa lakini hawajitambui, hawa ndio hatari zaidi.
Hilo nalo neno. Kutokana na dawa za kupunguza makali ya ukimwi zinatolewa bure.Hkuna bhna msiwazingizie wazazi bure Ni kwamba vijana Ni wachakata mbususa kwa kwenda mbele ukimwi siku hz hauogopwi
Umekubali kwa fact ipi..?Kweli kabisa
Whatever a means!Wateketezwe vipi ?
Tukapime [emoji1]Haya mambo ya ngwengwe haya yaacheni tu kama yalivyo maana tutakoseshana hamu ya mambo yalee
Naona leo ustaarabu umeuweka pembeni [emoji1]Taahira ni wewe unaye comment bila kusoma link
Acha uvivu na upuuzi wewe