The king mswati
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 787
- 825
It is very difficulty to teach a rubbish mind like that of you, Ingekuw siyo kazi ya Mbunge kuleta maendeleo jimboni kwann pesa za mfuko wa jimbo wapewe wao sijui milion 200 had 400 wanaziweka tu mifukon mwao wananch wanaendelea na xhida zao za kijamii kila kukichaWewe mwenyewe tayari ni mjinga kwani hujui kuwa kwa wazungu alienda baada nyinyi kumpiga risasi bili upumbavu wenu Lisu mda huu angekuwa anagombea kutetea ubunge wake, mbunge hafanyi maendeleo kwani kazini ya mbuge ni kufikisha kero Bungeni na Lisu alizifikisha zote vyema, kazi ya kutekeleza maendeleo ni ya meya halimashauri kwa kushirikiana na baraza la madiwani na huko ndipo CCM huwahujumu wabunge wa upinzani kisha kuja na kauli za kipumbavu kuwa hawajaleta maendeleo wakati wanahujumiwa na ccm kwa makusudi