Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati

Duh sijaelewa
Nilivyoelewa;
1. Mali za wizi-mali zinaibiwa eneo moja kuja kuuzwa Kariakoo and verse versa
2. Dhuruma-kutokana na mali kauli au vinginevyo

MATOKEO YAKE
urejeshaji wa visasi na kukomoana kwa mitindo mbalimbali ikiwa ni pamoja na utekaji hatimaye kudhurumu uhai wa wahusika, kwa kifupi sheria mkononi ndicho kitu kinafanywa kwa asilimia kubwa!!
 
wapinzani bongo miyeyusho sana,wanafanya sometimes tunaona bora hawa majini wetu waliomadarakani..
nilishangaa sana kuona zile kelele nyingi vile nikasema hawa jamaa wanawafahm vizuri hawa watu wanaowapigia kelele wapatikane
 
Hapo ulonzi
 
Au wivu mtaani
 
Mambo
 
Mkuu hapo hapo low profile elezea kidogo inakuaje kuaje km una experience ya mmoja wapo aliefanya hivyo yaan alikomba mamillion ya tajiri akakimbia akakaa low profile na mpaka leo hajakamatwa?
Ww jamaaaa hahahaha



Mimi ni mmoja wao nimekimbilia lindi nachingwea nikajenga nyumba ya wastani na kuoa na ninaigiza mm n masikini kama wao mwaka wa Saba sasa
 
Tupo story mambo yako yalikuwa nn
 
Vijana hao watano walikua na wanajihusisha na nini Mkuu mpaka yakawakuta hayo maswaibu ya kupotezwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…