Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati

Home shopping center wamesilimu sasa wanajiita ocean nini sijui na chawa wao Mwijaku.
 
Nimekuelewa kijana, uliza maswali tani yako.
Ila nikushauri, usiwe na id's nyingi wewe ni wewe ishi kama wewe.
 
Vyama pinzani hasa hao chadema nao ni wachumia tumbo tu, wanasubiri kitu kitokee wakishupalie ati nchi haiko salama na blah blah za namna hiyo.
 
Vishu tuheshimiane hii id una uhakika ni yake?? Kwahiyo wewe mtu akikutag sehemu basi id yake??
Emu acha hizo, mgombane wenyewe na huyo mtu wako msiniingize please
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jf ina mambo, just few minutes after jamaa kula ban ndo unakuja kuniattack.

Muulize aliekutag mnajuani vipi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚, sikutegemea hili we chalii miyeyusho sana aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…