Vijana Kariakoo wanapotea sana, Serikali iingilie kati

Nachelea kusema ni watu wa Kariakoo kwa maana kwamba wezi wa magari mazima mazima huwa hawaji-specify kutokana na maeneo wanakotoka wengi huwa ni madalali yaani anakuuzia gari Dar then anauza ramani kwa wezi wanakuibia kisha wanaenda kuiuza tena Sumbawanga.

Watu huwa wanasema kwa kuhisi (wakati fulani makonda akiwa mkuu wa mkoa hapa Dar) akawa anasema kwamba eti watu wananunua magari ya wizi wanayakata wanauza spare,mfano IST show room currently price ipo juu ya 10+mill so tu-assume mwizi atataka umpe 7mil na wewe uikate kate kibiashara haitakulipa labda uinunue 3mill na hakuna mwizi atakuuzia bei hiyo wakati wapo wakumpa hela nzuri so magari yanayoibiwa tunapishana nayo humu mjini au yapo mikoani huko ila kusema yameuzwa Kariakoo au popote pale ili yakatwe vitu viuzwe kama spare used ni uwongo.
 
Mkuu wala usiogope Wewe funguka tu hakuna ataekwambia umevujisha
Hapana naona kama kuna taarifa unakusanya maana kuna mambo mengine hata kwa hali ya kibinaadamu tu wewe mwenyewe uwezi vumilia.

Mfano watu wanapokamata mwizi mtaani huwa wanamfanya nini...

Haijalishi karudisha hiko kitu au laa ila adhabu/ kipigo pale pale
.

Hivo mambo mengine ni wewe kufikilia tu kama watu juu huko walivyo comment
 
Ndivyo ilivyo. Askari wanajua issue nyingi, ukipewa onyo ukakaidi utapata tamu yako.
 
Una maswali ya kijinga sana,yaani mtu America,uanze kufuatilia na pesa alizoiba kapeleka wapi?
Pesa si kila mtu ana matumizi yake?
Rejea maswali uliyokua unauliza juu,yaani ya kipumbavupumbavu,au we ni litoto liningalijinga?
Unaboa sana.
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Mkuu mvumilie tu huku tupo watu tofauti tofauti
 
Kama inakuja inakata, kuna dogo kijijini kwetu alikuja huko Dsm nahisi kuuza hiyo mizigo ya matajiri, mwaka mmoja akarudi home na ukwasi, akajenga nyumba chap ndani ya week akaezeka. Week ya tatu akaanza kuumwa na kufa haraka haraka.

Tukazika tukasahau
 
Huyo Lethergo sijui hiyo miaka 35+ kakaa dar ipi..
Ana maswali ambayo hata mtu ambae haijui dar kabisa hawezi uliza ..
Mkuu tulia kuna namna ya kuuliza maswali ili upewe full story sio nyinyi mnauliza maswali mnamix na matusi au hujaona Jamaa ananielewa na ananisimulia A to Z au hamtaki nijue nyie Jamaa ni watu wa ajabu sana, kila mtu ana namna yake ya kuuliza maswali sio lazima tufanane hujapenda namna yangu ya kuuliza maswali acha kusoma ninachokiandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…