Vijana kufanya maandamano kumuunga mkono Rais Samia kuelekea 2025

Vijana kufanya maandamano kumuunga mkono Rais Samia kuelekea 2025

nokwenumuya

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2019
Posts
820
Reaction score
2,896
Vijana wanne kwa kila wilaya wameandaliwa kufanya maandamano Mkoani Dodoma baada ya mkutano mkuu wa uchaguzi wa UVCCM.

Maandamano hayo yatakuwa ya kuonyesha vijana wanamuunga mkono Mama Samia awe mgombea pekee wa CCM Mwaka 2025.

Pia vijana hao watatoa tamko kali sana kwa wanaompinga Mama Samia kama kina Dr. Bashiru n.k.

Hivyo nimewapa taarifa mapema mnunue popcorn kusubiri hiyo movie hapo tarehe 28 November 2022.

Kazi Iendelee.

Pi
 
Vijana wanne kwa kila wilaya wameandaliwa kufanya maandamano Mkoani Dodoma baada ya mkutano mkuu wa uchaguzi wa UVCCM.

Maandamano hayo yatakuwa ya kuonyesha vijana wanamuunga mkono Mama Samia awe mgombea pekee wa CCM Mwaka 2025.

Pia vijana hao watatoa tamko kali sana kwa wanaompinga Mama Samia kama kina Dr. Bashiru n.k.

Hivyo nimewapa taarifa mapema mnunue popcorn kusubiri hiyo movie hapo tarehe 28 November 2022.

Kazi Iendelee.

Pi
Hahahahaha?najuta kuzaliwa inch hii
 
Vijana wanne kwa kila wilaya wameandaliwa kufanya maandamano Mkoani Dodoma baada ya mkutano mkuu wa uchaguzi wa UVCCM.

Maandamano hayo yatakuwa ya kuonyesha vijana wanamuunga mkono Mama Samia awe mgombea pekee wa CCM Mwaka 2025.

Pia vijana hao watatoa tamko kali sana kwa wanaompinga Mama Samia kama kina Dr. Bashiru n.k.

Hivyo nimewapa taarifa mapema mnunue popcorn kusubiri hiyo movie hapo tarehe 28 November 2022.

Kazi Iendelee.

Pi
Haya maigizo yamefikia mwisho wake,wayaandae maandamano ,waandae na medias,mapicha kibao,headelines kwenye magazeti yote lakini cha mtema kuni wanacho
 
Haya mambo yanafaa sana kwa nchi za kikomunist..nashauri katiba mpya itambua nchi yetu kuwa niya kikomunist na chama kiwe kimoja tu.

Tofauti na hapo yanayoendelea hapa nchini ni ujinga na upuuzi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Nchi ikishakuwa na watu wengi wajinga, wasiokuwa na ubunifu wowote na hasa vijana basi mambo kama ya Uchawa na kutotaka kusikiliza mawazo mbadala ni kawaida sana!
Ukweli ni kwamba hatuwezi kuwa na mtazamo mmoja katika kila jambo!
CCM inaelekea kuzalisha mazuzu mengi sana huko mbeleni!
Mama ajiepushe na njia hizi za uchawa watu hawazipendi asiposikiliza sauti hizi atanyolewa na wembe uleule uliomnyoa hayati ; ccm siku zote ni genge la wanafiki na uislamu wa mama hautaki hizo mambo!
 
Vijana wanne kwa kila wilaya wameandaliwa kufanya maandamano Mkoani Dodoma baada ya mkutano mkuu wa uchaguzi wa UVCCM.

Maandamano hayo yatakuwa ya kuonyesha vijana wanamuunga mkono Mama Samia awe mgombea pekee wa CCM Mwaka 2025.

Pia vijana hao watatoa tamko kali sana kwa wanaompinga Mama Samia kama kina Dr. Bashiru

Kazi Iendelee.

Pi
Nawaunga mkono, ila Dr. Bashiru hajampinga Mama, bali amekosoa mambo ya uchawa wa kuupiga mwingi.

Kuhusu 2025 wengi tunaunga mkono Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Ila pia angalizo kama hili, Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! lisipuuzwe!.
P
 
Back
Top Bottom