nokwenumuya
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 820
- 2,896
Vijana wanne kwa kila wilaya wameandaliwa kufanya maandamano Mkoani Dodoma baada ya mkutano mkuu wa uchaguzi wa UVCCM.
Maandamano hayo yatakuwa ya kuonyesha vijana wanamuunga mkono Mama Samia awe mgombea pekee wa CCM Mwaka 2025.
Pia vijana hao watatoa tamko kali sana kwa wanaompinga Mama Samia kama kina Dr. Bashiru n.k.
Hivyo nimewapa taarifa mapema mnunue popcorn kusubiri hiyo movie hapo tarehe 28 November 2022.
Kazi Iendelee.
Pi
Maandamano hayo yatakuwa ya kuonyesha vijana wanamuunga mkono Mama Samia awe mgombea pekee wa CCM Mwaka 2025.
Pia vijana hao watatoa tamko kali sana kwa wanaompinga Mama Samia kama kina Dr. Bashiru n.k.
Hivyo nimewapa taarifa mapema mnunue popcorn kusubiri hiyo movie hapo tarehe 28 November 2022.
Kazi Iendelee.
Pi