Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Wewe bora Mungu akupende maana hujui unasimamia nini yani umevuka Kwenye uchawa
Nawaunga mkono,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawaunga mkono,
Duh...!, Mkuu Takoiko Namkero, kuniita chawa ni kama kunitukana!.Wewe bora Mungu akupende maana hujui unasimamia nini yani umevuka Kwenye uchawa
Tathmini mabandiko yako kwenye social media jumlisha na heshima tunayokupa kisha jitathmini unatosha? Mkuu Pascal Mayalla unajidhuru mwenyewe.Duh...!, Mkuu Takoiko Namkero, kuniita chawa ni kama kunitukana!.
Hata hivyo asante!.
P
Notted!.Tathmini mabandiko yako kwenye social media jumlisha na heshima tunayokupa kisha jitathmini unatosha? Mkuu Pascal Mayalla unajidhuru mwenyewe.
Wa Lissu hawataruhusiwa. Mind me.Waandamanaji wa kumuunga mkono mama wakikubaliwa na polisi bàsi na wakumuunga Lissu wakubaliwe pia.
Sema hivyo huku unamtag John The Pubtist johnthebaptist kwan hili unalionaje?Hata mi namuunga mkono mama kwani maji tunayo tele pia umeme haujawahi kukatika toka aingie madarakani. "Anaupiga mwingi"
Kuna mmoja aliandaa manabii mia ine na wachawi 300 ....!Vijana wanne kwa kila wilaya wameandaliwa kufanya maandamano Mkoani Dodoma baada ya mkutano mkuu wa uchaguzi wa UVCCM.
Maandamano hayo yatakuwa ya kuonyesha vijana wanamuunga mkono Mama Samia awe mgombea pekee wa CCM Mwaka 2025.
Pia vijana hao watatoa tamko kali sana kwa wanaompinga Mama Samia kama kina Dr. Bashiru n.k.
Hivyo nimewapa taarifa mapema mnunue popcorn kusubiri hiyo movie hapo tarehe 28 November 2022.
Kazi Iendelee.
Pi
Wana njaa hatariCCM ina vijana wa ovyo sana
Vijana wanne kwa kila wilaya wameandaliwa kufanya maandamano Mkoani Dodoma baada ya mkutano mkuu wa uchaguzi wa UVCCM.
Maandamano hayo yatakuwa ya kuonyesha vijana wanamuunga mkono Mama Samia awe mgombea pekee wa CCM Mwaka 2025.
Pia vijana hao watatoa tamko kali sana kwa wanaompinga Mama Samia kama kina Dr. Bashiru n.k.
Hivyo nimewapa taarifa mapema mnunue popcorn kusubiri hiyo movie hapo tarehe 28 November 2022.
Kazi Iendelee.
Pi
Yakifanyika ya kumpinga msilalamike lakini.
Tuwe na moyo huo huo wa kuvumiliana.
Nawaunga mkono, ila Dr. Bashiru hajampinga Mama, bali amekosoa mambo ya uchawa wa kuupiga mwingi.
Kuhusu 2025 wengi tunaunga mkono Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
Ila pia angalizo kama hili, Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye! lisipuuzwe!.
P
Kweli kabisaWanakera sana hawa.Itafika mahali wananchi tutatumia nguvu kuwashughulikia hawa maana wanarudisha nyuma maendeleo.kila kitu kimeharibiwa kakini wao kila kitu wanasifu
Kuna mmoja aliandaa manabii mia ine na wachawi 300 ....!