nokwenumuya
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 820
- 2,896
Hahahahaha?najuta kuzaliwa inch hiiVijana wanne kwa kila wilaya wameandaliwa kufanya maandamano Mkoani Dodoma baada ya mkutano mkuu wa uchaguzi wa UVCCM.
Maandamano hayo yatakuwa ya kuonyesha vijana wanamuunga mkono Mama Samia awe mgombea pekee wa CCM Mwaka 2025.
Pia vijana hao watatoa tamko kali sana kwa wanaompinga Mama Samia kama kina Dr. Bashiru n.k.
Hivyo nimewapa taarifa mapema mnunue popcorn kusubiri hiyo movie hapo tarehe 28 November 2022.
Kazi Iendelee.
Pi
Pole sanaHahahahaha?najuta kuzaliwa inch hii
Mbombo ngafuKwa ccm yasasa inaweza
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hamia RwandaHahahahaha?najuta kuzaliwa inch hii
Haya maigizo yamefikia mwisho wake,wayaandae maandamano ,waandae na medias,mapicha kibao,headelines kwenye magazeti yote lakini cha mtema kuni wanachoVijana wanne kwa kila wilaya wameandaliwa kufanya maandamano Mkoani Dodoma baada ya mkutano mkuu wa uchaguzi wa UVCCM.
Maandamano hayo yatakuwa ya kuonyesha vijana wanamuunga mkono Mama Samia awe mgombea pekee wa CCM Mwaka 2025.
Pia vijana hao watatoa tamko kali sana kwa wanaompinga Mama Samia kama kina Dr. Bashiru n.k.
Hivyo nimewapa taarifa mapema mnunue popcorn kusubiri hiyo movie hapo tarehe 28 November 2022.
Kazi Iendelee.
Pi
Aisee. Mbona kama unaunga kinafiki?Hata mi namuunga mkono mama kwani maji tunayo tele pia umeme haujawahi kukatika toka aingie madarakani. "Anaupiga mwingi"
Mtapigwa hadi mchakaeYakifanyika ya kumpinga msilalamike lakini.
Tuwe na moyo huo huo wa kuvumiliana.
Mama ajiepushe na njia hizi za uchawa watu hawazipendi asiposikiliza sauti hizi atanyolewa na wembe uleule uliomnyoa hayati ; ccm siku zote ni genge la wanafiki na uislamu wa mama hautaki hizo mambo!Nchi ikishakuwa na watu wengi wajinga, wasiokuwa na ubunifu wowote na hasa vijana basi mambo kama ya Uchawa na kutotaka kusikiliza mawazo mbadala ni kawaida sana!
Ukweli ni kwamba hatuwezi kuwa na mtazamo mmoja katika kila jambo!
CCM inaelekea kuzalisha mazuzu mengi sana huko mbeleni!
Nawaunga mkono, ila Dr. Bashiru hajampinga Mama, bali amekosoa mambo ya uchawa wa kuupiga mwingi.Vijana wanne kwa kila wilaya wameandaliwa kufanya maandamano Mkoani Dodoma baada ya mkutano mkuu wa uchaguzi wa UVCCM.
Maandamano hayo yatakuwa ya kuonyesha vijana wanamuunga mkono Mama Samia awe mgombea pekee wa CCM Mwaka 2025.
Pia vijana hao watatoa tamko kali sana kwa wanaompinga Mama Samia kama kina Dr. Bashiru
Kazi Iendelee.
Pi
Hahaha ThubutuYakifanyika ya kumpinga msilalamike lakini.
Tuwe na moyo huo huo wa kuvumiliana.