Vijana kuweni makini na UTI Sugu

Vijana kuweni makini na UTI Sugu

KUSAIDIA MNGEKUJA NA SOLN TUPEANEDAWA ZA HAYA MAGONJWA ZOTE TUSITESE MANESIII
 
Kama umeiwahi kunywa maji..vitunguu saumu punje7 daily mwezi mzima..unywe na maziwa yaliofhanganywanna hubert soda..robo kijiko..adb
nipe mrejesho
 
CHUKUA MKOJO WAKO WA ASBH EKA CHUMVI YA MABONGE...JIFUTE NAYO KAMA N UTI YA MARADHI MACHFU SEMA KAMA UMETUMWA KUNITENDA URUDI ULIPOTOKA JIPAKE MKOJO NUSU SAA UKAUKE. 1X1 KWA SIKU SABA....SIO KILA UTI N GONJWA MENGINE MAPEPO UNATUPIWA..
 
Jilindee zoea kula punjeza vtunguusaumu 5 mpk7..ukiweza ama una uwezo ..chukua nusu kg tnuguusaumu..nusu kg tangawizi weka na nusu ltr asali .saga zote kunywa vijiko 3 kwa siku unaweza mx na chai
...kavu ailipi acheni
 k
 
HAYA MAGONJWAAA HOSP BALAA

UTI..DK NJION HUKU..M

FUNGUS(NGONO/USAFI/MAPENZI)

HOMA YA MAINI


FIGO(ULEVI)


UHIV(NGONO
KUTOPATA USINGIZI USIKU

MUNGU TUSAIDIE....
 
Jizoeeshe kunywa juice ya alovera tengeneza mwenyewe...
mwezi mara nne inasaidia kuondokana na magonjwa yanayotumiaaa pesa nyingi .m nimepanda kamaa mchichaa nannauzia wazee majiran wakitaka kiasi
 
Utaratibu wa kufanya ngono bila udhibiti usipokuwepo, nature inaingilia inaweka udhibiti.

Ni vile tuna ujuaji na ubishi mwingi ila Ukizaliwa ukakuta unaambiwa usifanye ngono kinyume na maumbile, usifanye ngono bila utaratibu ujue waliozaliwa kabla yako kuna sababu iliwafanya wakawa na hayo makatazo.

Weka huo utaratibu wa kufanya ngono ukiachilia mbali suala la kukua mitaro.
 
Sasa ndio nini ulichoandika,
Mimi mwenyewe nimevurugwa na hawa.
Screenshot_20230203-072323.jpg


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom