Vijana kuweni makini na UTI Sugu

Vijana kuweni makini na UTI Sugu

Watu bongo zimesizi,, hawajiulizi hata watoto wa miaka 3 wanaumwa hiyo UTI sasa sijui wanakuwa wamedinywa na nani
Mtoto si anaipata kutokana na kuvalishwa nepi kwa muda mrefu kiasi kwamba zinachanganyika choo kidogo na kikubwa na kutengeneza bacteria wakali sana wanaomletea UTI mtoto.

Yaani kwa kifupi UTI is both an STD lakini pia kwa wanawake na watoto wadogo especially wa kike ni rahisi kutengeneza infection na kusababisha UTI kwa wanaume ni rare sana unless mwanaume awe na mchafuko wa damu au matatizo ya kibofu.

Nje ya hapo mwanamke anaweza muambukiza mwanamke UTI vizuri tu. Sasa unanibishia jambo ambalo nakutana nalo almost hata mara tatu kwa mwaka.
 
UTI is not sexually transmitted, but unsafe sex can jump start the infections.
Unaposema kitu sio Sexually transmissible halafu watu wanakipata wakilala na wanawake tena sio mara moja ni mara kadhaa. Unakuwa na maana gani?!

Hawa madaktari ni wakuwa nao makini sana. Mwisho wa siku watakuja kutuambia ukimwi unatibika kwa Aspirin.
 
But it can be influenced by...
Kuna kimsemo huwa Kinatumika sana na Madaktari sana sana Wabobezi (Epidemiologist&biostatistics) UTI in Male is UNCOMMON so find the sources.

Yaani ukikuta mwanaume ana UTI you have kufikiria upande wa pili.

Kwa sababu kwa mwanamke akiwa Ana UTI mara nyingi ni E.Coli ila mwanaume mara nyingi ni Nesseria Sps. Na kina Chlamidia sps.

So Dr I preffer to say that UTI in male is an STD.
Excellent. Umeongea vema sana.
 
Daktari wangu ndivyo alivyoniambia. Ukisoma mtandaoni science journals na hizo biological reports inasema wazi UTI is not an STD...but performing unsafe sex can be one way of getting infected.
Sasa hapo unakuwa umejipiga risasi mwenyewe. Yaani unaongea kitu then unakikana. Sasa unasema UTI sio STD ila ukifanya unasafe sex unaipata sasa umeipataje kama sio kupitia sex transmission?!
 
WATANZANIA, UTI HAIAMBUKIZWI KWA KUDINYANA. SOMENI BASI ATA KIDOGO.
Acha kupotosha watu wewe. Sema kwamba UTI HAIAMBUKIZWI kwa ngono pekee, ina ambukizwa kwa njia nyingine pia. Ila usiseme ngono haiambukizi UTI. Huo ni upotoshaji. Watu wanapata UTI, ukiwa uliza wanakuambia kuwa walifanya ngono zembe.
 
Huu ujinga mnaolishana utawauwa .
Now mimi kwenye social medias nimeacha hata kutoa utaalamu wa kitu halisia maana Tanzania hata mwalimu , askari , mganga wa kienyeji na mpambanaji wa mtaani ni daktari .

Ndugu zangu mambo ya afya hayaitaji siasa wala ujuaji wa kupeana mtaani mtakufa muishe .
Kwani hamna hizo chanjo kiongozi ?..
 
UTI inaambukizwa kwa njia ya ngono . Nimeugua UTI kipindi nimechakata mbususu kadhaa . Baada ya hapo nimekuepo ni muoga kuchakata mbususu ovyo ovyo
Hawa sijui wanatuchuliaje. Yaani mtu anajua kabisa sumu inauwa anasema sumu sio miongoni mwa visababishi vya kifo. Hizi ni akili au matope.

Watu tunapata UTI kabisa tukilala na sampuli fulani za mademu. Halafu mtu anakwambia haiambukizwi kwa njia ya ngono hivi akili za wapi?!
 
Mtoto si anaipata kutokana na kuvalishwa nepi kwa muda mrefu kiasi kwamba zinachanganyika choo kidogo na kikubwa na kutengeneza bacteria wakali sana wanaomletea UTI mtoto.

Yaani kwa kifupi UTI is both an STD lakini pia kwa wanawake na watoto wadogo especially wa kike ni rahisi kutengeneza infection na kusababisha UTI kwa wanaume ni rare sana unless mwanaume awe na mchafuko wa damu au matatizo ya kibofu.

Nje ya hapo mwanamke anaweza muambukiza mwanamke UTI vizuri tu. Sasa unanibishia jambo ambalo nakutana nalo almost hata mara tatu kwa mwaka.
Sio kwa kudinywa nakataa
 
Ni kweli UTI ni ugonjwa hatari unashambulia maeneo matatu njia ya mkojo, kibofu na figo. Kila eneo lina aina mahususi ya bakteria wanaoleta athari.

Hatari huwa kubwa zaidi wakishambulia kibofu au figo, njia za kupata UTI ni nyingi mfano kuingia kwa haja kubwa kwenye njia ya mkojo hasa wanawake wakati wa kujifuta baada ya haja (inashauriwa anzia mbele kurudi nyuma) na watoto wanaovalishwa diaper mnaita pampas, wanaojamiana kwenye njia ya haja kubwa pia matumizi ya vifaa vya kuzuia mimba, matumizi ya muda mrefu ya antibiotic, kutokunywa maji kwa wingi, ukomo wa hedhi, matumizi ya catheter, kutokumalizika kwa mkojo baada ya kukojoa inawezekana kwa sababu ya tezi dume au mawe kwenye figo, kuwa na kisukari, matumizi ya vyoo vichafu nk. So umakini uanzie hapa.
Pia jitahidi sana kukojoa mara tu baada kumaliza kujamiana... kunywa maji mengi. Usitumie mate kama kilainishi wakati wa tendo... unahamisha bacteria na kuibua maambukizi.
UTI imekaa kila eneo inasabahi wadau tyuuh. Ukijichanganyaa imooooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kiujumla haiambukizwi kwa ngono. Labda hao mnaosema wanaumwa magonjwa mengine ya STD na siyo UTI. Dar kuna mtindo umeingia siku hizi wa kufanya ngono kinyume na maumbile. Ni hatari sana.
Duuuh bas hatariiii kwa kwelii, tulinde Afya zetu.
 
Naona watu siku hizi mnaumwa magonjwa ya zinaa mnaambiana UTI sugu...acheni michezo michafu ya hatari...zinaa inaua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hata homa ya ini inaambukiza kupitia mgusano wa Ngozi.
NAPAMBANA NA NDUGUYANGU MWANANYAMALA HUU UGONJWA KAWAHOI NDUGU WAKAANZA KALOGWS TUKAJITOA UFAHAMU NA NDUGU.MMOJA TUKABEBA MWANYAMALA KAKUTWS NA HIMA YA....SIDANDANOI
DRPU KMA ZOTE
 
Back
Top Bottom