Vijana kuweni makini na UTI Sugu

Vijana kuweni makini na UTI Sugu

Jidanganye mwenyewe
Unautaalam hata kidogo wa mambo communicable disease?
Nitajidanganyaje? Urinary tract, vaginal canal, matundu tofauti hayo boss. Naelewa nachoandika. UTI ni tofauti na STI. Sijataka kuandika kitaalam sana tutakimbiana.

Nimefanya epidemiology na nimeandika papers kijana. Watanzania kila mtun anajikuta mjuaji, daktari. Simple tu. UTI ukitembea na mwanamke kawaida huwezi kuipata labda uongize kwenye urethra yake, 🤣 ukifanya vaginal sex ukiumwa inaita STI au STD.
 
Nipo hapa hosptali ya Taifa muhimbili tunasubiri kusafirisha Mwili

Kumbe Ukimwi ikasome Mbele ya UTI Sugu hakika vijana acheni kupiga dry mtaisha huyu ni mtu wa nne Kama masihara Anachapa kavu dry na inamtoa Duniani UTI Sugu hawa wanawake sahivi wanaumwa San...
Kwa hyo wanawake tu ndo wana maradhi, Kuna wanaume wanatembea hadi na kichocho mdomoni.
Lkn wadada wapo kimya.

Hii dunia ya sasa hadi mtoto wa darasa la saba balaa tupu.
 
Ni kweli UTI ni ugonjwa hatari unashambulia maeneo matatu njia ya mkojo, kibofu na figo. Kila eneo lina aina mahususi ya bakteria wanaoleta athari.

Hatari huwa kubwa zaidi wakishambulia kibofu au figo, njia za kupata UTI ni nyingi mfano kuingia kwa haja kubwa kwenye njia ya mkojo hasa wanawake wakati wa kujifuta baada ya haja (inashauriwa anzia mbele kurudi nyuma) na watoto wanaovalishwa diaper mnaita pampas, wanaojamiana kwenye njia ya haja kubwa pia matumizi ya vifaa vya kuzuia mimba, matumizi ya muda mrefu ya antibiotic, kutokunywa maji kwa wingi, ukomo wa hedhi, matumizi ya catheter, kutokumalizika kwa mkojo baada ya kukojoa inawezekana kwa sababu ya tezi dume au mawe kwenye figo, kuwa na kisukari, matumizi ya vyoo vichafu nk. So umakini uanzie hapa.
Pia jitahidi sana kukojoa mara tu baada kumaliza kujamiana... kunywa maji mengi. Usitumie mate kama kilainishi wakati wa tendo... unahamisha bacteria na kuibua maambukizi.
 
Ni kweli UTI ni ugonjwa hatari unashambulia maeneo matatu njia ya mkojo, kibofu na figo. Kila eneo lina aina mahususi ya bakteria wanaoleta athari. Hatari huwa kubwa zaidi wakishambulia kibofu au figo njia za kupata UTI ni nyingi mfano kuingia kwa haja kubwa kwenye njia ya mkojo hasa wanawake na watoto wanaovalishwa diaper mnaita pampas, wanaojamiana kwenye njia ya haja kubwa pia matumizi ya vifaa vya kuzuia mimba, matumizi ya muda mrefu.ya antibiotic, kutokunywa maji kwa wingi, ukomo wa hedhi, matumizi ya catheter, kutokumalizika kwa mkojo baada ya kukojoa, kuwa kisukari, matumizi ya vyoo vichafu nk. So umakini uanzie hapa.
Aisee, imekaba kila kona
 
Tusichanganye UTI na magonjwa ya ngono. UTI haiambukizwi kwa njia ya ngono. STD ndio zinaambukizwa kwa njia ya ngono.
Maajabu mbona mnatuchanganya!!
Wengine wanasema UTI inaambukizwa kwa mataulo, chupi na boxa
Wengine wanasema inaambukizwa kwa kwa kujamiiana
Tuamilini lipi ukizingatia viungo vya uzazi ndiko kunapitiwa na huo ugonjwa
 
Nipo hapa hosptali ya Taifa muhimbili tunasubiri kusafirisha Mwili

Kumbe Ukimwi ikasome Mbele ya UTI Sugu hakika vijana acheni kupiga dry mtaisha huyu ni mtu wa nne kama masihara anachapa kavu dry na inamtoa Duniani UTI Sugu hawa wanawake sahivi wanaumwa Sana

Location huku Tabata Kuna hatari mpya watu wanakojoa wamechuchumaa watoto wa kiume kisa UTI Sugu.


Rip homies.
Ndo maana Mimi nimejiunga No Fap challenge kwanza Sina hela za kugharamia matibabu
Kalpana tia neno hapa kuhusu UTI sugu...
 
Back
Top Bottom