ROOM 47
JF-Expert Member
- May 23, 2022
- 2,301
- 7,460
Ok bossBut it can be influenced by...
Kuna kimsemo huwa Kinatumika sana na Madaktari sana sana Wabobezi (Epidemiologist&biostatistics) UTI in Male is UNCOMMON so find the sources....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok bossBut it can be influenced by...
Kuna kimsemo huwa Kinatumika sana na Madaktari sana sana Wabobezi (Epidemiologist&biostatistics) UTI in Male is UNCOMMON so find the sources....
Mtu mwenyewe yukwapi wa kutoka nduki hapo?Ke akisema anaishi tabata,Toka ndukiView attachment 2502340
Hapa nakazia.Waambie waache ufiraji
Inasababisha UTI?
Daktari wangu ndivyo alivyoniambia. Ukisoma mtandaoni science journals na hizo biological reports inasema wazi UTI is not an STD...but performing unsafe sex can be one way of getting infected.Mbona umetoa very contradicting statement.
Kwa uelewa wangu Mimi UTI can also be transmitted through unsafe sex
Hiyo fap nilikaza kwa siku nne tu chaliii!!! [emoji23][emoji23][emoji23]Nipo hapa hosptali ya Taifa muhimbili tunasubiri kusafirisha Mwili
Kumbe Ukimwi ikasome Mbele ya UTI Sugu hakika vijana acheni kupiga dry mtaisha huyu ni mtu wa nne Kama masihara Anachapa kavu...
yaani umekanusha, halafu umekubaliUTI is not an STD...but performing unsafe sex can be one way of getting infected
Hahahaha hii No fap nilijaribu bhana ila kwa siku 30 tu kilichokuja baaday Hahaha 🤣🤣🤣 Mungu anajua tu kuna kipsychology fulan kinaanza kuibuka kila Demu unamuona mzuri 🤣🤣🤣 hata wabovu hii inataka moyoHiyo fap nilikaza kwa siku nne tu chaliii!!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Challenge zingine za kiseng sana. Ukianza tu ndo wanawake wazuri wanajitokeza
Uti ipo pengiMimi nikinywa tuu soda UTI inanipiga...Dadeki!!
🎤🎤Utaratibu wa kufanya ngono bila udhibiti usipokuwepo, nature inaingilia inaweka udhibiti.
Ni vile tuna ujuaji na ubishi mwingi ila Ukizaliwa ukakuta unaambiwa usifanye ngono kinyume na maumbile, usifanye ngono bila utaratibu ujue waliozaliwa kabla yako kuna sababu iliwafanya wakawa na hayo makatazo.
Mimi inaninyoosha hivyo.Uti ipo pengi
Jidanganye mwenyeweTusichanganye UTI na magonjwa ya ngono. UTI haiambukizwi kwa njia ya ngono. STD ndio zinaambukizwa kwa njia ya ngono.
Una matumizi mabaya ya antibioticAzuma mimi hazijawahi kunisaidia.
Mmh!Inasababisha UTI?
FactsHata homa ya ini inaambukiza kupitia mgusano wa Ngozi.
Ndio uoshe mikono before kula, kuingiza machoni au kushika mdomo.Kwenye mwendokasi na daladala tutapona kweli?
🎤🎤
"....Duniani ukimwi pekee tu ndiyo uvumao..
Lakini kuna mengine madogodogo ya hatari kama kaswende malengelenge gono."
Unamaanisha Yellow fever or hepatitis??Kachome chanjo mjomba mnazi mmoja
[emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo fap nilikaza kwa siku nne tu chaliii!!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Challenge zingine za kiseng sana. Ukianza tu ndo wanawake wazuri wanajitokeza
Anal sex, a.k.a kwa mpalange, a.k.a ndogo, a.k.a 'kula jicho' inaweza kumsababishia 'mende' apate UTI anapotumbukiza upanga wake kwenye ala (Sword sheath). Namaanisha mabasha wanapo zama topeni bila mpira wa kinga.Tusichanganye UTI na magonjwa ya ngono. UTI haiambukizwi kwa njia ya ngono. STD ndio zinaambukizwa kwa njia ya ngono.