Lububi
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 2,158
- 3,808
Sasa msife wengi ngoja niwape dawa ya asili.
Tafuta majani ya mmea wa mzungwa. Saga upate juice yake nusu glass. Kunywa asubuhi na usiku unalala kwa wiki.
Alafu chukua kijiko cha baking soda mf chapa simba, changanya na glass ya maji. Kutwa mara 3 kwa wiki.
Kila maelezo yana kazi yake.
Mzungwa unapambana na wadudu vizuri sana. Ni chungu sana unaweza kuwa na ndizi mbivu karib ukishakunywa.
Baking soda hukwangua utando wenye wadudu wa UTI kwenye mishipa maana maji hufeli kufanya kazi hiyo kikamilifu.
Tafuta majani ya mmea wa mzungwa. Saga upate juice yake nusu glass. Kunywa asubuhi na usiku unalala kwa wiki.
Alafu chukua kijiko cha baking soda mf chapa simba, changanya na glass ya maji. Kutwa mara 3 kwa wiki.
Kila maelezo yana kazi yake.
Mzungwa unapambana na wadudu vizuri sana. Ni chungu sana unaweza kuwa na ndizi mbivu karib ukishakunywa.
Baking soda hukwangua utando wenye wadudu wa UTI kwenye mishipa maana maji hufeli kufanya kazi hiyo kikamilifu.